Uwezo wa Freeman Mbowe unafikirisha sana, karibia wapinzani wote Afrika wanaingia Ikulu

Uwezo wa Freeman Mbowe unafikirisha sana, karibia wapinzani wote Afrika wanaingia Ikulu

Mbowe apewe heshima yake wala asibezwe na mtu alieshiba makande akahisi hakuna kesho
 
Walioingia ikulu walivumilia na mbowe mvulie tu, ataingia ikulu wala usiwaze
 
Mleta hoja, hivi unajihesabia umeandika kitu kweli! hii nchi sihami kukaa na watu vishobo 😀
 
Weye mccm unataka Mbowe akupeleke ikulu ipi?Na kwa mazingira gani hapa Tanzania?
Mbowe ukimuangalia kwa wasiwasi unaweza kudhani jamaa ana mipango mizuri na uwezo wa kupeleka upinzani Ikulu, lakini ikifika uchaguzi ndio unafahamu hasa uwezo wake.

Majirani zetu karibia wote wapinzani wameenda Ikulu, wengine wamekuja wamemkuta Mbowe Ni mwenyekiti tayari lakini Leo wako Ikulu.

Mpinzani akishinda uchaguzi huu Kenya nadhani itakuwa ni wakati muafaka wa Mbowe kumpa uenyekiti ndugu Godless Lema naye ajaribu kutupeleka Ikulu.

Natanguliza shukrani.
 
Unataka useme zile CHOPA zilizokua zinafika mpaka mbinga kijijini kwenu ziliishiwa mafuta hadileo

Badala muuseme mfumo mmekazana na mbowe mbona raila huko Kenya anaishia handshake
 
Unajua MBOWE anaemtumikia ni nani!!?

Yeye Ndio kioo cha Tanzania ijayo!Chama chake hakitoingia Ikulu Bali chama kipya Baada ya katiba Mpya kupatikana!!

Yeye anaweka mazingira ya chama kipya kuja ambacho ndicho kitashika dola!!sio CHADEMA!!Na CCM imeshafika ukingoni TAYARI!hakutokuwa na ccm tena Baada ya katiba Mpya kupatikana!!

"Nashauri makada wenzangu wa ccm wasitumie fedha nyingi sasa kwani siasa zitabadilika na ccm haitokuwepo tena Baada ya katiba kupatikana!!!itakuja nembo nyingine Baada ya ccm kufa kibudu!!Wasijitie umaskini bkwa kuhonga ndani ya CHAMA coz chama kipya kitachuja waadilifu pekee Ndio watapenya ndani ya chama!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
Kwa hiyo Mbowe ni kama Musa wa Upinzani?
Ameimarisha upinzani lakini hataingia kamwe Kanaani?
 
Back
Top Bottom