Uwekezaji wa vyumba vya kupanga, mrejesho wa uwekezaji

Uwekezaji wa vyumba vya kupanga, mrejesho wa uwekezaji

Hii biashara ni nzuri hasa ukiwa kazini na mambo yako yanakwenda vzr.

Wakati naanza maisha nilikopa then nikajenga nyumba ya 3 rooms,

Baadae nikaongeza nyumba 2 za
wapangaji ya chumba na sebule

Kwa sasa nimepangisha zote, nyumba kubwa 270,000 na nyumba ndogo 2 kwa 150,000 each. Kila baada ya miezi mi3 nikawa nachukua hela

Matokeo
Niliweza Jenga nyumba self ya 2 bedroom for 2 yrs kutumia hela ya Kodi (of course iliegemea ukuta so initial cost nilikuwa nimeiweka na maybe plus small addition from mfukoni kwangu)

Kwa sasa nachukua Kodi ya 800,000 kwa mwezi na nazipokea kila baada ya miezi mi4.

Kwa sababu Niko kazini, all is going well na target yangu nikumaliza haka kamjengo Ka 2bedroom nilikokaanza mwaka huu kwa hela ya pango Tu. Yaani faida ya kuoangisha najengea.
 
Wakuu mko vizuri?

Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.

Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa.

Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).

Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana.

Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).

Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).

Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili.

Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit.

Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!

Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.

View attachment 3241776View attachment 3241777
Hongera sana. Ungeweka na kajiko kadogo ka kizushi ungeweza kulamba kodi kubwa zaidi. Hapo inabidi wapikie nje...
 
Kwa wale wanaopenda real estate Kibaha ,ila hawajui pa kuanzia tuwasiliane kwa 0713 039 875
Nina viwanja vyenye hati nilivyonunua toka Manispaaa ya Kibaha,viko eneo linalozunguka hopitali ya wilaya Kibaha,kata ya picha ya ndege. Eneo hili ni kilomita 3 toka stend ya Kibaha,zinakoanzia mwendokasi za kwenda kariakoo. Pia kuna kiwanja kina vyumba viwili vya kuanzia

View attachment 3242945View attachment 3242950
Ok safi sana mkuu. Fursa nzuri hii.
 
Afadhali leo nimemjua member wa JF wa kwanza kiuhalisia, nimempangiehia my small wife hapo. Tukikutana sijui itakuwaje maana mwezi mtukufu unaanza! Dah ngoja nikukwepe hadi mwezi uishe.
Uchune mkuu kama hatujuani, piga kimya😂😂
 
Hongera sana. Ungeweka na kajiko kadogo ka kizushi ungeweza kulamba kodi kubwa zaidi. Hapo inabidi wapikie nje...
Uko sahihi, ila niliona mambo yasiwe mengi sana mkuu in terms of costs. Na pia ninaowalenga wengi ni wale ma bachela..... Ndo kuna demand kubwa sana huku kwa makazi ya mabachela (chumba self peke yake, au chumba self + sebule).
 
Pesa tunapata zinapiriza tunashindwa ku save unajua mwisho manyanyasi kwa wenenyumba ni makubwa wajari wapangaji zako maana wanachokipitia kumbuka na wanao huenda wakawa wanapitia izo code🤣🤣🤣muwaeshimu wapangaji maana hao ndio wanawaweka mjini
 
Hii biashara ni nzuri hasa ukiwa kazini na mambo yako yanakwenda vzr.

Wakati naanza maisha nilikopa then nikajenga nyumba ya 3 rooms,

Baadae nikaongeza nyumba 2 za
wapangaji ya chumba na sebule

Kwa sasa nimepangisha zote, nyumba kubwa 270,000 na nyumba ndogo 2 kwa 150,000 each. Kila baada ya miezi mi3 nikawa nachukua hela

Matokeo
Niliweza Jenga nyumba self ya 2 bedroom for 2 yrs kutumia hela ya Kodi (of course iliegemea ukuta so initial cost nilikuwa nimeiweka na maybe plus small addition from mfukoni kwangu)

Kwa sasa nachukua Kodi ya 800,000 kwa mwezi na nazipokea kila baada ya miezi mi4.

Kwa sababu Niko kazini, all is going well na target yangu nikumaliza haka kamjengo Ka 2bedroom nilikokaanza mwaka huu kwa hela ya pango Tu. Yaani faida ya kuoangisha najengea.
Safi sana aisee...!! Nimependa ulivyoanza mdogo mdogo.
Na mimi nitanogewa nahisi, naanza kujipanga tena kukusanya hela nijenge zingine tena!!
 
Pesa tunapata zinapiriza tunashindwa ku save unajua mwisho manyanyasi kwa wenenyumba ni makubwa wajari wapangaji zako maana wanachokipitia kumbuka na wanao huenda wakawa wanapitia izo code🤣🤣🤣muwaeshimu wapangaji maana hao ndio wanawaweka mjini
Sisi kama binadamu kuheshimiana ni muhimu sana mkuu, bila kujali status zetu au tuna nyumba, ah hatuna, au tuna hela au hatuna.Tuheshimiane kwa ubinadamu wetu!
 
Wakuu mko vizuri?

Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.

Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa.

Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).

Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana.

Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).

Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).

Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili.

Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit.

Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!

Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.

View attachment 3241776View attachment 3241777
Ongera Sana , Uwekezaji Wa Nyumba Auongopi , Unachotakiwa Kwa Sasa Funga Msuri Kaka
 
Back
Top Bottom