Uwezo wa Freeman Mbowe unafikirisha sana, karibia wapinzani wote Afrika wanaingia Ikulu

Uwezo wa Freeman Mbowe unafikirisha sana, karibia wapinzani wote Afrika wanaingia Ikulu

Mbowe ukimuangalia kwa wasiwasi unaweza kudhani jamaa ana mipango mizuri na uwezo wa kupeleka upinzani Ikulu, lakini ikifika uchaguzi ndio unafahamu hasa uwezo wake.

Majirani zetu karibia wote wapinzani wameenda Ikulu, wengine wamekuja wamemkuta Mbowe Ni mwenyekiti tayari lakini Leo wako Ikulu.

Mpinzani akishinda uchaguzi huu Kenya nadhani itakuwa ni wakati muafaka wa Mbowe kumpa uenyekiti ndugu Godless Lema naye ajaribu kutupeleka Ikulu.

Natanguliza shukrani.
Kwa upumbavu unaofanywa na CCM kutumia mitutu ya bunduki ya Polisi kuiba kura na kuvuruga uchaguzi ulitaka ahamasishe watu waingie msituni damu imwagike? Wewe mpumbavu kabisa
 
Nadhani sisi wananchi ndo matatizo na si Mh. maana kashapamban na yote wananchi ndo tunawazingua viongozi, na si wapinzani tu hata walio madarakani.
 
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!

Tulishapita hiyo hatua ya Rasimu , tupo hatua ya Katiba pendekezwa. Kilichosalia ni kupigiwa kura ya NDIO (kuikubali ) au HAPANA (kuikataa) ili tuanze zero ground.
Katiba pendekezwa sio katiba itakayopitishwa!ni Katiba yenye matakwa ya chama Tawala sio watanzania!itawekwa kandi HALAFU tuijadili Rasimu upya tuipate katiba halisi ya watanzania!!
 
Jiwe aliua demokrasia, wapinzani wali teswa na kufanyiwa udhalimu, hakukua na fair playing ground. Nadhani yule Dr. Mahere anaona aibu jinsi IEBC inavoendesha shughuli zake
Huyo kilaza aliyeleta post hii hakuwahi kulijua hili au anaishi nchi gani? Kuna mijitu inaboa sana nchi hii.
 
Jiwe aliua demokrasia, wapinzani wali teswa na kufanyiwa udhalimu, hakukua na fair playing ground. Nadhani yule Dr. Mahere anaona aibu jinsi IEBC inavoendesha shughuli zake
Mkuu hata biblia inasema; ufalme wa Mungu unatekwa na wenye NGUVU.

Jiwe alikuwa ni kipimo cha nguvu ya upinzani.
Alibaki mwenye nguvu mmoja aliyekuwa tayari kuutoa hata uhai wake naye ni LISSU.

Mbowe nimekosa imani naye hadi sasa amekompromaizi na ccm.

Je angepitia uvuli wa mauti kama Lissu si angeacha siasa kabisa?
 
Mbowe ukimuangalia kwa wasiwasi unaweza kudhani jamaa ana mipango mizuri na uwezo wa kupeleka upinzani Ikulu, lakini ikifika uchaguzi ndio unafahamu hasa uwezo wake.

Majirani zetu karibia wote wapinzani wameenda Ikulu, wengine wamekuja wamemkuta Mbowe Ni mwenyekiti tayari lakini Leo wako Ikulu.

Mpinzani akishinda uchaguzi huu Kenya nadhani itakuwa ni wakati muafaka wa Mbowe kumpa uenyekiti ndugu Godless Lema naye ajaribu kutupeleka Ikulu.

Natanguliza shukrani.
Mbowe ni NYERERE wa zama hizi- Tumia AKILI said.

Akiongea sauti yake inasikika Kutoka kaskazini Hadi kusini through East and West.

Mungu mbariki Kamanda Mbowe, Mungu ibariki TANZANIA.

Ameeeen.
 
Mkuu hata biblia inasema; ufalme wa Mungu unatekwa na wenye NGUVU.

Jiwe alikuwa ni kipimo cha nguvu ya upinzani.
Alibaki mwenye nguvu mmoja aliyekuwa tayari kuutoa hata uhai wake naye ni LISSU.

Mbowe nimekosa imani naye hadi sasa amekompromaizi na ccm.

Je angepitia uvuli wa mauti kama Lissu si angeacha siasa kabisa?
Unajua MBOWE anaemtumikia ni nani!!?

Yeye Ndio kioo cha Tanzania ijayo!Chama chake hakitoingia Ikulu Bali chama kipya Baada ya katiba Mpya kupatikana!!

Yeye anaweka mazingira ya chama kipya kuja ambacho ndicho kitashika dola!!sio CHADEMA!!Na CCM imeshafika ukingoni TAYARI!hakutokuwa na ccm tena Baada ya katiba Mpya kupatikana!!

"Nashauri makada wenzangu wa ccm wasitumie fedha nyingi sasa kwani siasa zitabadilika na ccm haitokuwepo tena Baada ya katiba kupatikana!!!itakuja nembo nyingine Baada ya ccm kufa kibudu!!Wasijitie umaskini bkwa kuhonga ndani ya CHAMA coz chama kipya kitachuja waadilifu pekee Ndio watapenya ndani ya chama!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
 
Pamoja na kutumia kila aina ya rasilimali tuliyonayo tanzania kumdhibiti mbowe na CHADEMA, bado mnasema ana uwezo mdogo? Achilieni demokrasia itamalaki kama iivyo Kenya halafu baada ya muda mje na kauli kama hizi.
 
Nahisi suala sio mbowe wala lema je Watanzania wapo tayari kuchagua mtu kulingana na sera anazonadi au bado ni kuangalia anatoka chama gani alafu baada ya hapo tuendelee kulalamika??
 
Mbowe ukimuangalia kwa wasiwasi unaweza kudhani jamaa ana mipango mizuri na uwezo wa kupeleka upinzani Ikulu, lakini ikifika uchaguzi ndio unafahamu hasa uwezo wake.

Majirani zetu karibia wote wapinzani wameenda Ikulu, wengine wamekuja wamemkuta Mbowe Ni mwenyekiti tayari lakini Leo wako Ikulu.

Mpinzani akishinda uchaguzi huu Kenya nadhani itakuwa ni wakati muafaka wa Mbowe kumpa uenyekiti ndugu Godless Lema naye ajaribu kutupeleka Ikulu.

Natanguliza shukrani.
Uganda , Rwanda, Burundi kote huko wapinzani wapo ikulu si ndio
 
Mkuu nimekukubali Mbowe amuachie GODBLESS JONATHAN LEMA Kijana Kama Julius malema wa EFF tuone tumechoka na siasa za kubembelezana.Ila ninachompendea Mbowe ni kwamba linapokuja suara la mgombea uraisi anatubadilishia radha.
 
Mbowe ukimuangalia kwa wasiwasi unaweza kudhani jamaa ana mipango mizuri na uwezo wa kupeleka upinzani Ikulu, lakini ikifika uchaguzi ndio unafahamu hasa uwezo wake.

Majirani zetu karibia wote wapinzani wameenda Ikulu, wengine wamekuja wamemkuta Mbowe Ni mwenyekiti tayari lakini Leo wako Ikulu.

Mpinzani akishinda uchaguzi huu Kenya nadhani itakuwa ni wakati muafaka wa Mbowe kumpa uenyekiti ndugu Godless Lema naye ajaribu kutupeleka Ikulu.

Natanguliza shukrani.
Una utindio wa ubongo
 
Yaani hapo utakuwa umetoa chizi na kuingiza kichaa yaani lema ndiyo awe mwenyekiti chadema ? Halafu aipelwke ikulu? Nitahama nchi Bora niende burundi
Si burundi tu, jichimbie kaburi ujizike. Nyanbaf
 
Back
Top Bottom