Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Yaan msahel kbs nishindwe kujiteteaWe Jamaa kwa kuji tetea 🤣😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan msahel kbs nishindwe kujiteteaWe Jamaa kwa kuji tetea 🤣😃
Nini 🙄Dah!!
Kanali muyobozi anahonga ma Royce's Royce'sNikiwa naweza kuonga chinj ya elf 10 nafuzu kuwa bahili wazee
Mnk viwango vyangu vya kuhonga havizidi 10[emoji23]
Hii itapendeza zaidi kama wataungana nakuwa chama kimojaCHAPUTA WAUNGANE NA UWABATA NA KUUNDA CHAMA KIMOJA KIKUU
Mimi kama member wa CHAPUTA naruhusiwa kuomba usajiri kwenye hiki chama pia?Kutokana na malalamiko ya wanaum e Humu jf, nimeona ni Bora kufungua Uzi huu ili kuweza kuwapa nafasi ya kutoa malamiko yao.
Lengo la chama hiki ni kukumbushana misimamo na misingi ya chama chetu.
[emoji117] Mwenyekiti ni Natafuta Ajira, katibu Mjanja M1.
[emoji117]Katibu mwenezi wa sera za chama ni dronedrake.
View attachment 2873542
View attachment 2873572
Mimi sipo hivyo Sishindani wakati najua wazi nitashindwa..Najua hamna mkate mgumu mbele ya chai.Lazima ulainike tu upende usipende.Wote mko hivyo, mnafurahisha sana.
Huku kelele kibao, huko kwingine busu moja la forehead pesa ya saloon umetoa.
Achraf Hakeemi usisahau kumpa nakala ya maamuzi yetu haya.Kutokana na malalamiko ya wanaum e Humu jf, nimeona ni Bora kufungua Uzi huu ili kuweza kuwapa nafasi ya kutoa malamiko yao.
Lengo la chama hiki ni kukumbushana misimamo na misingi ya chama chetu.
[emoji117] Mwenyekiti ni Natafuta Ajira, katibu Mjanja M1.
[emoji117]Katibu mwenezi wa sera za chama ni dronedrake.
View attachment 2873542
View attachment 2873572
Karibu Sana, uta kuwa msajili wa wanachama 😃Mimi kama member wa CHAPUTA naruhusiwa kuomba usajiri kwenye hiki chama pia?
Kasha tumiwa taarifa hiyo, AME furahia 🤣Achraf Hakeemi usisahau kumpa nakala ya maamuzi yetu haya.
Bado vitu vidogo, ila soon tuna Malizaa hilo.Hii itapendeza zaidi kama wataungana nakuwa chama kimoja
Ule uzi una balaa sana watu wako makini kama wanajenga nchi ,halafu zamani Jf chaputa walikuwa na kama community humu ambayo iko siriaz mpk walikuwa na ratiba ya kuchagua viongozi humu .Kuna uzi humu unaitwa Chama cha wapiga punyeto Tanzania. Hua nacheka sana nikisoma comments zilizomo. Walikuabaliana watengeneze App na Website ya wanyetukaji🤣🤣
Kivip bossKuna sehemu una yumba, punguza mapato hayo[emoji1787][emoji2]
Mi jobless pro max, si una honga Sana😆Kivip boss
Mbona kumepoa hukuKutokana na malalamiko ya wanaum e Humu jf, nimeona ni Bora kufungua Uzi huu ili kuweza kuwapa nafasi ya kutoa malamiko yao.
Lengo la chama hiki ni kukumbushana misimamo na misingi ya chama chetu.
👉 Mwenyekiti ni Natafuta Ajira, katibu Mjanja M1.
👉Katibu mwenezi wa sera za chama ni dronedrake.
View attachment 2873542
View attachment 2873572
Uwabata hoyeeMbona kumepoa huku
Kuna sera hapo ya mwanamke hakopeshwi😅😊Kutokana na malalamiko ya wanaum e Humu jf, nimeona ni Bora kufungua Uzi huu ili kuweza kuwapa nafasi ya kutoa malamiko yao.
Lengo la chama hiki ni kukumbushana misimamo na misingi ya chama chetu.
👉 Mwenyekiti ni Natafuta Ajira, katibu Mjanja M1.
👉Katibu mwenezi wa sera za chama ni dronedrake.
View attachment 2873542
View attachment 2873572