Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...hata mteuzi wao hola naye!Diwani, Siro, Jiwe wataondoka bila kujuwa kigogo ni nani.
Sio kitu kikubwa kwenye Vita ,Vita haina macho na yeyote kudakwa poa tu awe nduguyo au yeyote au mnafiki anayejifanya ohh mmi msukuma natoka kabila ya Magufuli kumbe mnafiki poa tu Kuna mmoja humo Ni swala la timing tu sema ni mchungaji rafiki wa kigogo mnafiki mkubwa kwenye hii Vita anacheza Kama double agent.Asiseme hajaonywa kwenye Vita Hakuna Cha kusema ohh nisamehe shetani alinipitia.Vita haijui shetani.Mchafua serikali popote alipo itakula kwake tunaelekea uchaguzi hatutacheka na yeyote anayechafua serikali ya CCM twaweza kuwa na tofauti kibao na Raisi Magufuli lakini hizo tofauti sio material za kutaka CCM I poteze kwa hilo haikubaliki lazima makundi yote yavunjike tupiganie chama na serikali ya CCM kipindi hiki ishinde kwa kishindo tutofautiane ushindi ukishapatikanaMtaumiza wengi mno kupitia hao washirika unaweza kushangaa nduguyo kadakwa.
Ungeonekana ni mpuuzi tu.Kama ningekuwa mpelelezi,ningeazia kwa muanzisha uzi inaonesha anajuwa mengi kuhusu huyo kigogo kwa 7babu zifuatazo.
1.Amejuaje serikal inamtafuta kigogo.
2.Amejuaje wameshatumia 1.4 bilioni
3.Amejuaje kigogo si mtu 1 ni kundi.
4.Amesema ana ushahidi wa wakwepa kodi.
5.Amejuaje wanaompleleze kigogo hawako smart.
6.Na ukiona uandishi wake umeegemea kuonekana huyo mtu hawezekani so wamuache tu wasiendelee kumtafuta.
takatakaTISS haipo simple kama mnvayo ichukulia. Ina watu smart na wenye IQ kubwa sana na wanatenda kwa sehemu zao kwa weledi wa hali juu,vivyo hivyo kuna vichwa maji mle na ndio wanaipaka idara matope ya mavi...
Binafsi huwa sibanduki Twita kwaajili ya Kigogo..Jamaa anarusha spana hatari
NSA .. unaisemeaje ? CIA unaisemeje ? Aceheni kudharau kila kitu, kuna mambo TISS wanafanya ndio maana unapata nguvu na jeuri ya kuwatukana
[/QUOTENafikiri hilo genge tungeishi kwa Raha Sana.
Mjinga ni nani?? Yule anayesikiliza umbea au Yule ambaye umbea unamgusa anatomy mpaka 1.6 Bil kumtafuta mbea??Sioni haja ya kujihamgaisha kumtafuta huyo anayejiita kigogo. Huyo jamaa ukimsoma vizuri utaelewa kwamba hana lolote zaidi ya uzushi tu na kulisha watu Matango pori.
Tatizo kubwa la watanzania ni kupenda umbea sa akitokea mtu anatoa habari za umbea regardless ni za ukweli au uongo bas anaonekana jasusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona umeshaandika tayari?Hapa ngoja nisome tu.
Ukipitia makala za kigogo utagundua sio mtu mmoja ni Kama vile kataasisi Fulani,maana Kuna wakati anaandika, alipohojiwa na mwandishi wetu,mwisho wa kunukuu.utagundua sio mtu mmoja,l.
Ngastuka,wacha niwe msomaji.
Aisee!!...billion 1.4 imepigwa, na yawezekana kabisa hata huyo kigogo alikuwa miongoni mwa wanaomtafuta na aliipiga hiyo 1.4bn!
Huyo ni syndicate kubwa kama mtoa mada ulivyosema, na nadhani yupo ndani ya tiss huko huko!
Lakini pia inawezekana ikawa ni hadaa, kukamata baadhi ya watu wanaomkosoa meko! Hasa wale wanaompa kigg taarifa, wawe makini, anaweza kuwaponza wengi wakidhani yupo upande wao, kumbe ni trick tu! Akimaliza kazi yake anapotea huko twitter...
Lile group la wachungaji[emoji848]
Duh.. Watoto wadogo mna shida sana aisee,!Acha vitisho vya kishamba wewe, unajua maana ya msaliti wewe?
Msaliti ni mtu kapewa madaraka halafu anayatumia vibaya, huyo msaliti mnayemwabudu siku zake zinahesabika, muulizeni kilichomkuta Al Bashir wa Sudan.
Mange aje kufanya nini Tanzania? Kama nyie ni wanaume kweli mfuateni Marekani, mkione cha moto, na kigogo hamna la kumfanya mnajipa moyo tu, Bil 1.4 imeisha bila kumpata, bado hamkomi, hao Verient wa Israel na Romania wanawalia pesa zenu tu, mwaka huu maji mtayaita mma.
Za uso zipi sasa hapo?Wape za uso hao
Yule ni mbwiga tu! Na kashajua watz ni mazuzu basi amewatek kweli kweliIla kigogo mfukunyuku sana,jana naona anamchokoza dc wa kisarawe mtoto watu katulia anapiga kazi anataka amtoe kwenye reli..yaani yule jamaa mchokozi sana..
Anavowindwa zaidi ya mbowe kitambo angeshakamatwaHajafikia level hiyo,,
Una ushahidi wa hiyo bilioni 1.6 kitumika kumtafuta kigogo?Mjinga ni nani?? Yule anayesikiliza umbea au Yule ambaye umbea unamgusa anatomy mpaka 1.6 Bil kumtafuta mbea??