Unamjua roho ?? Roho ni Mungu na Mungu ni Roho, awamaanishi roho tu?
Inamaana roho takatifu ya Mungu,nani kakwambia roho anachangamana na dhambi?
Hakuna swala la sheria wala nini usijidanye amua moja kula bata kama mwanangu sana
leftyie worldie au amua kuwa mtakatifu na si mwanadini,
Usije Kukosa vyote bata hujala na mbinguni unaenda,
Achana na huu uuni wa likalabosika unafikir roho anakata kwa mchawi,mzinz,mla rushwa?
Unafikir roho wa Mungu anatangazwa hakuna kitu kigumu kama kuwa na roho wa Mungu hapa duniani,maana utaishi kama malika,
Maana yule kumtunza ni noma ni ngumu,na huwezi kumpata kizembe kumbuka shetani ni Roho,
Na Mungu na shetani ni washikaji,sehemu ambapo yupo Mungu shetani akosi,
Nawasilisha