Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

[[emoji1787]mpe salamu kigogo mfalme wa burundi anamsalimie mwambie nishapeleka gar ilula
Tatizo la Burundi Ni moja Kuna warundi unaoweza wajua vizuri na ambao Huwezi wajua vizuri .Hilo kundi la pili ni balaa
 
Hata Mzee wa 'Navua nguo hadharani alimpania kigogo na kamshindwa..aka KANGI LUGOLA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ukishawadaka washirika wake since kwamba yeye tayari atadakwa...Kigogo si mtu mmoja
Isikupe taabu inaeleweka sio mmoja Ni taasisi Inaitwa kigogo2014 CEO sio issue ni watendaji hao ndio issue nobody is interested na yeye aendelee na maisha yake .Hao ndio itakula kwao watamuacha kigogo akila bata
 
Isikupe taabu inaeleweka sio mmoja Ni taasisi Inaitwa kigogo2014 CEO sio issue ni watendaji hao ndio issue nobody is interested na yeye aendelee na maisha yake .Hao ndio itakula kwao watamuacha kigogo akila bata
Ningesema kitu, but ngoja ninyamaze
 
Kama ningekuwa mpelelezi,ningeazia kwa muanzisha uzi inaonesha anajuwa mengi kuhusu huyo kigogo kwa 7babu zifuatazo.

1.Amejuaje serikal inamtafuta kigogo.
2.Amejuaje wameshatumia 1.4 bilioni
3.Amejuaje kigogo si mtu 1 ni kundi.
4.Amesema ana ushahidi wa wakwepa kodi.
5.Amejuaje wanaompleleze kigogo hawako smart.
6.Na ukiona uandishi wake umeegemea kuonekana huyo mtu hawezekani so wamuache tu wasiendelee kumtafuta.
 
Kwa akili zako unafikiri TISS wote ni viazi ? Kama unavyotaka kutuaminisha .. TISS inaweza ikawa na mapungufu flani kutokana na mfumo wake wa kiuongozi na kiutendaji. Ila haimaanishi TISS wote ni viazi
 
Hao vichwa maji TISS iliwapataje kama unadai iko smart? System gani smart inakuwa na maafisa wengine vichwa vinamaji labda unaongelea system ya Nazi maana hiyo ndio huwa ina maji ndani.
NSA .. unaisemeaje ? CIA unaisemeje ? Aceheni kudharau kila kitu, kuna mambo TISS wanafanya ndio maana unapata nguvu na jeuri ya kuwatukana
 
Ningesema kitu, but ngoja ninyamaze
Vita yoyote kiongozi wa juu huwa wa mwisho kudakawa una deal na wanaomzunguka kwanza jeshi lake ,nk sidhani priority ya Sasa Ni kigogo2014 aendelee tu kula Bata na kuzusha uzushi wake wote zamu yake Bado ikifika hatahitaji kupewa taarifa atanyakuliwa mzima mzima hiyo ndio ndio meseji yangu kwake afikishiwe popote alipo
 
Kwa akili zako unafikiri TISS wote ni viazi ? Kama unavyotaka kutuaminisha .. TISS inaweza ikawa na mapungufu flani kutokana na mfumo wake wa kiuongozi na kiutendaji. Ila haimaanishi TISS wote ni viazi
Inamaana wasiojulikana Wana nguvu kuliko wao?
 
Nimekuambia Mimi nanyamaza, nilichoona mpaka Sasa ni kwamba wewe hujui haya mambo
 
Nimekuambia Mimi nanyamaza, nilichoona mpaka Sasa ni kwamba wewe hujui haya mambo
Haya tukubaliane kutokubaliana na wewe Kuna mambo huyajui .Mimi nibaki na ujuaji wangu na wewe baki na ujuaji wako let us leave it to time . Muda utaongea who is right and who knows better than the other
 
Kigogo yupo JF tangu Kigogo2014
 
Huo ndiyo ukweli
 
Ningekuwa na uwezo wa kumiliki account kama ile ya kigogo2014 kuna watu wangehamia chato mazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…