Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Wewe una ushahidi wa kutumika hizo bil. 1.4?Kama hana Effect hizo 1.4 Bill zulizotumika kumtafuta ni za nini??? Are you serious????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una ushahidi wa kutumika hizo bil. 1.4?Kama hana Effect hizo 1.4 Bill zulizotumika kumtafuta ni za nini??? Are you serious????
Yani utawala wa Magu uanguke sababu ya kigogo?Kigogo huyu lazima atakuwa anacoonnection na membe. Naona anguko kubwa la utawala wa magufuli.
Kigogo anamkosesha sana usingizi Jiwe
Mpka sasa hivi huwa najiuliza siri gani katoa kigogo? Sijawahi kuionaKigogo ni mmbea kama wambea wengine sema tuu mmbea digital, jiongeze kifikra utaelewa, ukishindwa utaendelea kua mpuuzi tu kama wapuuzi wengine wanaomsikiliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
sijakuelewa hapo unaposema muoga kuwakabili wananchi wakati mara zote anakutana nao na kufanya mikutano tena wakati mwingine barabarani, labda fafanua kidogo tafdhari.Wananchi gani? Mbona Magufuli ni mwoga sana kuwakabili Wananchi?
Na wanavyojua kunena kwa lugha. Watakuwa wamechoka. Labda wampe dislike zakutoshaNgoja wenyewe watoke kanisani.
Hawawezi mpata huyo mtu labda tuchukue watu wa IT kutoka nje ya nchi huko sio hawa wakwetu kutwa wapo FB,SUP na IG.Mbona washirika wake walishdakwa anapigiwa tu timing
mzee Punch alitisha enzi hizo UDSM , Leo yuko wapi?Hapa ngoja nisome tu.
Ukipitia makala za kigogo utagundua sio mtu mmoja ni Kama vile kataasisi Fulani,maana Kuna wakati anaandika, alipohojiwa na mwandishi wetu,mwisho wa kunukuu.utagundua sio mtu mmoja,l.
Ngastuka,wacha niwe msomaji.
Teheheheheheh atanipata wapi mkuu?Kwa kweli Mbowe amnunulie soda kigogo. Maana asingelikua yeye tungesikia mambo mazito ya uongo yafananayo na ukweli.
Huwa sibishani na vinenaJipe pole wewe mjinga ambae unamuona mtu wa maana ambae alisema Ndugulile yupo hoi na Covid -19 wakati ni mzima . Jipime akili yako alafu ujipe jibu ni mpumbavu au la!
Niachane nao kivipi? Niache kuwashauri au?"MY SON DRINK WATER achana na Tiss"
CulususHuwa sibishani na vinena
Teh kwahiyo wewe ndiye kigogo!Teheheheheheh atanipata wapi mkuu?
Wewe bwege unajua nini cha kuwashauri Tiss.Niachane nao kivipi? Niache kuwashauri au?
Uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo sana Kigogo2014 alikuwepo toka awamu iliyopita ya nne ila nyinyi saccos mnapapalika bure na huyo kigogo mara nyingi tu anawaingiza chaka! Poleni.Naomba niwashauri idara yetu nyeti ya TISS kuhusu jinsi mnavyomfuatilia Kigogo2014 ili kumweka mikononi mwenu kwa sababu ya kutoa siri nzito nzito za Serikali.
Niwaeleze ukweli kwamba, Kigogo2014 hamuwezi kumkamata hata iweje kwa sababu Kigogo siyo mtu mmoja bali ni syndicate kubwa ndani ya syndicate nzito na yenye nguvu kubwa.
Inasemekana zimetumika zaidi ya Bil 1.4 kumsaka Kigogo, mmeshindwa kubaini ukweli na badala yake mnazidi kupoteza pesa za umma kumsaka mtu ambaye hamuwezi kumpata.
Ujio wa Kigogo umesababishwa na uwepo wa utawala mbovu, unaominya haki za Binadamu Uhuru wa Habari, Demokrasia na uharibifu mkubwa wa uchumi.
Badala ya kujikita kwenye kuleta maendeleo, awamu ya Tano imetumia Pesa za umma kununua wapinzani na kuvuruga Demokrasia.
Ajira ya TISS imejikita zaidi kwa vijana wa UVCCM na siyo kwa intelligence experts, sasa watu Kama hao watawezaje kumpata mtu mwenye level ya Mossad na CIA?
Uongozi hauhitaji mabavu bali hekima, unapoamua kuwa mbabe na kwa sababu unawaongoza siyo mbuzi, ni watu wenye akili zao, tarajia kukutana na ma whistle-blowers wengi.
Na mwisho wa siku utashindwa tu, tatizo lenu mnatumika kisiasa sana, yaani mpo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inatawala milele na siyo kwa ajili ya ustawi wa nchi.
Awamu hii hii ya Tano inayosifika kwa kukamata wakwepa kodi, kuna kampuni nyingi tu nazijua na nina ushahidi mkubwa kuwa zinakwepa kodi. Ajabu eti serikali makini haijui, ila serikali hiyo hiyo inajua ni lini Mbowe atafanya mkutano wa ndani ili waweze kumdhibiti asichafue amani ya nchi, kichekesho kweli.
Kama Trilioni 1 ilipotea na CAG akatolewa kwa kusema ukweli, basi acha watu wakwepe kodi. TISS wapo bize kuwarekodi kina Steve Nyerere wakiigiza sauti ya Mbowe anamnyanyapaa kimapenzi mbunge wa Chadema (jina linahifadhiwa)
Yaani badala ya kufanya mambo ya msingi kwa Taifa mnatumika na mambo ya hovyo, baada ya Kigogo kuwavua nguo huko Twitter sidhani kama bado mnaendelea tena na hujuma dhidi ya Mbowe.
Fanyeni ishu za maana kwa Taifa, acheni roho ya usaliti kwa Taifa, vinginevyo mtadukuliwa mno.
Long live Kigogo2014.
Acha vitisho vya kishamba wewe, unajua maana ya msaliti wewe?Haaaaaaaaa watu wanajua mpaka VPN na ant virus anayotumia inaisha lin usione watu wako kimya na kupa principal moja usijetegemea ukiwa blackhakers hutokamatwa utakamatwa tuunajua kwann jamaaa 24hrs Yuko online????? Watu wanachek vulnerability ya kumnyambua tu
Tech Ni kubwa Sana aiseee achana nayo kabisa watu wanajua meng hakuna msalit yoyote Alie salama anae jificha nyuma ya mwamvur wa keyboard.
Unadhani kwann mange hawez Rudi tz anajua kitakacho mpata
Hao akina kigogo Ni vijana wachache wanaotumiwa bila kujijua Kama wanatumiwa na mwisho wao Soon utaisha huu mwaka hauishi utapata majibu