Uwezo wa vifaa vya kijeshi vya Mmarekani kutazamwa upya?

Uwezo wa vifaa vya kijeshi vya Mmarekani kutazamwa upya?

Kambi zote kubwa za marekani wameweka mifumo ya kujilinda kumbuka wanawanajeshi 60,000 mashariki ya Kati Iraq wapo 6,000 .ambayo inatia shaka uwezo.kumbuka Saudi Arabia wanatumia mifumo ya kisasa ya USA lakini ilishindwa kuzuia shanbulio kwenye kiwanda kikumbwa kabisa duniani Cha kusafisha mafuta la wa houthi wa yemeni ambao washirika wa irani.drone za kienyeji zilipenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Hajui maana ya kombora huyu.Anafikiri kombora ni mshale unaweza kueka ngao na ukazuia
 
SIJAWAHI ONA MAREKANI AKIFANYA MBWEMBWE ZA KUONESHA SIRAHA ZAKE HADHARANI, KUWENI WAPOLE DAWA IWAINGIE

AFU KUNA NDEGE IMEANGUKA IRAN NA KUUA WATU 180 MUDA HUU CHANZO HAKIJULIKANI
 
Hivi inawezaekana vipi makombora dhaifu ya Muiran yaweze kupenya mifumo imara ya ulinzi wa anga ya Marekani bila kukumbana na kizuizi chochote.

Kama hili limewezekana basi siku za taifa teule hapo mashariki ya kati zitakuwa zinahesabika.
Tangu yale makombora yapige visima vya mafuta vya Saudia sina imani na mifumo ya kukabiliana na makombora ya aina ya Patriot na Iron Dome
 
SIJAWAHI ONA MAREKANI AKIFANYA MBWEMBWE ZA KUONESHA SIRAHA ZAKE HADHARANI, KUWENI WAPOLE DAWA IWAINGIE
AFU KUNA NDEGE IMEANGUKA IRAN NA KUUA WATU 180 MUDA HUU CHANZO HAKIJULIKANI
Mkuu.

Mbona unalisha matango pori.

1. Chanzo wamesema ni Engine Failure na hakuna terrorism act

2. Ndege ilikua na watu 170.

Sasa wewe nae

Anyways.

Kila mtu ashinde mechi zake!
 
ukubwa wa taifa la America umegubikwa na kiki sawa na wasanii wetu wa bongo, ila kiuhalisia hakuna kitu, kama kweli wanajikubali why wameanza kujihami kwa tambo za maneno???

Sent using Jamii Forums mobile app
Otea...hii nikutoka wapi us au iran?
FB_IMG_15784684549991337.jpeg
View attachment 1315787

It's Scars
 
Kuna article moja nilikuwa naiandaa but ngoja niianziashie topic then nitaweka link hapa soon...

Update:
 
Leo ndio nineamini US iko overrated... sasa hizo airdefencence si zingetungua hizo missiles...

Kwa taarifa tu US hawezi ingia anga la iran..
Last time alipoingiza drone yake ya kisasa nadhani wote tunafahamu kipi kilitokea..

Sisi team iran tunasema us aje tumuoneshe makali
 
Leo ndio nineamini US iko overrated... sasa hizo airdefencence si zingetungua hizo missiles...

Kwa taarifa tu US hawezi ingia anga la iran..
Last time alipoingiza drone yake ya kisasa nadhani wote tunafahamu kipi kilitokea..

Sisi team iran tunasema us aje tumuoneshe maka

Iran sio mtu wa majigambo, uwezo wake anaujua mwenyewe, anayetaka kuujua amjaribu.
 
Kama ndio hivyo mbona Iran hakuzuia zile roketi zilizomdondosha Soremayne? Jibu waliviziana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kamanda anatembea na mifumo ya ulinzi wa anga? Kinachozungumziwa kuvamiwa kwa kambi zenye mifumo yake ya ulinzi wa anga. Kambi ambazo zimejitosheleza kwa lolote. Inakuwaje zinafyatuliwa makombora ambayo takribani asilimia 75+ yanapenya na kuharibu Kambi?
 
Kwani mashambulizi hayo yamefanyika kwenye base za jeshi la US ndani ya ardhi ya Marekani au kwenye base za jeshi la US ndani ya ardhi ya Iraq?

Nijuavyo mimi anga la Marekani liko protected zaidi ukilinganisha na anga la Iraq. Hao Iran wako kama ni wakali waambie washambulie ardhi ya Marekani yenyewe waone kama wataweza.
Marekani alimuua yule General akiwa kwenye ardhi ya nchi gani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kamanda anatembea na mifumo ya ulinzi wa anga? Kinachozungumziwa kuvamiwa kwa kambi zenye mifumo yake ya ulinzi wa anga. Kambi ambazo zimejitosheleza kwa lolote. Inakuwaje zinafyatuliwa makombora ambayo takribani asilimia 75+ yanapenya na kuharibu Kambi?
Inavyoonekana hili tukio limemchanganya sana Trump mpaka sasa yuko kimya hajui atupie nini kwenye twitter maana akijichanganya hata dollar yake unaweza kushuka kwa speed ya mwanga
 
Leo ndio nineamini US iko overrated... sasa hizo airdefencence si zingetungua hizo missiles...

Kwa taarifa tu US hawezi ingia anga la iran..
Last time alipoingiza drone yake ya kisasa nadhani wote tunafahamu kipi kilitokea..

Sisi team iran tunasema us aje tumuoneshe makali
US wanaweza kutuma makombora bila kufika Iran. tatizo mpaka sasa ni Trump na maGenerali wake na washauri...Hasa nini kitafata kimataifa na uhusiano wa US na ulaya na yeye na baraza la Congress....
 
Back
Top Bottom