UWABATA- Umoja wa wanaume bahili Tanzania

UWABATA- Umoja wa wanaume bahili Tanzania

Tayari vyama vime ungana😃, dronedrake ata sema hilo.
Mjumbe uwe unahudhulia vikao sisi uwabata na chaputa ni vyama tofauti ila tuna mikataba mingi baina ya wenyekiti wetu.bilateral treatment.mfano chaputa wamepewa haki ya kugombea nafasi za kugombea uongozi uwabata kwa kigezo cha kiwango cha kuhonga kutopita elekezi cha tshs 22k kwa mwezi.
 
Mjumbe uwe unahudhulia vikao sisi uwabata na chaputa ni vyama tofauti ila tuna mikataba mingi baina ya wenyekiti wetu.bilateral treatment.mfano chaputa wamepewa haki ya kugombea nafasi za kugombea uongozi uwabata kwa kigezo cha kiwango cha kuhonga kutopita elekezi cha tshs 22k kwa mwezi.
Dah jinga sana 🤣😁🤒
 
Basi nipe deal na mimi nije huko mjini 🤒
Nyinyi si ndio mnatutukana watu wa dar..☺️☺️😊😊🤣🤣🤣

I bet wewe ni kijana mzur I bet to be true...

Inabidi uwe very humble na usiwe na tamaa Niku introduce sehemu Ili ufanye diversification ya life lako...

NB

Upo tayar kubeba ma boksi na hiyo degree yako Kwa 250,000 na 3000 per day..
 
Nyinyi si ndio mnatutukana watu wa dar..☺️☺️😊😊🤣🤣🤣

I bet wewe ni kijana mzur I bet to be true...

Inabidi uwe very humble na usiwe na tamaa Niku introduce sehemu Ili ufanye diversification ya life lako...

NB

Upo tayar kubeba ma boksi na hiyo degree yako Kwa 250,000 na 3000 per day..
3000 mara 25 ni 150 na hutaki aibe atatransform vipi
 
Back
Top Bottom