Uwezo wa Jeshi la Tanzania (JWTZ) Kulinganisha na majeshi mengine duniani

Mie sijasema uongo boss.. nimekuuliza tu ili nijue mzee.. SISU ndio nini nikaangalie ?
Namimi sijakusudia kuwa wewe umesema uongo, bali nimemaanisha kama uliwahi kuiangalia hiyo Movie ya SISU na kuiona kama ni uongo basi ulitakiwa ukubaliane na unachokiona kwasababu sio kila kitu ni uongo
 

The 10 Countries With The Most Battle Tanks

  1. Russia - 12,566
  2. North Korea - 6,645
  3. United States - 5,500
  4. China - 4,950
  5. Egypt - 4,664
  6. India - 4,614
  7. Iran - 4,071
  8. Pakistan - 3,742
  9. Syria - 2,616
  10. South Korea - 2,331
Mkuu hii ni statistic ya lini?

Ni baada ya vita au kabla?

Maana Russia kupitia vita ya Ukraine imeelezwa kuwa kapoteza tanks 4,000

 
Ubora wao ni kuvunja matofali siku ya 9-12
 
Acha vitisho vya kijinga, ile miaka ya kusema jeshi ni imara bila data ilishapita. Sana sana mnachoweza kufanya ni kuumiza raia tena ni kwakuwa hawana silaha. Lakini ikitokea kikundi chenye silaha au vita, inaweza kuwa aibu ya karne.
Wameshindwa tu hapo Congo
 

What Is the Largest United Nations Peacekeeping Operation in History?

  1. Bangladesh: 7,237 ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฉ
  2. Nepal: 6,264 ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ต
  3. India: 6,097 ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ณ
  4. Rwanda: 5,935 ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ
  5. Pakistan: 4,334 ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฐ
  6. Egypt: 2,825 ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ
  7. Ghana: 2,762 ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ
  8. Indonesia: 2,704 ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฉ
  9. Senegal: 2,426 ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ
  10. China: 2,258 ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ
 
Here are the top 10 countries with most military satellites

  1. United States: 239 ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ
  2. China: 140 ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ
  3. Russia: 105 ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ
  4. France: 18 ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท
  5. Italy: 13 ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น
  6. Israel: 11 ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ
  7. India: 9 ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ณ
  8. Germany: 7 ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช
  9. United Kingdom: 6 ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง
  10. Spain: 6 ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ