Tatizo hili, nimekuuliza miaka saba ilopita ulikuwepo hapa Jf we unaanza kuleta habari za verified, sijui uchambuzi, utopolo mtupu, sijui maharage ya wapi haya, vichwa vingi maji matupu, jibu nilichokuuliza hizi kona kona waachie madereva wa langalangaVerified huwezi chambua chochote
Kwa mara ya kwanza nimegundua kuwa kumbe unazo za kichwani ila unajitoaga kaufahamu tu.Siri gani zinazovujaja za TISS ,ila kingine miaka saba ilopita ulikuwa ni member wa Jf ?
Kwani hicho huyo mwehu kigogo independent source ipi Ime verify kuwa Ni hakika na si uzushiKwani wenye siri za Serikali ni tiss tu? Au anayetakiwa kutunza siri za Serikali ni tiss peke yake?
Japo siipendi ccm kama nilivyo sipendi harufu ya nya ila leo umeandika point!Mange na siri au kigogo kumbe wewe jamaa ni kiwis mbatata kiasi hiki vihisia vaya mtu ndio siri
Sent using Jamii Forums mobile app
Le mutuz ndiyo huwapa taarifa kigogo wamsake wamtandike viboko 12 atawambia ukweliWewe ni kilaza! Kama hawana madhara kwa nini watafutwe? kwa taarifa tu mpaka sasa zimeshatumiaka zaidi ya bil 2 kumtafuta kigogo kama ni hisia anatafutwa wa nini?
.....duhKwa mara ya kwanza nimegundua kuwa kumbe unazo za kichwani ila unajitoaga kaufahamu tu.
Mbona Cyprian Musiba, Le Mutuz wanazo siri zote wanazipataje ?
Huyu wa Sasa unamsifia kwa usichokijua au pengine ni mahaba tu yalishakuzidi so umekuwa Kama kipofu. Kwa kukukumbusha tu Ni kwamba Kipindi cha Kikwete, Mange alikuwa CCM kindakindaki na ameshiriki katika kapempeni za kumweka Magufuli madarakani. Aligeuka baada ya kuona Magufuli haeleweki kwa upande wake wakati walipoingia madarakaniMtoa mada umejiunga jf Leo nadhan
Miaka ya nyuma siri hapa zilikuwa zinavuja kabla hata teuz baadhi watu walikuwa kabla ya kutangazwa unashangaa tu watu wanashona sare
Miaka ile hotuba ya jk kesho Leo ishajulikana ataongea nini
Mange alitamba sana pia wakati hui Ila huyu kafanya mpaka mange apotee na hakuna siri zinazovuja Saiv ukibisha weka hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Musiba na Lebongez wawe na siri za TISS. Ahahahaha haki Tanzania itakuwa ni joke countryMbona cyprian Musiba le mutuz wanazo siri zote wanazipataje ?
Umejuaje wao sii TISS?Yani Musiba na Lebongez wawe na siri za TISS. Ahahahaha haki Tanzania itakuwa ni joke country
Embu kuweni serious kidogo basi unapozungumzia TISS huzungumzii Polisi wala Sungusungu aiseee ni very sensitive institute.
Wewe jamaa huwa nakuona kama bashite tu, sorry kama kuwa bashite ni tusi(kosa) kwako.Tatizo hili,nimekuuliza miaka saba ilopita ulikuwepo hapa Jf we unaanza kuleta habari za verified,sijui uchambuzi,utopolo mtupu,sijui maharage ya wapi haya,vichwa vingi maji matupu,jibu nilichokuuliza hizi kona kona waachie madereva wa langalanga
Sensitive institution chini ya jiwe? you must be joking my friendYani Musiba na Lebongez wawe na siri za TISS. Ahahahaha haki Tanzania itakuwa ni joke country
Embu kuweni serious kidogo basi unapozungumzia TISS huzungumzii Polisi wala Sungusungu aiseee ni very sensitive institute.
Everything on this thread is a joke dude! Happy Tuesday.Sensitive institution chini ya jiwe??? you must be joking my friend
Sent using Jamii Forums mobile app
TISS si watu wajinga wajinga, huyo Musiba na Letumboz ni wajinga.
JidanganyeTena kubwa sana kati ya WAKOROMIJE waliosukumiwa ndani ya TISS pamoja na kuwa hawana sifa na wale ambao walikuwepo tayari na wana sifa husika.
Wakoromije wanataka kutake over KIBABE na wakati mwingi kudharau taratibu za kiutendaji.
Huu mpasuko wa ndani ya TISS uendelee tu ili nyeti zenye uzito ziendelee kuvujishwa.