Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Ahahah kuwa na amani..Nani aku ogope mrusi wa mchongo 🤣, shida naogopa uta maliza hazina ya vodka za chama 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah kuwa na amani..Nani aku ogope mrusi wa mchongo 🤣, shida naogopa uta maliza hazina ya vodka za chama 🤣
Kaka vipi software yako imesha Isha endorsement yake???.Ahahah kuwa na amani..
Sisi akati tuna diversify life tulitaka maarifa Kwa miaka mi3 yaan unapata degree ya izo mambo...3000 mara 25 ni 150 na hutaki aibe atatransform vipi
CHaputa mlipo mnaitwa hukuu🤣CHAPUTA WAUNGANE NA UWABATA NA KUUNDA CHAMA KIMOJA KIKUU
Labda ubahatike kumpata chaputa mmoja hivi😁Wote mko hivyo, mnafurahisha sana.
Huku kelele kibao, huko kwingine busu moja la forehead pesa ya saloon umetoa.
We kama uko serious sema nikupe dealership uchanje mbuga kivyako na wateja wako kivyako vyako. Nita oversee all technical ili usikae kuhamgaika na vitu vigumu then u will be paying me commision.Kaka vipi software yako imesha Isha endorsement yake???.
👉Nataka unipe hata uangalizi wa mfumo 😁🤒
Hebu nipe hiyo deal Kaka, USI kute Ina eza kuwa operated huku.We kama uko serious sema nikupe dealership uchanje mbuga kivyako na wateja wako kivyako vyako. Nita oversee all technical ili usikae kuhamgaika na vitu vigumu then u will be paying me commision.
Ndio maana Ake mkuu,Ni shida mkuu🤒, sema kasema 250, pamoja na 3k per day SI ndo hivyo Dr am 4 real PhD ??
Mkuu,CHaputa mlipo mnaitwa hukuu🤣
Ahahah..basi tuchekiane kwa maelezo zaidi...Hebu nipe hiyo deal Kaka, USI kute Ina eza kuwa operated huku.
Bravoo... kwahiyo nijiandae kutola jalalani si ndio?👉Beside kale ka start up, nime Anza operation leo.
Ko mkuu jumla 340 ??Ndio maana Ake mkuu,
Ni platform ya kujifunza Kwa vijana wanao jitafuaaa
Ngoja kwanza kaka, ndo kwanza Ina sukwa kwa field.Ahahah..basi tuchekiane kwa maelezo zaidi...
Bravoo... kwahiyo nijiandae kutola jalalani si ndio?
Nakuelewa sana umedadavua vizuriSisi akati tuna diversify life tulitaka maarifa Kwa miaka mi3 yaan unapata degree ya izo mambo...
Pesa zitakuja na utakua BOSS ndio vijana wengi hukwamia hapo utapata connection na for sure uta KICK LIFE & ODDS..
Kaa kwenu na ka degree kako subiria mshahara wa 7 digit's
Nakusalimia kaka😊☺️
250k na 3k mbona hela nzuri nlikuwa sjaelewaNdio maana Ake mkuu,
Ni platform ya kujifunza Kwa vijana wanao jitafuaaa
Nawakumbusha tuu usimuhudumie wala kumuonea huruma mwanamke kama anataka huduma aje muishi wote na azae watoto halaliKutokana na malalamiko ya wanaum e Humu jf, nimeona ni Bora kufungua Uzi huu ili kuweza kuwapa nafasi ya kutoa malamiko yao.
Lengo la chama hiki ni kukumbushana misimamo na misingi ya chama chetu.
[emoji117] Mwenyekiti ni Natafuta Ajira, katibu Mjanja M1.
[emoji117]Katibu mwenezi wa sera za chama ni dronedrake.
View attachment 2873542
View attachment 2873572
Tupishe kwanza mqandamano na usafishaji mitaa uisheKuna haja ya kufungua makao makuu
Afu numbisa, mbona una penda kuweka hizo duh Mara mbili mbili 😁Duh aiseee