UWT watoa tamko kuhusu Pauline Gekul, yasema haitamvumilia kiongozi yeyote mwanamke anayekiuka Haki za Binadamu

Kwa hiyo anataka kusema Mh. Rais amemsimamisha kimakosa huyo naibu Waziri bila kufanya uchunguzi? Mbona kama sijaelewa?
 
Hawa panya buku wanaflo na beat tu hawana lolote, mwenyekt wao angekaa kimya nao wangekaa kimyo hvo hvo.

WANAFIKI WAKUBWA
 
Mbona hamjamvua uanachama wa UWT?
 
Bangusilo kapatikana.
Wanampika supu mwanzo mwisho....
 
Kwa hiyo anataka kusema Mh. Rais amemsimamisha kimakosa huyo naibu Waziri bila kufanya uchunguzi? Mbona kama sijaelewa?

Waache warukeruke tu, hadi Rais amtengue, anazo taarifa kuwa tuhuma ni za kweli.

Paulina Gakul baadae tena akajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe kwa kuachia video akimhoji huyo kijana huku akionekana yupo uchi. Hii inaendelea kuthibitisha ukweli wa tuhuma kwamba alimdhalilisha huyo kijana. Zaidi pia huyo katili Gekul amejiongezea makosa kwa kuvujisha hiyo video.

CCM kama haitomvua Gakul uanachama itabidi ituambie inaunga mkono vijana wa kiume kuingiziwa chupa kwenye njia ya haja kubwa.

Gekul kwa ukatili na udhalilishaji alioufanya hakupaswa kuwa mbunge hadi muda huu.
 
Bila kumvua Pauline uanachama wa UWT mnaropoka bure tu, embu fanyeni haraka!
 
Porojo kama porojo nyingine tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…