Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ukimuangalia kwa wasiwasi unaweza kudhani jamaa ana mipango mizuri na uwezo wa kupeleka upinzani Ikulu, lakini ikifika uchaguzi ndio unafahamu hasa uwezo wake.
Majirani zetu karibia wote wapinzani wameenda Ikulu, wengine wamekuja wamemkuta Mbowe Ni mwenyekiti tayari lakini Leo wako Ikulu.
Mpinzani akishinda uchaguzi huu Kenya nadhani itakuwa ni wakati muafaka wa Mbowe kumpa uenyekiti ndugu Godless Lema naye ajaribu kutupeleka Ikulu.
Natanguliza shukrani.
Nenda kampikie mumeo mbowe naona unakuwasha ukisimia anazungumziwa negative na unavyotaka wewe kafunge kanga ujiandae na kugongwaSi burundi tu, jichimbie kaburi ujizike. Nyanbaf
Kwa hiyo Mbowe ni kama Musa wa Upinzani?Unajua MBOWE anaemtumikia ni nani!!?
Yeye Ndio kioo cha Tanzania ijayo!Chama chake hakitoingia Ikulu Bali chama kipya Baada ya katiba Mpya kupatikana!!
Yeye anaweka mazingira ya chama kipya kuja ambacho ndicho kitashika dola!!sio CHADEMA!!Na CCM imeshafika ukingoni TAYARI!hakutokuwa na ccm tena Baada ya katiba Mpya kupatikana!!
"Nashauri makada wenzangu wa ccm wasitumie fedha nyingi sasa kwani siasa zitabadilika na ccm haitokuwepo tena Baada ya katiba kupatikana!!!itakuja nembo nyingine Baada ya ccm kufa kibudu!!Wasijitie umaskini bkwa kuhonga ndani ya CHAMA coz chama kipya kitachuja waadilifu pekee Ndio watapenya ndani ya chama!!
"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!