Tuna
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,267
- 1,643
Kwani hizo kambi za Logistic na karakana si za Wamarekani?Hizo ndiyo Target yenyewe.Makombora yamefika panapohitajika.Huko hawawezi..
Halafu mkuu sio kila kambi hapo Iraq iko sawa na nyingine, kuna kambi za 'Logistic', kuna kambi ni karakana, kuna kambi za ugavi wa zana..mifumo ya ulinzi inatofautiana. lengo la US hapo Iraq kabla halikua kuishambulia Iran,