Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.

Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.

Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."

Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?

Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.

Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.

Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.

Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.

Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.

Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"

Ni Mjinga tu ndio Ataubeza Upinzani
20210716_160047.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Ukisikia naye kaenda Mzena urudi tena hapa kuuliza tutakupa majibu Mungu hataniwi , yaani Chahali hata hufahamiki unapigania nini , labda ulikuwa unampinga Magufuli tu , sisi tunapigania haki za nchi , ikiwemo Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Mkuu,

Hakuna siri tena kwamba Chadema mnapigania tu maslahi yenu
 
nimesoma mawazo yote ya wachungaji, ikiwa katiba ni ya wachache hao chadema kwa nn ccm wasiwaache waendelee na agenda yao isiyofaa?
 
Niliwahi kusema, iwapo huyo mama ataonyesha yeye ni nani kisa maneno ya huyo Mdude, basi nitadhibitisha kuwa mama ni rais mwenye upeo mdogo kwelikweli. Nilitarajia kuona hatua dhidi ya watu waliojiunganishia bomba la mafuta, lakini unaona jeshi lote la polisi likifanya ubabe wa kijinga kisa rais hataki kuonekana dhaifu kwa maneno ya kina mdude. Kwahiyo rais anaonyesha uimara wake kwa maneno ya wahuni waliobambikiwa kesi.
Kwahiyo mdude ni muhuni tu???
 
Chahali una akili ndogo sana, unalinganisha kati ya mvunja sheria mwenye madaraka na polisi upande wake, dhidi ya anaetii sheria, asie na madaraka wala polisi, ila mwenye kauli tu?

Umepitwa na wakati.
Anatafuta njia na namna ya kurudi nyumbani huyo!

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
 
Samia ni dikteta kwa sababu hafuati sheria, kutumia kigezo cha kuwafutia kina Mbowe kesi ndio u-justify Samia sio dikteta ni ufinyu wa kufikiri, hii nchi inaendeshwa kwa sheria sio hisani.

Unajichanganya mwenyewe!!
Kumbe ulitaka asiwafutie kesi.

Wewe binafsi famila yako inakushinda.
Kijana tulia punguza hisia za chuki hazisaidii
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Kwa mtazamo wako mtu kupata haki ni hisani .kama tumefika hapo basi ni shida sana
 
Naichukia chadema na nafurahi walivyokamatwa mwanza na nafurahi bandiko lako ILA wewe jamaa ni Kati ya watu wajinga ambao mmavuta oxygen ya bure tu
Yani watu kuonewa kwako ni furaha .Niki punguza mihemuko Bado safari ni ndefu Sana.
 
Shida kubw inayoikumba chadema kwa sasa ni mipango yao mibovu wameiga mavazi ya EFF wameshindwa kuiga mfumo wao .

Wao wameshika ajenda isiyokuwa na nguvu kwa Watanzania KATIBA .

Watafute ajenda zenye tija
Duniani hakuna mtu ambae haigi hata MAENDELEO tuliyonayo tumeiga kwa Wazungu hivo kuiga kitu sio kosa.
 
Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.

Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.

Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."

Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?

Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.

Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.

Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.

Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.

Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.

Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"


Wembe upo wa aina nyingi kumbuka Mama huyo anataka kujenga uchumi na anategemea watanzania wote, katika dunia ya sasa na haswa nchi za dunia ya tatu yenye budget tegemezi yenye kutegemea nchi wahisani na jumuiya za kimataifa atawekewa vikwazo na kukosa fedha ambazo zinahitajika kwa miradi ya kimkakati. Tunarudi kule kwenye vita ya kiuchumi
 
Umesahau kuwa Mbowe hana kisomo ? Binafsi sikuwa najua Mbowe ni mjinga kiasi hiki. ,mama kahitahidi mno kuwapa polotical space ,wao wakamuu kufanya tofauti ,inatia kinyaaaa kwa kweli ,kwa wale amabao sia wachanga humu nawapeni jina la mtu mjinga kama mbowe ni huwa anaitwa TONDO ,wanajamvi kuanzia leo naombeni kabisa hili jina linamfaa Mbowe
Mbowe ana elimu kubwa tu hauko sahihi tafuta CV yake uione .
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Tubaki na chama kimoja tu ila tusisikie kelele huu ya tozo na kodi za mafuta
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Mbowe anawaiga vijana kina Malema aibu sana.

Watanzania waache kufikiria Tozo za miamala wamfikirie Mwanasiasa ambaye hana kipya kwao.
 
Hawa jamaa labda ndo wamezea vya kunyonga ..vya kuchinja hawawezi..
Wengi mno tuliwa onya kuwa
'confrontational politics' hazitawwsaidia kabisa..

Imagine mtu kama Mbowe anaweza kweli kusema Samia dikteta?Samia kasimamia wafutiwe kesi hadi kurusishiwa hela?
Kamtoa Mdude na bado Mdude mibangi kamtukana?
This time wananchi wengi hawana time kabisa na siasa uchwara za kulazimisha migogoro hata kama haipo..

Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Hahahaha 😂😂😆😂
 
Hizo confrontational politics zimewapa viti vingapi vya ubunge mwaka jana ?

Au matokeo ya hizo confrontational politics na yenyewe yanategemea huruma na hisani ya CCM ?

Wakati makengeza mbowe ametanguliza misukule yake kwenda Mwanza kqenye sherehe za Uhuru kutafuta maridhiano, ilikuwa ni mikakati ya hizo confrontational politics Meku ???
Mwaka jana hakukuwa na uchaguzi, kulikuwa na unyang'anyi.

Ndiyo maana Mungu akachukia. Divine intervention ikashuka Tanzania mwezi March 2021.

Unyang'anyi ukiendelea, divine intervention is always there - jiandaeni tu. Mungu hawezi kukubali watu wake wateseke miaka 60 baada ya kujitawala. NEVER!
 
Mwaka jana hakukuwa na uchaguzi, kulikuwa na unyang'anyi.

Ndiyo maana Mungu akachukia. Divine intervention ikashuka Tanzania mwezi March 2021.

Unyang'anyi ukiendelea, divine intervention is always there - jiandaeni tu. Mungu hawezi kukubali watu wake wateseke miaka 60 baada ya kujitawala. NEVER!
Mkishavuta bangi mkashushia na mbege iliyochacha mnadhani Mungu ni kaka yake makengeza mbowe na yupo kwaajili ya kuwasikiliza ninyi tu.

Kwahiyo sasa hivi hiyo Divine intervention imeshuka Chaggadomo na kwenye familia ya mbowe. Inawapukutusha balaa kina Baregu, kaka Mbowe, Karugendo nk

Laana ya kumuua Chacha Wangwe imeanza kuwatafuna
 
Mkishavuta bangi mkashushia na mbege iliyochacha mnadhani Mungu ni kaka yake makengeza mbowe na yupo kwaajili ya kuwasikiliza ninyi tu.

Kwahiyo sasa hivi hiyo Divine intervention imeshuka Chaggadomo na kwenye familia ya mbowe. Inawapukutusha balaa kina Baregu, kaka Mbowe, Karugendo nk

Laana ya kumuua Chacha Wangwe imeanza kuwatafuna
Wachague moja tu - kutenda haki au la divine intervention inawahusu. Hilo halina ubishi!
 
Back
Top Bottom