Uzeeni mwanaume ana uhitaji wa ndoa zaidi kuliko mwanamke. Chukua hatua

Uzeeni mwanaume ana uhitaji wa ndoa zaidi kuliko mwanamke. Chukua hatua

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Wanaume tunapozeeka tunarudi kuwa watoto,

Wanaume husema "men age like a wine" wakiamini kua kadri wanavyokua ndivyo wanakuwa na mvuto zaidi kwa kuwa wanajijenga kiuchumi, ila ukweli ni kuwa kadri mwanaume anavyokua ndio anakuwa na uhitaji wa ndoa zaidi( kuwa na mwanamke atakayemjali.)

Huwa watu wanawacheka single mother, lakini ukweli ni kuwa single mother akishakuza, basi anakula maisha. Kazi kwa mwanaume

Kwa mfano..

1. Mtoto wa kiume hawezi kumhudumia baba yake fully, coz ana familia na anabidi atoke akatafute.
2. Mtoto wa kike hawezi kumhudumia baba yake,
3. Kaka au mdogo wako wa kiume hawezi kukuhudumia.
4. Mdada wa kazi hawezi kuhudumia mwanaume (mzee) ipasavyo.
4. Ni rahisi bibi kuishi single na wajukuu au hata mwenyewe na maisha yakaenda kuliko babu

Kiumbe pekee anaeweza kukusaidia ni mke wako.

Mwanaume usisubiri uzeeke ndio uoe, utaleta mgogoro kwenye familia bure
 
Naona mnajipa Uungu yani uzeeni, mwanaume ndio anakuwa na changamoto zote kama kuishiwa nguvu, kuumwa n.k

Kwaiyo mnaoa ili muhudumiwe uzeeni ?

Hivi unafikiri huyo mkeo atafika uzeeni? , au wewe utafika uzeeni ?

Je wangapi wametelekezwa uzeeni au wakiwa vijana walipopata shida ??

Kama unaoa ili upate huduma uzeeni, basi huna hoja ya msingi.

Mapadre wangapi hawajaoa na wanahudumiwa vizuri tu uzeeni ??
Uncle shamte mbona hajaoa na anapata huduma zote, unasemaje hapo ??
 
Na mara nyingi akitangulia kuondoka mke hasa uzeeni mume hakaagi sana atamfata ila mume akitangulia mke anaweza dunda kwa muda mrefu kabla hajamfata mwenzie( hii mara nyingi kwa wazee)
No research no right to speak
 
Wanaume tunapozeheka tunarudi kuwa watoto,

Wanaume husema " men age like a wine" wakiamini kua kadri wanavyokua ndivyo wanakuwa na mvuto zaidi kwa kuwa wanajijenga kiuchumi, ila ukweli ni kuwa kadri mwanaume anavyokua ndio anakuwa na uhitaji wa ndoa zaidi( kuwa na mwanamke atakayemjali.)

Huwa watu wanawacheka single mother, lakini ukweli ni kuwa single mother akishakuza, basi anakula maisha. Kazi kwa mwanaume

Kwa mfano..

1. Mtoto wa kiume hawezi kumhudumia baba yake fully, coz ana familia na anabidi atoke akatafute.
2. Mtoto wa kike hawezi kumhudumia baba yake,
3. Kaka au mdogo wako wa kiume hawezi kukuhudumia.
4. Mdada wa kazi hawezi kuhudumia mwanaume (mzee) ipasavyo.
4. Ni rahisi bibi kuishi single na wajukuu au hata mwenyewe na maisha yakaenda kuliko babu

Kiumbe pekee anaeweza kukusaidia ni mke wako.

Mwanaume usisubiri uzeeke ndio uoe, utaleta mgogoro kwenye familia bure
Unachoongea ndio ukweli kabisa ila vijana wa 2000 watabisha
 
Usichukue mifano ya walioshindwa ukaifanya ndio asili ya maisha.

Mwanaume jitunze afya yako, fanya mazoezi kula vizuri, acha nyama choma na bia zisizo na mpangilio, kula matunda, kunywa maji, kula mboga mboga.

Kwa hali yoyote usiwe na uzito wa kufika kg. 90 jitahidi sana ucheze kwenye 80 hadi 60+, utaishi maisha mazuri sana.

Magonjwa yetu mengi na kuchoka kwetu kwa kasi kunatokana na ulaji mbovu hasa wakati tukiwa na miaka 30 - 45.

Wakuu tujali sana afya zetu ikiwa ni pamoja na afya ya akili.
 
Yaani , mwanamke akunyonye sperm kuanzia una miaka ya 20 hadi 80 bado uwe na nguvu.....??...

hebu tupunguze kujichosha oa kuanzia unapokuwa na 40 hadi 50 years huko....tena usipende kujichosha kwa ku-score magoli mengi sana kwani kuna uhusiano kati ya ku-ejaculate na maisha yako...mwanamke kubeba beba mimba ovyo na life span....
 
Naona mnajipa Uungu yani uzeeni, mwanaume ndio anakuwa na changamoto zote kama kuishiwa nguvu, kuumwa n.k

Kwaiyo mnaoa ili muhudumiwe uzeeni ?

Hivi unafikiri huyo mkeo atafika uzeeni? , au wewe utafika uzeeni ?

Je wangapi wametelekezwa uzeeni au wakiwa vijana walipopata shida ??

Kama unaoa ili upate huduma uzeeni, basi huna hoja ya msingi.

Mapadre wangapi hawajaoa na wanahudumiwa vizuri tu uzeeni ??
Uncle shamte mbona hajaoa na anapata huduma zote, unasemaje hapo ??
Uncle Shamte wa mama Dangote au??😁
 
Kuna ukweli katika hili.

Mwisho wa siku "all we need is to be needed". Na watoto huwa ni mama, akiondoka anaondoka nao, akiwepo na wao wapo. So you can imagine how hard it can get if you find yourself lonely at late 60 huko. No energy, no partner to cuddle, no freaking family! Only brick walls around you.

Japo wanawake wanazingua sana lakini we need them. It's Nature!
 
Back
Top Bottom