Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

Ila kigogo mfukunyuku sana,jana naona anamchokoza dc wa kisarawe mtoto watu katulia anapiga kazi anataka amtoe kwenye reli..yaani yule jamaa mchokozi sana..
 
Mtaumiza wengi mno kupitia hao washirika unaweza kushangaa nduguyo kadakwa.
Sio kitu kikubwa kwenye Vita ,Vita haina macho na yeyote kudakwa poa tu awe nduguyo au yeyote au mnafiki anayejifanya ohh mmi msukuma natoka kabila ya Magufuli kumbe mnafiki poa tu Kuna mmoja humo Ni swala la timing tu sema ni mchungaji rafiki wa kigogo mnafiki mkubwa kwenye hii Vita anacheza Kama double agent.Asiseme hajaonywa kwenye Vita Hakuna Cha kusema ohh nisamehe shetani alinipitia.Vita haijui shetani.Mchafua serikali popote alipo itakula kwake tunaelekea uchaguzi hatutacheka na yeyote anayechafua serikali ya CCM twaweza kuwa na tofauti kibao na Raisi Magufuli lakini hizo tofauti sio material za kutaka CCM I poteze kwa hilo haikubaliki lazima makundi yote yavunjike tupiganie chama na serikali ya CCM kipindi hiki ishinde kwa kishindo tutofautiane ushindi ukishapatikana
 
Kama ningekuwa mpelelezi,ningeazia kwa muanzisha uzi inaonesha anajuwa mengi kuhusu huyo kigogo kwa 7babu zifuatazo.

1.Amejuaje serikal inamtafuta kigogo.
2.Amejuaje wameshatumia 1.4 bilioni
3.Amejuaje kigogo si mtu 1 ni kundi.
4.Amesema ana ushahidi wa wakwepa kodi.
5.Amejuaje wanaompleleze kigogo hawako smart.
6.Na ukiona uandishi wake umeegemea kuonekana huyo mtu hawezekani so wamuache tu wasiendelee kumtafuta.
Ungeonekana ni mpuuzi tu.

Kila kitu kipo hadharani..
 
Mie sijajua anatafutwa awe shahidi wa Yale na hayo ama aadhibiwe?
 
Nisaidie tu ku-summarize.

Kigogo2014 ndio TISS hasa hasa iko kazini. Duniani kote, the deep state ikiwa haina raha na yanayoendelea, hivi ndio wanavyopumua. Na tutaona mengi sana, kuna uozo mwingi ndani, harufu lazima itoke.
 
Sioni haja ya kujihamgaisha kumtafuta huyo anayejiita kigogo. Huyo jamaa ukimsoma vizuri utaelewa kwamba hana lolote zaidi ya uzushi tu na kulisha watu Matango pori.
Tatizo kubwa la watanzania ni kupenda umbea sa akitokea mtu anatoa habari za umbea regardless ni za ukweli au uongo bas anaonekana jasusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana Kigogo ni tishio kiasi hicho mpaka itumike bilioni 1.4 kumtafuta?...🙄🙄🙄....Kama ni kweli kiasi hicho kimetumika basi kuna tatizo mahali.
 
Sioni haja ya kujihamgaisha kumtafuta huyo anayejiita kigogo. Huyo jamaa ukimsoma vizuri utaelewa kwamba hana lolote zaidi ya uzushi tu na kulisha watu Matango pori.
Tatizo kubwa la watanzania ni kupenda umbea sa akitokea mtu anatoa habari za umbea regardless ni za ukweli au uongo bas anaonekana jasusi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga ni nani?? Yule anayesikiliza umbea au Yule ambaye umbea unamgusa anatomy mpaka 1.6 Bil kumtafuta mbea??
 
Hapa ngoja nisome tu.
Ukipitia makala za kigogo utagundua sio mtu mmoja ni Kama vile kataasisi Fulani,maana Kuna wakati anaandika, alipohojiwa na mwandishi wetu,mwisho wa kunukuu.utagundua sio mtu mmoja,l.
Ngastuka,wacha niwe msomaji.
Mbona umeshaandika tayari?
 
...billion 1.4 imepigwa, na yawezekana kabisa hata huyo kigogo alikuwa miongoni mwa wanaomtafuta na aliipiga hiyo 1.4bn!
Huyo ni syndicate kubwa kama mtoa mada ulivyosema, na nadhani yupo ndani ya tiss huko huko!
Lakini pia inawezekana ikawa ni hadaa, kukamata baadhi ya watu wanaomkosoa meko! Hasa wale wanaompa kigg taarifa, wawe makini, anaweza kuwaponza wengi wakidhani yupo upande wao, kumbe ni trick tu! Akimaliza kazi yake anapotea huko twitter...
Lile group la wachungaji[emoji848]
Aisee!!
 
Acha vitisho vya kishamba wewe, unajua maana ya msaliti wewe?
Msaliti ni mtu kapewa madaraka halafu anayatumia vibaya, huyo msaliti mnayemwabudu siku zake zinahesabika, muulizeni kilichomkuta Al Bashir wa Sudan.
Mange aje kufanya nini Tanzania? Kama nyie ni wanaume kweli mfuateni Marekani, mkione cha moto, na kigogo hamna la kumfanya mnajipa moyo tu, Bil 1.4 imeisha bila kumpata, bado hamkomi, hao Verient wa Israel na Romania wanawalia pesa zenu tu, mwaka huu maji mtayaita mma.
Duh.. Watoto wadogo mna shida sana aisee,!
 
Ila kigogo mfukunyuku sana,jana naona anamchokoza dc wa kisarawe mtoto watu katulia anapiga kazi anataka amtoe kwenye reli..yaani yule jamaa mchokozi sana..
Yule ni mbwiga tu! Na kashajua watz ni mazuzu basi amewatek kweli kweli
 
Mjinga ni nani?? Yule anayesikiliza umbea au Yule ambaye umbea unamgusa anatomy mpaka 1.6 Bil kumtafuta mbea??
Una ushahidi wa hiyo bilioni 1.6 kitumika kumtafuta kigogo?

Sasa unakuta mtu ni baba/mama wa familia kabisa alafu anaamini huu ujinga
 
Back
Top Bottom