UWABATA- Umoja wa wanaume bahili Tanzania

UWABATA- Umoja wa wanaume bahili Tanzania

3000 mara 25 ni 150 na hutaki aibe atatransform vipi
Sisi akati tuna diversify life tulitaka maarifa Kwa miaka mi3 yaan unapata degree ya izo mambo...

Pesa zitakuja na utakua BOSS ndio vijana wengi hukwamia hapo utapata connection na for sure uta KICK LIFE & ODDS..

Kaa kwenu na ka degree kako subiria mshahara wa 7 digit's

Nakusalimia kaka😊☺️
 
Kaka vipi software yako imesha Isha endorsement yake???.
👉Nataka unipe hata uangalizi wa mfumo 😁🤒
We kama uko serious sema nikupe dealership uchanje mbuga kivyako na wateja wako kivyako vyako. Nita oversee all technical ili usikae kuhamgaika na vitu vigumu then u will be paying me commision.
 
We kama uko serious sema nikupe dealership uchanje mbuga kivyako na wateja wako kivyako vyako. Nita oversee all technical ili usikae kuhamgaika na vitu vigumu then u will be paying me commision.
Hebu nipe hiyo deal Kaka, USI kute Ina eza kuwa operated huku.
👉Beside kale ka start up, nime Anza operation leo.
 
Sisi akati tuna diversify life tulitaka maarifa Kwa miaka mi3 yaan unapata degree ya izo mambo...

Pesa zitakuja na utakua BOSS ndio vijana wengi hukwamia hapo utapata connection na for sure uta KICK LIFE & ODDS..

Kaa kwenu na ka degree kako subiria mshahara wa 7 digit's

Nakusalimia kaka😊☺️
Nakuelewa sana umedadavua vizuri
 
Kutokana na malalamiko ya wanaume Humu jf, nimeona ni Bora kufungua Uzi huu ili kuweza kuwapa nafasi ya kutoa malamiko yao.

Lengo la chama hiki ni kukumbushana misimamo na misingi ya chama chetu.

[emoji117] Mwenyekiti ni Natafuta Ajira, katibu Mjanja M1.
[emoji117]Katibu mwenezi wa sera za chama ni dronedrake.
View attachment 2873542

View attachment 2873572
Nawakumbusha tuu usimuhudumie wala kumuonea huruma mwanamke kama anataka huduma aje muishi wote na azae watoto halali
 
Back
Top Bottom