maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
- Thread starter
-
- #81
ww hata sikujibu...maana unasubiri siku ziende baasi ufe...yaani ww wasifu wako utasema marehemu alizaliwa akazurura akafa.....basiUnayoongea ni Yale ya akili kiduchu!
Au umesha nusa ndoba?![emoji23][emoji23][emoji23]
kweli we ni chai jaba ...hujaelewa hata huu uzi unachodai...nilichokiandika ni technolojia hafifu na inayoenda kidogo mno na wajinga kama ww ndo wanaridhika na kuona tumefika mbali,ndio maana sasa hv hamna tena ubunifu mpya ila ni kuboresha wa zamani sasa kama tupo slow hivi na wewe huoni kuna tatizo basi una matatizo makubwa kwenye maisha yako kama binadamuVijana mnaotoka chuo bana...
Nimesoma uzi wote unakosoa as if wewe una teknolojia yoyote hata hapo mtaani kwenu. Hebu jifunze ku appreciate kwanza maana hata kifaa unachotumia humu JF ni dhahili hayo ni matokea ya teknolojia unayoikosoa.
uko kwenye denial stage...kila mtu anajaribu kukueleza wewe ni mbumbumbu na hutaki kukubali anyway najua huwezi kujiona..maana kiumbe wa mwisho kujua kuna maji ni samaki ..so stay dumb...its for your own funeral 😅😅usikazane kuuliza maswali, wewe jisemee binafsi kwamba una akili ndogo, usianze kutulazimisha tufanane akili na ya kwako na hatutaki.
sio kiasi bro ni saana,imagine kuna mtu analimia jembe la mkono Africa...lakini si africa? je trekta je? lina miaka mingapi limeshindwa kuboreshwa? liwe hata smart tractor? harrow combine imefeli pia...machine za kilimo za kisasa (kama mnavyodai) zipo chache na ni custom made..hakuna mtu yupo tayari kushare na mwingine..leo ukiwa na combine harvester itazunguka nchi nzima ikikodishwa na haijaboreshwa zaidi ya miaka 45 sasa..kama sio ujinga wa mwisho na ubinafsi tunao ni nn?Thread Kama inafikirishaa hivi..Ila ni kweli kiasi
mkuu kama technolojia gani ipo advanced? IDF wamegundua drones in the early 90's technolojia kama ya nuclear ni ya kawaida mno...leo nenda kwenye kampuni kama lockheed martin uone wanavyosifia ujinga tu a lot of propaganda...Mkuu duniani kuna trechnology zipo very advanced ila zipo classified, mfano teknolojia nyingi za sasa kwenye TEHAMA zilikua zinatumika miaka ya 60s na 70s kwenye mejeshi ya nchi zilizoendelea.
Wewe ni billionea nani mkuu?sisi wengine hatukujuiwewe unanitafuta ...nimegundua mengi tu...ila nao ni ujinga tu..akili yangu na yako ni sawa tu soma thread zangu utagundua naishi kwa kuuza vitu nilivyogundua lkn bado ni ujinga tu hii dunia ukiwa mbunifu kidogo tu unakua bilionea maana majinga kama wewe ni mengi mno...angalia hata kwenye mziki
sio lazima utafute kitu cha kulinganisha ujinga wako...weka base halafu angalia progress yako ikiegemea muda shida ya hii dunia mmewaachia wenzenu wawasaidie kufikiri na wakishafikiri mnaamini wanachokisema hao kina enstein na wenzie walipambana kufikiri lkn hawakualea kizazi cha kufikiri kama wao ndipo wanapotokea watu wajinga kama wewe ambao wanatafuta kitu cha kulinganisha nacho..kwa akili ya kawaida tu huwezi kuona technolojia yetu inavyoenda slow? kama binadamu hamna new invention hamna lolote? halafu unakuja hapa na kuleta ujinga wako wa time is relative? hatujilinganishi na kitu ila kama una akili utaona jinsi ambavyo tupo nyumaTime is relative not absolute..(Both literally and metaphorically speaking)
Siku moja kwako isiyo na maana kwako Kuna nzi amezaliwa kabalehe kaoa mpaka kafa.
Na wewe Toka uzaliwe mpaka Sasa una mvi Kuna nyangumi bado yupo tumboni Kwa mama ake hajazaliwa.
Kwahyo miaka iliyotumika kutoka iPhone 4 mpaka 12 unaona binadamu tupo slow Sana.
Hata aliens waliotumia mwezi kufanya hivo unaweza kuwaita slow kwasababu wameshindwa kutumia wiki Tu.
Na waliotumia wiki bado Ni slow kwasababu wameshindwa ndani ya masaa.
Kwahyo unaposema binadamu ni wajinga kwasababu WaPo slow inabidi useme ukilingamisha Na Nani.
Again. Time is relative.
kweli we ni chai jaba ...hujaelewa hata huu uzi unachodai...nilichokiandika ni technolojia hafifu na inayoenda kidogo mno na wajinga kama ww ndo wanaridhika na kuona tumefika mbali,ndio maana sasa hv hamna tena ubunifu mpya ila ni kuboresha wa zamani sasa kama tupo slow hivi na wewe huoni kuna tatizo basi una matatizo makubwa kwenye maisha yako kama binadamu
halafu mimi nimejiunga JF mwaka 2009 leo nina miaka 12 hapa JF sasa piga mahesabu nimetoka chuo au unatakiwa ukatibiwe magonjwa ya akili
stupid...
sijasema mimi ni bilionea ila naishi kwa kuuza ugunduzi wangu ambao ni kikawaida tu kama binadamu yoyote wa kawaida usisahau sijasema nina akili kuzidi wengine nimesema sisi binadamu bado sana including meWewe ni billionea gani mkuu,sisi wengine hatukujui
wewe ndio umesema nimetoka chuo hayo mambo ya kujifunza origin,challenges na impacts ndio yanawafanya mnabaki nyuma kwa kutoa visababu vinavyowafanya muwe hapo mlipo...mnafata trend hiyo hiyo kila kitu hamna jipya...Kazi kwelikweli! Hata kuwepo JF mda mrefu bado haijakusaidia kitu ndugu, Upo tu.
Basi nikupongeze kwa hili bwana mdogo, upeo wa akili yako kufikiria ni mkubwa sana na unaweza kufika hata extra-miles kulikoni binadamu yeyote yule kwenye ulimwengu huu kwa kuona/kugundua teknolojia ya Dunia ipo taratibu sanaaa kubadilika.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pia nikushauri uwe na tabia ya kujifunza jambo hususani kufahamu origin/evolution, challenges/impacts kabla ya kutoa mada, Ukifanya hivo itakupa urahisi kueleza jambo kitaalamu zaidi na Facts mahususi sio kutukana.
Goodmorning.
hii ina ukweli...Tatizo kazi tuliyopewa na Mungu pia hatufanyi, Kushukuru, Kuabudu na Kutukuza ni kazi kubwa tuliyopewa wakati wa uvumbuzi Sasa wengi tunawasifu waliovumbua badala ya Mungu na wakati mwingine tunaomba tu bila Kushukuru tulivyopewa mfano mtu Kesha pata chakula badala ya Kushukuru anaanza kuomba tena hata kwenye tekinolojia hivyo hivyo badala ya kutumia na kushukuru Mungu mtu anaanza kuomba tena alichonacho.
kwa hiyo Mkuu kuna vitu vitatu umekubali!Thanks bro, nilikua karibu ku comment ulichosema
Hoja yake nzima ina fail hapo, Kasi ya teknolojia ya binadamu ni ndogo ulikilinganisha na nini?
Hakuna comparison yoyote,
Huwezi kulinganisha na kasi ya 👽 alien, hatuna ushahidi kuhusu Alien wala Technologies zao
Pia major changes kwenye teknolojia zina tegemea kwa kiasi kikubwa Break through discoveries vitu ambavyo ni rare sana kwenye science
Once in a generation brains kama kina Newton, Einstein, Darwin, Hawking ni wachache sana
Pia hata kwa hizi vumbuzi zinazoendelea kiasi kikubwa cha akili kimetumika,kipe credit
Appreciate brains nyuma yake sio una take for granted tu
Tuna depend kwenye brains za wachache sana
kweli kabisa mkuuKwa sasa magenius so wengi kama zamani! Magenius kwa sasa badala ya kupambana kuzikabili changamoto za ulimwengu wanakimbilia tamaa ya pesa! Wanatumia muda mwingi kujifunza IT ili waweze kupata soft money kwa kuhack!
Kwa sasa watu wanaodevote time yao kuisaidia dunia kwa maslahi kidogo kama Nikola Tesla au Newton wameisha kila mtu anaiwazia pesa siyo kuusaidia ulimwengu na walimwengu wake
hapa kwenye tiba tupo nyuma kabisaNinakuelewa sana.
Kwenye upande wa tiba binadamu amefeli sana(labda iwe ni ujanja wa kibiashara), aids imeitesa dunia kwa miaka zaidi ya 20 bila kupatikana dawa.
Hii ni aibu kwa binadamu.
Hebu wewe weka hiyo base tuone kama Na yenyewe sio relativesio lazima utafute kitu cha kulinganisha ujinga wako...weka base halafu angalia progress yako ikiegemea muda shida ya hii dunia mmewaachia wenzenu wawasaidie kufikiri na wakishafikiri mnaamini wanachokisema hao kina enstein na wenzie walipambana kufikiri lkn hawakualea kizazi cha kufikiri kama wao ndipo wanapotokea watu wajinga kama wewe ambao wanatafuta kitu cha kulinganisha nacho..kwa akili ya kawaida tu huwezi kuona technolojia yetu inavyoenda slow? kama binadamu hamna new invention hamna lolote? halafu unakuja hapa na kuleta ujinga wako wa time is relative? hatujilinganishi na kitu ila kama una akili utaona jinsi ambavyo tupo nyuma
Kwanini wewe usivumbue hiyo tech?Leo bado tunachaji chaji simu kila zikiisha chaji..kwann kusiwekwe tech ya kulipia kwa vifurushi tu.yaan chaji ya siki,week, mwezi au mwaka?
Primitive comparing to who?Haaahaaaaaaa! Kuna watu Huwa nawaambia Dunia ni Kama Dome no escape anywhere, hii dunia ni kama jela binadamu Bado tupo kifungoni yaani imagine ikitokea siku magimba makubwa angani yakawa yanakuja ku hit Dunia human civilization ndio itakua mwisho wetu sababu hatuna sehemu mbadala wa kwenda.
Tutakufa wote na ndio Hadith yetu itaishia hapo.
Ulisemalo mkuu ni kweli ukiangalia Kwa jicho la tatu Bado tupo primitive tu!
Mkuu una uhakika babu zako ndio wameleta utamaduni wa elimu africa?What's new in the world? Nothing.
Upoyoyo tu unatuandama lakn we are extremely primitive kwa kila kitu.
Kuanzia elimu zetu and everything, halafu eti tunajigambaga mambo ya ki jingajinga sana.
Shame all of us!
Leta research and results ulizopata ya uwepo wa hao viumbe?Wengi hawatakuelewa. Mwanadamu wa dunia hii hajitambui bali kiburi na ujinga ndo vimemtawala. Kufikiri kuwa yeye ni kiumbe mwenye ufahamu wa juu kuliko kiumbe chochote ndo vimetawala fikra zake. Pasipo kujua kuwa wapo viumbe katika sayahi hii na sayari zingine wenye uwezo na upeo zaidi ya "Spider man".
Ni sawa na sisimizi,ambao katika jamii yao hujiona wao ndo viumbe wenye akili nyingi kuliko kiumbe chochote bila kujua kuwa kuna mwanadamu mwenye uwezo wa kutengeneza mitambo mikubwa na "Spacecraft" zenye uwezo wa kwenda mwezini,Mars na hadi nje ya Solar system.
Wapo viumbe wenye uwezo mkubwa mno kuliko mwanadamu,kiasi kwamba hata wakituangalia wanacheka na kutudharau km ambavyo tunavyowacheka sisimizi.