Ni Russia tu ndio anangaliwa kama taifa pekee la kuzuia vita isitokee, kwa sababu: Russia ana urafiki mkubwa na Iran na akiwaomba Iran waache wanaweka kumsikiliza pia Russia anaweza kutumia uwezo wake Wa kijeshi kuisaidia Iran kitu ambacho si Ulaya wala Marekani wanatamani kitokee.
Pia, Russia anaweza asiingie kabisa kuisaidia Irani kwa kufanya kwa kufanya hivyo inamaanisha kumfanya Trump ashindwe na Trump ni MTU anayelinda maslahi ya Moscow pale Washington DC.
Ninachoona Russia atakubaliana na Marekani kwa siri kuridhia kuchapwa kwa huyo muajemi kwa makubaliano maslahi yake pale mashariki ya kati yadumu. na kwa hakika muajemi atapigwa bila msaada Wa anaoamini wangemsaidia