Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Kukulipizia,

Kwanza jifunze tofauti ya "coat" na "quote" kabla ya kujibizana nami.

Ukianza kuandika "coat" kwa kumaanisha "quote", unanipa signals kwamba you are semi literate, at best.
Maana halisi ya coat ni covering/holdings maana tunaanza kufundishana Hadi maana za maneno

Energy hujui sijui form one ulienda kula makande shule maana hiyo ni kazi ya mwalimu wa phys wa pre form one.
Hujui hata maana ya coat ,sijui yule mwalimu wa kingereza wa darsa la tatu D ,alikuwa anakula hela za wazazi wako za bure
 
Mkuu,

Kukuuliza energy ni nini maana yake ni kwamba sijui maana ya energy?

Unaelewa hata Socratic method ni nini?

Naanza kunusa ignorance on your part.
Jibu hoja ukiuliza swali it's means wewe ni mjinga ,ujinga SI tusi ni kutojuwa Sasa kama unajua na unauliza nianze kuendelea kuprove maneno yangu unashida kwenye akili nuts hazipo sawa
 
Kuna ile story kwenye biblia pia , Mungu akaufanya moyo wa farao uwe mgumu , asiwaruhusu Israel, baada ya apo akaua kila mzaliwa wa kwanza wa misri kwa wanyama mpka watoto.

Ili tu kila mtu ajue kwamba yeye ni bwana .
Ile stori ni kituko, katika soga zinazochekesha ile ipo😂
 
Mungu anapenda kuabudiwa kuliko Idi Amin!

Yani anaua watoto kibao, iki watu wamjue tu.

Kwani alishindwa kuandika maandiko makubwa mawinguni watu wote wamjue bila utata, bila kuua watoto?

Huyu Mungu yupo kweli au watu wamemtunga tu?
Mkuu kiranga,
Unajua ukifikiri sana unaweza kusema kama wayahudi walikuwa ni watu wanaopigana vita, huenda ilikuwa ni njia moja ya kuinspire watu na ku raise ile willingness ya watu kuwa tayari kupambana.

Kuna aina fulani ya kama conspirancy theory walizokuwa wanatumia kuwatisha maadui😂
Kuna siku nilikuwa naangalia the ellen show guest akiwa obama kuna mtoto anaitwa matty ni presidental expert.

Yule mtoto akamuuliza obama nasikia america ina direct contact na viumbe kutoka sayari zingine kama vile alien.
Akasema that’s secret ila baadae akajibu ndio tunayo.

Hizi jamii za kale ukichunguza hivi vitabu vilitengenezwa kuongeza ile hali ya kuwa tayari kupigania itikadi zao sio biblia wala Quran.
 
Lakini ndugu yangu Kiranga nafikiri Leo umeelewa maana unaoneaga dagaa ,ila uwende hospital haiwezekani ufananishe kinyesi na Mungu ,huu ni ujuha wa SGR,
Uwahi hospital naamini Sasa tupo pamoja ,lakini ndugu yangu kilanga kwanini udanganye wakati facts unazijua eti?
Au maisha ni magumu kiasi hicho et ,kama maisha magumu weka namba usimlaumu Mungu ukakufuru bure sisi wanajamvi hatuna vingi ila tukikuona mkongwe umebanwa tutachanga vibukubuku na vijero jero,siyo maisha yakupige uishie kukufuru acha hizo bwana kaka
 
Wewe ni myahudi
 
Nahitimisha Kwa kusema Mungu yupo maana kubwa la maadui bwana Kiranga kala Kona,
Na kama mtu anabisha aje na hoja za kupinga na aniambie anatka tubishane katika msingi wa kisayansi ama kiimani na akikisha umekwiva vizuri.
In addition BigBang theories inaelezea vizuri kuwa Mungu ameumba ulimwengu,nenda kasome biblia na Qur'an afu nenda kasome BigBang theory.
Vina ulinganifu mkubwa
 
Ukishanipa task ambayo ubongo wangu utashindwa ku imagine, hilo nalo litathibitisha Mungu mjuzi wa yote, nuweza yote na mwenye upendo wote hayupo.

Unaelewa hilo?
 
Mkuu,
Ila kuna mtu huwa anatamani umtoe ignore list lakini umegoma kabisa😂😂
Kwa huruma yako tunaomba umtoe jamaa mmoja anaitwa kisai huyu bwana anapenda sana kufanya mijadala na wewe yaani anakujibu karibia mara kumi kumi na tayari ushamwambia yupo ignore lakini bado anakufatilia sana🤣.

Tunaomuombea msamaha msamahe arudii tena alikosea tu.
 
Lakini kwanini unadhani ni lazima awepo wa kwanza tu?
Sio kwamba madhani bali nina hakika, sababu hakuna kitu kinachojitengeneza chenyewe Wala kinacho tokea pasi na chochote.

Kwahiyo Sasa wewe ni wajibu wako utuonyeshe kutokuwepo ulazima wa chanzo na utupe sababu.
Kwasababu Inawezekana asiwepo mtu mmoja pekee wa kwanza ambae ndiye alisababisha wengine kuwepo, (Elewa neno inawezekana),

Ushawaza uwezekano wa kuwepo wengi!?

Thibitisha hili na utuambie inawekana vipi sababu akili iliyo salama inakataa na uhalisia kadhalika. Lakini hao wengi nao tutakuuliza imekuwaje wakawepo ? Je wametokea pasi na chochote au wamejiumba wenyewe ?

Uwezekano wa kuwepo wengi unaanzia kwenye chanzo na hao wengi wanakuwa ni matokeo ya kile chanzo kimoja.
 
Kwanini unauliza swali ambalo umelijenga katika mtindo wa kwamba kuna mtu mmoja tu asababishe uzao wote tulionao hapa duniani!?
Sababu huu ndio uhalisia, na kama una makosa au sio sahihi onyesha uwezekano wa kinyume chake na utupe ushahidi.

Kuwa huru.
 
Na hata nkikubali wazo lako, vipi kama mtu huyo alijiumba yeye mwenyewe kutokana na either reaction za kikemia miaka mingi iliyopita ila bado hatujajua tu!?

Sasa hili pia itabidi ulitolee ushahidi na utuambie je kitu kinaweza kujiumba chenyewe ?

Usiseme haujajua tu, na kama hajujua huna haki ya kujadili hii mada sababu hujui kitu, lakini uje utuambie hapa kitu gani kimejiumba au kimewahi kujiumba. Usituletee ngano na visasili.
 
Wewe acha kudanganya watu.

Umeleta mada umeshindwa kuitetea, hapo yupo anajibu watu wengine.
Wewe ulishindwa tulia sasa.
 
Kumbe nawe umeliona hilo pengine amepitia changamoto nyingi katika maisha zime muathiri saikojolia toka hapo akaamua hakuna mungu. Naamini Ipo siku mungu atamuuondolea adha anayo pitia.
 
Sema mkuu huwa unalazimishaga mambo mtu alishakupeleka ignore list na hakujibu mara nyingi tu.

Ila wewe kulazimisha, acha hizo bana mtu kashakataa kuongea na wewe basi.
Hili nalijua kitambo sana na nimeshalielezea, lengo si kumjibu yeye, bali watu wengine wasome wapate faida kupitia yeye, na kuonyesha ujinga wake ulipo.

Sababu lengo ni kutoa elimu na kubainisha mambo.

Kwahiyo hili kisikushughulishe sana, najua nini nafanya.
 
Nenda Google utapata majibu ya maswali yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…