Tatizo la Burundi Ni moja Kuna warundi unaoweza wajua vizuri na ambao Huwezi wajua vizuri .Hilo kundi la pili ni balaa[[emoji1787]mpe salamu kigogo mfalme wa burundi anamsalimie mwambie nishapeleka gar ilula
Hata Mzee wa 'Navua nguo hadharani alimpania kigogo na kamshindwa..aka KANGI LUGOLA.Haaaaaaaaa watu wanajua mpaka VPN na ant virus anayotumia inaisha lin usione watu wako kimya na kupa principal moja usijetegemea ukiwa blackhakers hutokamatwa utakamatwa tuunajua kwann jamaaa 24hrs Yuko online????? Watu wanachek vulnerability ya kumnyambua tu
Tech Ni kubwa Sana aiseee achana nayo kabisa watu wanajua meng hakuna msalit yoyote Alie salama anae jificha nyuma ya mwamvur wa keyboard.
Unadhani kwann mange hawez Rudi tz anajua kitakacho mpata
Hao akina kigogo Ni vijana wachache wanaotumiwa bila kujijua Kama wanatumiwa na mwisho wao Soon utaisha huu mwaka hauishi utapata majibu
Kama ujajua mpaka sasa kati yangu na wewe nani mwenye upeo mdogo. Basi mwambie jirani yako akusadie.Wewe unasumbuliwa na elimu ndogo tu na ukosefu wa maono
Sasa ukishawadaka washirika wake since kwamba yeye tayari atadakwa...Kigogo si mtu mmojaHashikwi kwa taarifa yako ila washirika wake wote watadakwa usiulize why.
Isikupe taabu inaeleweka sio mmoja Ni taasisi Inaitwa kigogo2014 CEO sio issue ni watendaji hao ndio issue nobody is interested na yeye aendelee na maisha yake .Hao ndio itakula kwao watamuacha kigogo akila bataSasa ukishawadaka washirika wake since kwamba yeye tayari atadakwa...Kigogo si mtu mmoja
Ningesema kitu, but ngoja ninyamazeIsikupe taabu inaeleweka sio mmoja Ni taasisi Inaitwa kigogo2014 CEO sio issue ni watendaji hao ndio issue nobody is interested na yeye aendelee na maisha yake .Hao ndio itakula kwao watamuacha kigogo akila bata
Kwa akili zako unafikiri TISS wote ni viazi ? Kama unavyotaka kutuaminisha .. TISS inaweza ikawa na mapungufu flani kutokana na mfumo wake wa kiuongozi na kiutendaji. Ila haimaanishi TISS wote ni viaziEti smart, wangekuwa smart wasiojulikana wasingekuwepo,wangewamaliza kimyakimya hata wao wasijue Nani kawamaliza.
Kuwapa ajira watoto wa makada ma uvccm ndio wawe intelligence unit.
Check wa wenzetu wako bize kuiba Siri za uchumi za nchi zingine mfano fursa,masoko, malighafi then wanazipenyeza kwa matajiri wa nchi zao Kisha nchi zao zinawapa sapoti wanaenda wekeza hizo nchi wanachuma wanajenga nchi zao.Sio Hawa wako bize kumdukua zito au mbowe na kukusanya umbea na majungu kuyapeleka.
Watoke waende wapi ? Viapo vya ajira yao vinawabana. Isipokuwa kuna vitu wanafanya na huenda mimi na wewe hatujuiSasa hao vichwa maji si watoke?
Nasemea TISS .. hayo mambo ya ccm ebu achana nayo, haya ndio yanafanya wengine wanakuwa kama matahira kwa kila jambo kuona bayaHahaha aiseee unasemaaaa TIsS hii ya ccm? Inayoongozwa na Diwani?
NSA .. unaisemeaje ? CIA unaisemeje ? Aceheni kudharau kila kitu, kuna mambo TISS wanafanya ndio maana unapata nguvu na jeuri ya kuwatukanaHao vichwa maji TISS iliwapataje kama unadai iko smart? System gani smart inakuwa na maafisa wengine vichwa vinamaji labda unaongelea system ya Nazi maana hiyo ndio huwa ina maji ndani.
Vita yoyote kiongozi wa juu huwa wa mwisho kudakawa una deal na wanaomzunguka kwanza jeshi lake ,nk sidhani priority ya Sasa Ni kigogo2014 aendelee tu kula Bata na kuzusha uzushi wake wote zamu yake Bado ikifika hatahitaji kupewa taarifa atanyakuliwa mzima mzima hiyo ndio ndio meseji yangu kwake afikishiwe popote alipoNingesema kitu, but ngoja ninyamaze
Inamaana wasiojulikana Wana nguvu kuliko wao?Kwa akili zako unafikiri TISS wote ni viazi ? Kama unavyotaka kutuaminisha .. TISS inaweza ikawa na mapungufu flani kutokana na mfumo wake wa kiuongozi na kiutendaji. Ila haimaanishi TISS wote ni viazi
Atakua anapambania uteuziHivi huyu state agent Covid -19 ilimbakiza kweli?
Siku hizi kapotea
Nimekuambia Mimi nanyamaza, nilichoona mpaka Sasa ni kwamba wewe hujui haya mamboVita yoyote kiongozi wa juu huwa mwisho kudakawa una deal na wanaomzunguka kwanza jeshi lake ,nk sidhani priority ya Sasa Ni kigogo2014 aendelee tu kula Bata na kuzusha uzushi wake wote zamu yake Bado ikifika hatahitaji kupewa taarifa atanyakuliwa mzima mzima hiyo ndio ndio meseji yangu kwake afikishiwe popote alipo
Haya tukubaliane kutokubaliana na wewe Kuna mambo huyajui .Mimi nibaki na ujuaji wangu na wewe baki na ujuaji wako let us leave it to time . Muda utaongea who is right and who knows better than the otherNimekuambia Mimi nanyamaza, nilichoona mpaka Sasa ni kwamba wewe hujui haya mambo
Kigogo yupo JF tangu Kigogo2014Naomba niwashauri idara yetu nyeti ya TISS kuhusu jinsi mnavyomfuatilia Kigogo2014 ili kumweka mikononi mwenu kwa sababu ya kutoa siri nzito nzito za Serikali.
Niwaeleze ukweli kwamba, Kigogo2014 hamuwezi kumkamata hata iweje kwa sababu Kigogo siyo mtu mmoja bali ni syndicate kubwa ndani ya syndicate nzito na yenye nguvu kubwa.
Inasemekana zimetumika zaidi ya Bil 1.4 kumsaka Kigogo, mmeshindwa kubaini ukweli na badala yake mnazidi kupoteza pesa za umma kumsaka mtu ambaye hamuwezi kumpata.
Ujio wa Kigogo umesababishwa na uwepo wa utawala mbovu, unaominya haki za Binadamu Uhuru wa Habari, Demokrasia na uharibifu mkubwa wa uchumi.
Badala ya kujikita kwenye kuleta maendeleo, awamu ya Tano imetumia Pesa za umma kununua wapinzani na kuvuruga Demokrasia.
Ajira ya TISS imejikita zaidi kwa vijana wa UVCCM na siyo kwa intelligence experts, sasa watu Kama hao watawezaje kumpata mtu mwenye level ya Mossad na CIA?
Uongozi hauhitaji mabavu bali hekima, unapoamua kuwa mbabe na kwa sababu unawaongoza siyo mbuzi, ni watu wenye akili zao, tarajia kukutana na ma whistle-blowers wengi.
Na mwisho wa siku utashindwa tu, tatizo lenu mnatumika kisiasa sana, yaani mpo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inatawala milele na siyo kwa ajili ya ustawi wa nchi.
Awamu hii hii ya Tano inayosifika kwa kukamata wakwepa kodi, kuna kampuni nyingi tu nazijua na nina ushahidi mkubwa kuwa zinakwepa kodi. Ajabu eti serikali makini haijui, ila serikali hiyo hiyo inajua ni lini Mbowe atafanya mkutano wa ndani ili waweze kumdhibiti asichafue amani ya nchi, kichekesho kweli.
Kama Trilioni 1 ilipotea na CAG akatolewa kwa kusema ukweli, basi acha watu wakwepe kodi. TISS wapo bize kuwarekodi kina Steve Nyerere wakiigiza sauti ya Mbowe anamnyanyapaa kimapenzi mbunge wa Chadema (jina linahifadhiwa)
Yaani badala ya kufanya mambo ya msingi kwa Taifa mnatumika na mambo ya hovyo, baada ya Kigogo kuwavua nguo huko Twitter sidhani kama bado mnaendelea tena na hujuma dhidi ya Mbowe.
Fanyeni ishu za maana kwa Taifa, acheni roho ya usaliti kwa Taifa, vinginevyo mtadukuliwa mno.
Long live Kigogo2014.
Huo ndiyo ukweli...billion 1.4 imepigwa, na yawezekana kabisa hata huyo kigogo alikuwa miongoni mwa wanaomtafuta na aliipiga hiyo 1.4bn!
Huyo ni syndicate kubwa kama mtoa mada ulivyosema, na nadhani yupo ndani ya tiss huko huko!
Lakini pia inawezekana ikawa ni hadaa, kukamata baadhi ya watu wanaomkosoa meko! Hasa wale wanaompa kigg taarifa, wawe makini, anaweza kuwaponza wengi wakidhani yupo upande wao, kumbe ni trick tu! Akimaliza kazi yake anapotea huko twitter...
Lile group la wachungaji[emoji848]