Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitendo cha mwenyekti wa UVCCM taifa ndugu kheri James kujitokeza hadharani na kuomba msamaa ni kosa kubwa sana la kukidharirisha chama na apaswa kujiudhuru vinginevyo chama kimchukulie hatua.
Meki-undemine chama na kuwapa nguvu wapinzani .Sasa hivi imekuwa ajenda yao ya kuona CCM sasa hivi imepoteana.
Ila kusema kweli ana tungo tata, Mimi nilikuwa simsikiliziJibu NDO lenyewe kabisa ilishapotea, huyo katambua kibri,majigambo mbele za mungu ni bule
Yani kama anaona kakosea asiombe msamaha?Kitendo cha mwenyekti wa UVCCM taifa ndugu kheri James kujitokeza hadharani na kuomba msamaa ni kosa kubwa sana la kukidharirisha chama na apaswa kujiudhuru vinginevyo chama kimchukulie hatua.
Meki-undemine chama na kuwapa nguvu wapinzani .Sasa hivi imekuwa ajenda yao ya kuona CCM sasa hivi imepoteana.
Nangoja uchambuzi wake Juu ya ripoti ya CAGKila zama na kitabu chake bwashee!
Hapo bado David Kafulila aka tumbili anatunga mistari !
Hivi alichocheaje?Anayeomba radhi ni yeye James au UVCCM?
Manake chuki huchochewa na mtu mmoja mmoja!
Malingo mengi sana utadhani dunia kaumba yeye!Kaka sio kina roho ya uaji, ni muaaji number moko kawa vunja sana na kuua wengi tu, wakitumia police, ila malipo hapa hapa duniani.
Kusifu na kuabudu. Umenikumbusha pambioUongozi wa kusifu na kuabudu ili uonekane na mkuru umepita na wakati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeh?!Kila zama na kitabu chake bwashee!
Hapo bado David Kafulila aka tumbili anatunga mistari !
Jamaa yuko vizuri. Lakini hao vijana they look leaderless.Halafu jamaa kumbe yupo vizuri katika kuongea na kupanga hoja,kumbe alikuwa anajitoa ufahamu.
Mungu alipotaka kumuangamiza farao alimfanya moyo wake kuwa mgumu kwanza !Sijui aisee, ila binafsi nilijiuliza chuma kilipata wapi ujasiri wa kufanya mikutano ya hadhara ilhali wimbi la pili lilikuwa limepamba moto.