Hajui maana ya kombora huyu.Anafikiri kombora ni mshale unaweza kueka ngao na ukazuiaKambi zote kubwa za marekani wameweka mifumo ya kujilinda kumbuka wanawanajeshi 60,000 mashariki ya Kati Iraq wapo 6,000 .ambayo inatia shaka uwezo.kumbuka Saudi Arabia wanatumia mifumo ya kisasa ya USA lakini ilishindwa kuzuia shanbulio kwenye kiwanda kikumbwa kabisa duniani Cha kusafisha mafuta la wa houthi wa yemeni ambao washirika wa irani.drone za kienyeji zilipenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Trump,vp mmeongeza bajet imefika Trillion ngap.
Tangu yale makombora yapige visima vya mafuta vya Saudia sina imani na mifumo ya kukabiliana na makombora ya aina ya Patriot na Iron DomeHivi inawezaekana vipi makombora dhaifu ya Muiran yaweze kupenya mifumo imara ya ulinzi wa anga ya Marekani bila kukumbana na kizuizi chochote.
Kama hili limewezekana basi siku za taifa teule hapo mashariki ya kati zitakuwa zinahesabika.
Mkuu.SIJAWAHI ONA MAREKANI AKIFANYA MBWEMBWE ZA KUONESHA SIRAHA ZAKE HADHARANI, KUWENI WAPOLE DAWA IWAINGIE
AFU KUNA NDEGE IMEANGUKA IRAN NA KUUA WATU 180 MUDA HUU CHANZO HAKIJULIKANI
Otea...hii nikutoka wapi us au iran?ukubwa wa taifa la America umegubikwa na kiki sawa na wasanii wetu wa bongo, ila kiuhalisia hakuna kitu, kama kweli wanajikubali why wameanza kujihami kwa tambo za maneno???
Sent using Jamii Forums mobile app
Watch out dogo,.Mada siyo nzuri utaishia Mkashoo tu.
Ndo wajue wanajipa utukufu ambao ni wa kawaida. Wajitathimini upya!Hivi inawezaekana vipi makombora dhaifu ya Muiran yaweze kupenya mifumo imara ya ulinzi wa anga ya Marekani bila kukumbana na kizuizi chochote.
Kama hili limewezekana basi siku za taifa teule hapo mashariki ya kati zitakuwa zinahesabika.
Leo ndio nineamini US iko overrated... sasa hizo airdefencence si zingetungua hizo missiles...
Kwa taarifa tu US hawezi ingia anga la iran..
Last time alipoingiza drone yake ya kisasa nadhani wote tunafahamu kipi kilitokea..
Sisi team iran tunasema us aje tumuoneshe maka
Iran sio mtu wa majigambo, uwezo wake anaujua mwenyewe, anayetaka kuujua amjaribu.
Kwani kamanda anatembea na mifumo ya ulinzi wa anga? Kinachozungumziwa kuvamiwa kwa kambi zenye mifumo yake ya ulinzi wa anga. Kambi ambazo zimejitosheleza kwa lolote. Inakuwaje zinafyatuliwa makombora ambayo takribani asilimia 75+ yanapenya na kuharibu Kambi?Kama ndio hivyo mbona Iran hakuzuia zile roketi zilizomdondosha Soremayne? Jibu waliviziana
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani alimuua yule General akiwa kwenye ardhi ya nchi gani??Kwani mashambulizi hayo yamefanyika kwenye base za jeshi la US ndani ya ardhi ya Marekani au kwenye base za jeshi la US ndani ya ardhi ya Iraq?
Nijuavyo mimi anga la Marekani liko protected zaidi ukilinganisha na anga la Iraq. Hao Iran wako kama ni wakali waambie washambulie ardhi ya Marekani yenyewe waone kama wataweza.
Inavyoonekana hili tukio limemchanganya sana Trump mpaka sasa yuko kimya hajui atupie nini kwenye twitter maana akijichanganya hata dollar yake unaweza kushuka kwa speed ya mwangaKwani kamanda anatembea na mifumo ya ulinzi wa anga? Kinachozungumziwa kuvamiwa kwa kambi zenye mifumo yake ya ulinzi wa anga. Kambi ambazo zimejitosheleza kwa lolote. Inakuwaje zinafyatuliwa makombora ambayo takribani asilimia 75+ yanapenya na kuharibu Kambi?
US wanaweza kutuma makombora bila kufika Iran. tatizo mpaka sasa ni Trump na maGenerali wake na washauri...Hasa nini kitafata kimataifa na uhusiano wa US na ulaya na yeye na baraza la Congress....Leo ndio nineamini US iko overrated... sasa hizo airdefencence si zingetungua hizo missiles...
Kwa taarifa tu US hawezi ingia anga la iran..
Last time alipoingiza drone yake ya kisasa nadhani wote tunafahamu kipi kilitokea..
Sisi team iran tunasema us aje tumuoneshe makali