Uwanja wa Mkapa: Yanga yashindwa kutamba uwanja wa nyumbani, yalazimishwa sare na Kagera Sugar

Mkuu kama una bet nenda uweke correct scores
Yanga 5
Kagera 3
weka ata jero utanishukru badaye🤑🤑
 
Ww tulia hapo hapo dawa ikuingie
 
Mbaazi ikikosa Maua.......[emoji3]
 
Half time Yanga 2 -Kagera 3 bado tunasubiri tuone mtu anavyonyolewa na mod😁
 
Si niliwaambia mjiandae na statement ya lawama?
 
Tuliza mshono dogo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…