Ilikua lazima wawekwe kwenye pitch kwa sababu walishindwa kujaza uwanja,wangeruhusu watu wakae majukwaani kingekua kituko.Kwa makusudi majukwaa yalikuwa empty ila watu wakalazimishwa kukaa kwenye pitch
Kuhusu waandishi nadhani hakuna anataka kuwa azory Agwanda
Kama umeharibika Ccm (Serikali) itagharamia marekebisho uchaguzi ukimalizika.Mbeya sasa mbona WCB walilipa faini
Aaah wapi? Kwa sasa menejiment ya uwanja itulie tuu ili kuponya kazi za watu wake wasije zipoteza au kupoteza maisha.CCM wakatwe ruzuku kugharamia matengenezo ya uwanja.
Na malori yote bado hawakujaa?Ilikua lazima wawekwe kwenye pitch kwa sababu walishindwa kujaza uwanja,wangeruhusu watu wakae majukwaani kingekua kituko.
Uwanja wa nani?CCM wakatwe ruzuku kugharamia matengenezo ya uwanja.
Wameuchimba chimba mashimo halafu watu walikusanywa eneo moja kwenye pitch wakaharibu nyasi baada ya kuona kuwa wangekaa majukwaani ingekuwa aibu. Pia umejaa takataka hadi vyooniMbona baadhi wanasema uwanja haukua na watu sasa huo uharibifu umatoka wapi,
wakati nyomi ndio husababisha uharibifu wa viwanja.
Picha ziko wapi
Hivi Kuna waandishi wa habari wanaotumia weledi wao? Naona sasa hivi weledi weka pembeni, tumia unafiki na kujipendekeza. Weledi tutatumia huko mbele ya safariJana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.
Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.
Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi ila kwa Jana kimyaaaa kila mtu anaogopa.
Waandishi wanaogopa kuuliwaJana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.
Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.
Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi ila kwa Jana kimyaaaa kila mtu anaogopa.View attachment 1595489
Babuu mganga taratibu mzee mwenzangu maneno yako hayoo hahahahahaWalienda kukulana?
Chama hovyo kabisa hiki.Jana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.
Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.
Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi ila kwa Jana kimyaaaa kila mtu anaogopa.View attachment 1595489
Siku nyingine kabla ya kuandika hakikisha ubongo wako unaushirika mzuri na vidole vyakoWao ndiyo waliyoutengeza hivyo kama wameuharibu wao bado wao ndiyo watakaourekebisha. Acha majungu.
Ndugu yangu, waandishi wa habari hilo watalisemea wapi?Jana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.
Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.
Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi ila kwa Jana kimyaaaa kila mtu anaogopa.View attachment 1595489
Wabongo bana, elimu,elimuu,elimuuuu.Wao ndiyo waliyoutengeza hivyo kama wameuharibu wao bado wao ndiyo watakaourekebisha. Acha majungu.