Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

Kigogo huyu lazima atakuwa anacoonnection na membe. Naona anguko kubwa la utawala wa magufuli.
Yani utawala wa Magu uanguke sababu ya kigogo?

Aisee... Ukute haya mawazo yako hata Mbowe anayo kama hayahaya
 
Wananchi gani? Mbona Magufuli ni mwoga sana kuwakabili Wananchi?
sijakuelewa hapo unaposema muoga kuwakabili wananchi wakati mara zote anakutana nao na kufanya mikutano tena wakati mwingine barabarani, labda fafanua kidogo tafdhari.
 
Hapa ngoja nisome tu.
Ukipitia makala za kigogo utagundua sio mtu mmoja ni Kama vile kataasisi Fulani,maana Kuna wakati anaandika, alipohojiwa na mwandishi wetu,mwisho wa kunukuu.utagundua sio mtu mmoja,l.
Ngastuka,wacha niwe msomaji.
mzee Punch alitisha enzi hizo UDSM , Leo yuko wapi?
 
Uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo sana Kigogo2014 alikuwepo toka awamu iliyopita ya nne ila nyinyi saccos mnapapalika bure na huyo kigogo mara nyingi tu anawaingiza chaka! Poleni.
 
Acha vitisho vya kishamba wewe, unajua maana ya msaliti wewe?
Msaliti ni mtu kapewa madaraka halafu anayatumia vibaya, huyo msaliti mnayemwabudu siku zake zinahesabika, muulizeni kilichomkuta Al Bashir wa Sudan.
Mange aje kufanya nini Tanzania? Kama nyie ni wanaume kweli mfuateni Marekani, mkione cha moto, na kigogo hamna la kumfanya mnajipa moyo tu, Bil 1.4 imeisha bila kumpata, bado hamkomi, hao Verient wa Israel na Romania wanawalia pesa zenu tu, mwaka huu maji mtayaita mma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…