Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #121
una jua huu mchezo una uleta, sio mzuri ππ€Mtu yuko Uwabata bado hataki wengine mjidai ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una jua huu mchezo una uleta, sio mzuri ππ€Mtu yuko Uwabata bado hataki wengine mjidai ππ
Hatu husiki na Sera hizo, sisi ni uwabata for life
Endelea na group lako πππuna jua huu mchezo una uleta, sio mzuri ππ€
ππ€£ππBasi chama kina kuhukumu kuji selfie miaka 7 ππ€£
Ahahah aah wapi, hawajawah luwa na ubavu huo wa kunifilisi. Sema maadam chama kimkuja kujiunga na mi nimoWe mrusi wa mchongo Ivan Stepanov una jiunga, au waendelee kuku filisi π
Kutokana na malalamiko ya wanaumβe Humu jf, nimeona ni Bora kufungua Uzi huu ili kuweza kuwapa nafasi ya kutoa malamiko yao.
Lengo la chama hiki ni kukumbushana misimamo na misingi ya chama chetu.
π Mwenyekiti ni Natafuta Ajira, katibu Mjanja M1.
πKatibu mwenezi wa sera za chama ni dronedrake.
View attachment 2873542
View attachment 2873572
Una karibishwa kwa makofi na vigere gere.Nimecheka sana hiyo logo ya chama chetu..Huo mkono umezikamua hizo pesa mchezo.
Naomba form ya kujiunga
Wasalit huko watapigwa pipe nyama tuu..hawez chezea vyuma kwa watu wajinga jingaUna karibishwa kwa makofi na vigere gere.
πTuna omba utu letee vitu vya Glock 30 au ak 47 kwa ajili ya wasalitiπ€£π€
Nime ku pm ujueππ€Endelea na group lako πππ
Daahπ€£ππ, bro huo ukatili mbaya sana πWasalit huko watapigwa pipe nyama tuu..hawez chezea vyuma kwa watu wajinga jinga
Hapa kremlin ndio utaratibu wetuDaahπ€£ππ, bro huo ukatili mbaya sana π
Ndo ime Isha hivyoππ€£[emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna mchogo nausikilizia au ngoja nikufanyie mpango nakucheki sio muda
Dah kwa hali hiyo, uko salama kweli π€£ππ€Hapa kremlin ndio utaratibu wetu
Ahahahah...ukiona bado na report kremlin basi jua niko vyema...Hapa hakai msaliti hana nafas, Putin hachek na kima.Dah kwa hali hiyo, uko salama kweli π€£ππ€
Mbona ume ji tetea kwa speed hiyoπ€£ππ€Ahahahah...ukiona bado na report kremlin basi jua niko vyema...Hapa hakai msaliti hana nafas, Putin hachek na kima.
Niko vizur mdogo angu.πMbona ume ji tetea kwa speed hiyoπ€£ππ€