UWABATA- Umoja wa wanaume bahili Tanzania

UWABATA- Umoja wa wanaume bahili Tanzania

Mwenyekiti Natafuta Ajira una lipi la kusema kwa wanachama wako!?
Asante sana kwa kunikaribisha hapa. Mimi kama mwenyekiti hili suala nitapambana nalo usiku na mchana bila kuchoka

Hawa kausha damu ni nguvu kazi ambayo inabidi iwe utilized kwa maendeleo ya taifa na sio kuishi kwa kuombaomba na kudanga. Wadangaji wote wanatakiwa kuwa jela kwa sababu nchi hii hairuhusu biashara ya ngono.

Najua kuna wanaume madomo zege,wazee wastaafu na wasiojiamini wanatumia pesa kuficha udhaifu wao yaani ukiondoa pesa habakiwi na character yoyote ya mwanaume, hawa hatuwezi kuwatupa tutawapa somo mpaka waelewe.

Namalizia kuandaa amri kuu za UWABATA na nitazileta hapa. Nasema haya makausha damu nitayapiga kama mambwa mpaka yaite maji mma, pumbavu kabisa.
 
Asante sana kwa kunikaribisha hapa. Mimi kama mwenyekiti hili suala nitapambana nalo usiku na mchana bila kuchoka

Hawa kausha damu ni nguvu kazi ambayo inabidi iwe utilized kwa maendeleo ya taifa na sio kuishi kwa kuombaomba na kudanga. Wadangaji wote wanatakiwa kuwa jela kwa sababu nchi hii hairuhusu biashara ya ngono.

Najua kuna wanaume madomo zege,wazee wastaafu na wasiojiamini wanatumia pesa kuficha udhaifu wao yaani ukiondoa pesa habakiwi na character yoyote ya mwanaume, hawa hatuwezi kuwatupa tutawapa somo mpaka waelewe.

Namalizia kuandaa amri kuu za UWABATA na nitazileta hapa. Nasema haya makausha damu nitayapiga kama mambwa mpaka yaite maji mma, pumbavu kabisa.
Barikiwa mwenyekiti wa chama Cha uwabata 🙏💪💪.
👉Tuna subiri amri hizi😁
 
Sawa tulikubaliana hakuna kuhonga.

Ila kilichonikuta kwa Fatuma hadi nimempa kiwanja.
Ni siri yangu tu najuwa hata angekuwa mwenyekiti mwenyewe asingechomoka kwa huyo mtoto!

NAKAZIAAA

Yule mtoto jambazi.

Niwaulize tu kidogo humu ndani hivi ni nani kati yenu anaijuwa style ya
INGIZA KAMA UNAINGIA MWAKA MPYA NA UKATE KAMA JUNUARY?
 
Sawa tulikubaliana hakuna kuhonga.

Ila kilichonikuta kwa Fatuma hadi nimempa kiwanja.
Ni siri yangu tu najuwa hata angekuwa mwenyekiti mwenyewe asingechomoka kwa huyo mtoto!

NAKAZIAAA

Yule mtoto jambazi.

Niwaulize tu kidogo humu ndani hivi ni nani kati yenu anaijuwa style ya
INGIZA KAMA UNAINGIA MWAKA MPYA NA UKATE KAMA JUNUARY?
Hatu husiki na Sera hizo, sisi ni uwabata for life 🤣😁🤒
 
Back
Top Bottom