monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
We jamaaBasi kwa
Kwa hiyo kwa sababu hukukumbatiwa basi ni wabaya sana
Naomba badhi ya kanuni zao na uzuzu wao
Pia umesema hawajui neema ya Mungu naomba kujua kimaandiko neema ya Mungu ni nini?
Pia wanashikaje torati, bado wanachinja mbuzi na kondoo na ng'ombe ? Kama sadaka ya kuondoa dhambi?
So chuki zako binafsi ndio unasema watu wa watu? Mbona ndio ushetani wenyewe waonyesha hapa? Kwa hiyo unasema baba yako hana akili huoni una laana wewe? Maana biblia inasema ana laana amdharaue babayeHeri yako wewe umekumbatiwa. I’m done with you maana hata mngetaka kunikumbatia nisingekubali. Nyinyi ni mashetani. Na huyo mtu endeleeni kumng’ang’ani mkimchoka mkumbusheni sisi hatukumchoka.
Nyote mmepigwa hakuna unafuu.Hiyo dini ya waitalia na mizimu yao, hakuna Mungu wa Israel hapo.Katoliki hamna huo ujinga wa ndoa mbili
Nasemaje huko faraghani leo mtabong’oka sana i said what i said msinilishe maneno. Unaonekana unaujua ukweli but you are just in disguise. Nampenda baba yangu sana na kinachowauma zaidi ni anajua nampenda nae ananipenda zaidi na you people won’t rest kila siku ni kumjaza chuki. Fanyeni mnayofanya na Mungu yupo anafanya yake pia. Mtadhalilika. If anything i said here ni ya uongo wasingekuwepo wanaodhani na kujua ninayojua mimi kuwahusu. With regards, MIMI.So chuki zako binafsi ndio unasema watu wa watu? Mbona ndio ushetani wenyewe waonyesha hapa? Kwa hiyo unasema baba yako hana akili huoni una laana wewe? Maana biblia inasema ana laana amdharaue babaye
Nilichoomba na ulichosema kinadhihirisha kenge ni nani kwa dhahiri.We jamaa
Simama juu ya meza hapo sitting room
Afu jipige pige kifua Mara tatu
Sema mimi ni kengeee
All you have said here is hatred and lies. Kama unaichukia UWATA kwa sababu zako sema yaliyo ya kweli basi peke yake usiwasingizie.Nasemaje huko faraghani leo mtabong’oka sana i said what i said msinilishe maneno. Unaonekana unaujua ukweli but you are just in disguise. Nampenda baba yangu sana na kinachowauma zaidi ni anajua nampenda nae ananipenda zaidi na you people won’t rest kila siku ni kumjaza chuki. Fanyeni mnayofanya na Mungu yupo anafanya yake pia. Mtadhalilika. If anything i said here ni ya uongo wasingekuwepo wanaodhani na kujua ninayojua mimi kuwahusu. With regards, MIMI.
Bado huwajui wwHapa kuna uongo mwingi ndugu mtoa post. Kwanza UWATA si dhehebu bali ni kikundi cha watu wa madhehebu mbali mbali wanaojumuika pamoja kusali (fellowship). Kila mtu husali kanisani kwake. Hawafungishi ndoa wala hawabatizi, ndoa utafungisha kanisani kwako (katika madhehebu yako) ni watu wanaoheshimu dini za watu wengine na ni watii. Ni watu wasiopenda kuumiza wengine kabisa. Kujiunga na fellowship yao ni hiyari.
Wanachoamini.
1. Biblia ni NENO la Mungu. Hivyo kila ajiungae huamini hivi si kwa kulazimishwa bali kwa kujua hivyo na kuamini mwenyewe.
2. Mwanauwata anaamini kuwa YESU Kristo ni mwana wa Mungu alizaliwa, akaileta injili kwa ajili ya kumkomboa yeyote amwaminie, akasulubiwa msalabani akafa akazikwa akafufuka na yu hai sasa, naye atawahukumu wote ambao hawakumwamini na kuishi uovu.
3. Wanaamini wokovu ni kwa Yesu tu , na kuufikia ni kutubu, yaani kuungama dhambi na kuzicha. Biblia, Mithali 28:13. Azifichae dhambi zake hatafanikiwa bali yeye aziungamae na kuziacha atapata msamaha.
4. Wanaamini kuwa kuishi wokovu wa Kristo Yesu ni kuwa na amani na watu wote. BIBLIA, Webrania 12:14 Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;
5. Wanaamini kabisa kuwa familia ilianzishwa na Mungu, hivyo wao hawawezi kamwe kufusa ama kuharibu familia.
Kwa haya tu sidhani kama ndio hao au ni impersonation imefanywa na hao watu wabaya wanaojiita uwata lakini si UWATA niwafahamuo.
Hayo ni yako wewe. Kila mtu na aamini anachokiaminNyote mmepigwa hakuna unafuu.Hiyo dini ya waitalia na mizimu yao, hakuna Mungu wa Israel hapo.
Zinapendeza mm naona si ndio au unasemje?kuliko kuvaa mini na skin ili kututamanisha au siyo mkuuHizi hapa ndo sketi zao View attachment 2672391View attachment 2672392
Mwambie aniambiye au pengine wewe unayajua unisimulie, rafiki?Pole kwa matatizo ya kifamilia,ila nasikitika kusema kuwa uliyoyaaandika kuhusu UWATA sio kweli,pengine kuna mambo mzee wako hajakuambianhaswa kuhusu familia yenu na anayoyapitia.
Pole kwa matatizo ya familia yenu natumai siku moja mambo yawe sawa.Mwambie aniambiye au pengine wewe unayajua unisimulie, rafiki?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee pole kuna ndugu yangu nae sijui kahamia kanisa gani huko kakatazwa kupika arobaini ya mama yake. Wooote wamekuja yeye haonekani kuja kuuliza ndiyo kuambiwa dini yake hairuhusu.Kazi kaacha mbwa yule kutwa kwenye mtandao anauza bidhaa za kupunguza mwili basi tafrani yaani.
kiufupi ukisha mkiri Kristo Yesu kua ni Bwana na Mwokozi wa maisha yako na ukaamini kupitia njia ya msalaba ulipewa msamahawa dhambi,Basi kwa
Kwa hiyo kwa sababu hukukumbatiwa basi ni wabaya sana
Naomba badhi ya kanuni zao na uzuzu wao
Pia umesema hawajui neema ya Mungu naomba kujua kimaandiko neema ya Mungu ni nini?
Pia wanashikaje torati, bado wanachinja mbuzi na kondoo na ng'ombe ? Kama sadaka ya kuondoa dhambi?
Wasionijua walikuwa wananikumbatia ila mimi nilikuwa naitwa wa duniani, eti wenyewe wanaongea na Mungu live [emoji23][emoji23]Basi kwa
Kwa hiyo kwa sababu hukukumbatiwa basi ni wabaya sana?