Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Chadema wanalazimisha kafara za damu,

Ndio maana ya kuvaa rangi nyekundu,

Wamejiaandaa kumwaga damu za watanzania.
 
A bundle of words but meaning nothing.
 
Hatari sana!
 
Hili ni moja ya andiko bovu zaidi kuletwa hapa JF na member wa level kama yako. Ngoja nikuonyeshe utoto wa andiko lako kimantiki.

Kwanza ulipaswa kuhoji kuhusu Mdude alikuwa anamaanisha nini kuhusu 'wembe uliomnyoa Magufuli', halafu ukishapewa maana yenye kujenga uhalisia ndio uje uhoji ni vipi 'wembe huo huo utawezaje kumnyoa mama Samia'?

Kuweza kukusaidia tu, maana ya 'wembe uliomnyoa Magufuli', kimantiki ni harakati zile zile cha Chadema za kupinga na kuikosoa serikali ya CCM bila kuchoka wala kuogopa hata kama wanateswa, kuonewa, kudhulumiwa, kutishwa, kununuliwa, kufungwa, kupotezwa na kuuwawa. Yaani hakuna kukoma. Na Chadema walisimama imara kipindi chote cha utawala wa Magufuli, wakimnyima usingizi hata alipokuwa amefariki dunia na watanzania kufichwa habari zake. Chadema hawakuionea huruma wala aibu maiti ya Magufuli.

Mwisho ninapenda kukupa angalizo tu, anachokifanya sasa mama Samia dhidi ya Chadema na wanaharakati sio kitu kizuri na sio chema, ulipaswa kukipinga kwa namna yoyote ile, kujifanya mnafiki na kuibeza Chadema hakutakufanya wewe kuwa salama mbele ya mama Samia, ipo siku ubaya huu huu utakukuta kwa kuwa shetani hana rafiki wa kudumu. Nadhani hukujifunza kwa yale ya Magufuli, mwanzoni uliona ni fahari kumshangilia Magufuli kipropaganda lakini mabaya yalipokufuata ulipo nawe ukageuka na kumpinga Magufuli.

Muda ni mwalimu mzuri.
 
Haa ha ha ha ha ha .
 
Acha ubashiri, unaishi na majini hadi utake kuelewe alichokuwa akikimaanisha Mdude??

Mdude alijisemea kwa nafsi yake, uliona akisema kwa kuiweka chadema kwamba itamnyoa Raisi?

Alisema yeye ndiye atakayemnyoa Rais na sio chadema itamnyoa Rais

Mdude pekee ndiye anajua alikuwa akimaanisha nini wakati akisema huo ujinga na siyo unavyotaka kutuaminisha wewe
 
Umemaliza. Asante sana.
 
Umekariri kuwa siku zote Ni jumapili.
 
Hahahahaha eti mpigania uhuru walitegemea wampige mkwara amir jeshi kisha akae kimya wamebaki kulia lia tu.
 
Hio katiba kwa akili zako unazani ni kwa Faida ya Mbowe? Nazani ndivyo unavyo wadanganya ndugu zako
Chama chochote kinapokuja na Ajenda lazima iwe na faida kwao kuliko hasara hasa kwa kupata ushawishi toka katika jamii.

Hoja ya katiba Chadema wamefelu pakubwa sio hitaji mguso la wananchi wengi kwa sasa ndio maana wananchi wanawapuuza wanajihutubia wao kama wao tu .
 
Huu ndio Ujinga . Yaani Chadema wanatafuta chambo kwenye Vitaa wanataka raia tuandamane tupigwe Risasi alafu tufee wao viongozi wako kwenye Usalama na wengine wako Ulaya na Canada sisi ndiyo tuonekane Wabaya wao wapate mtaji wa kisiasa.
 
Nadhani hilo nao wanalijua na probably wamelitafakari lakini options ndiyo tatizo linalowakabili, Mbowe ametanguliza sana siasa za kistaarabu kwa kutegemea kwamba dialogs zitaleta matokeo na ndicho kinachomkwamisha. Chama chao cha CHADEMA I think it's about time wawe na mwenyekiti hardcore na viongozi wengi wa ngazi za juu pia wawe makauzu na walio tayari kwa lolote hiyo itawatia morari hata wafuasi wao.
 
Hizo confrontational politics zimewapa viti vingapi vya ubunge mwaka jana ?

Au matokeo ya hizo confrontational politics na yenyewe yanategemea huruma na hisani ya CCM ?

Wakati makengeza mbowe ametanguliza misukule yake kwenda Mwanza kqenye sherehe za Uhuru kutafuta maridhiano, ilikuwa ni mikakati ya hizo confrontational politics Meku ???
 
Wewe ndiyo unatia kinyaa, eti 'mama' kajitahidi kuwapa political space. Hiyo political space inatoka kwa hisani ya huyo kigagula au ni haki iliyopo kwenye katiba?
Jaribu kuficha upumbavu wako mbele wa watu waliokuzidi akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…