BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Za nini? Hio hospitali si ni ya Umma? kwa nini haki za msingi za mtu mnataka zipatikake kwa kupiga magoti? Nchi ina wajinga sana hii,Hivi ni kweli kwamba mlikosa laki nane wanachuo wote kuchangishana tu mlishindwa jamani
Halafu Dk mwenzao
Napata picha mwl mimi,ningeshushuliwa nijute
Hii ndo Tanzania
Kila mtu anashangaa mpk Rais
Ila kiukwelii tunahitaji Gen Z
Kidding? Two days mama waja wazito wanafanyiwa upasuaji?madaktari na aliyekuwepo alikuwa anawafanyia upasuaji mama wajawazito,dont be judgemental kazini,mjamzito ni first priority
Kwan hapo uliambiwa shida ni malipo au upatikanaji wa mhudum soma kwa makini acha kutumia mihemko mkuuHaijalishi, kwani hio hospitali ni ya Private? si inaendeshwa kwa kodi za raia? Wewe naye ni mpumbavu sana, hio ni haki ya msingi, Hispitali inaendeshwa kwa kodi zetu.Matibabu ni haki ya msingi, walipaswa jutibu mgonjwa wakati anapata nafuu waulize gharama.
Mawazo kama yako watawala wakiyasoma wanafurahi sana kuona ni kiwango gani wanaongoza Mapimbi
Mama yake atakuwa na shida ya kutojari kwanini hakumkimbiza hoospital za private.Mama yake hawezi kuumia maana inaonekana kuna shortage ya madaktari na aliyekuwepo alikuwa anawafanyia upasuaji mama wajawazito,dont be judgemental kazini,mjamzito ni first priority
Kwan Daktar wa wajawazito ndo wa mfumo wa chakula? Kuna matatizo ya utoaji wa taarifaKidding? Two days mama waja wazito wanafanyiwa upasuaji?
Acha kubwabwaja umesema mlikuwa hosp x ambako gharama zilikuwa juu yaani laki 8 Kwa kuwa hamkuweza kuzimudu mkapewa ambulance ili mumpeleke hosp ya mkoaZa nini? Hio hospitali si ni ya Umma? kwa nini haki za msingi za mtu mnataka zipatikake kwa kupiga magoti? Nchi ina wajinga sana hii,
Unaiondowaje ccm na kifo hiki? Hii si ndio furaha ya maccm?Kwanza pole kwa familia. Kuna watu hawataona uhusiano wa CCM na serikali yake na hili tukio lakini ukweli ni kuwa vina uhusiano. Tunarudi pale pale, utasema mimi sihusiki na siasa lakini madhara ya uongozi mbovu yanatupata wote.
Nimeogopa kupigwa banMama yake hawezi kuumia maana inaonekana kuna shortage ya madaktari na aliyekuwepo alikuwa anawafanyia upasuaji mama wajawazito,dont be judgemental kazini,mjamzito ni first priority
Kuna mwanafunzi wa University hana NHIF? Au umeamuwa kujamba tu na kutowa uharo wako?Acha kubwabwaja umesema mlikuwa hosp x ambako gharama zilikuwa juu yaani laki 8 Kwa kuwa hamkuweza kuzimudu mkapewa ambulance ili mumpeleke hosp ya mkoa
Ndiyo nikakuuliza mlishindwa kuchanga? Akafanyiwa hapo?
Hata kama ni hosp ya serikali lazima mchangie kama Hana Bima
Tatizo watanzania tunapenda dezo sana
Na hii itaendelea kusababisha matatizo daili
Tuendelee kucheza Komasava, Ruto vijana wamembinya makende amejuwa nguvu ya umma.Haya yanatokea kila kona ya nchi yetu,ni vile tu haviripotiwi!kwa mabadiliko ya utawala wa Nchi hii ni muhimu
Kwa kizazi hiki kilichojaa mazi kichwani hakifiki kokoteKuna mwanafunzi wa University hana NHIF? Au umeamuwa kujamba tu na kutowa uharo wako?
Ni binadamu pia lazima apumzike ili aweze kutoa huduma kwa ufanisi cha muhimu ni serikali kuajiri madaktari wakutosha ili zamu zikae vizuri.Ngoja wachunguze unaweza kusikia madaktari wengine wapo likizo ....Hii ndio bongo na daktari anataka muda wa kupumzika
Sema Bongo swala la afya tunalichulia poa sana aise.Jamaa alikuwa anamaliza Chuo na hii imeenda ukishambiwa ni "yalikuwa mapenzi ya Mungu" hakuna mtu atataka kutafutwe solution ya kudumu tena. Nilionaga pia case ya vifo vya watoto pia, inasikitisha sana.Huko vijijini angeenda dispensary akaambiwa ana vidonda vya tumbo, atapewa dawa ambazo sitambar unafuu Ila baada ya siku tatu mbili , ataangukia mitishamba na story inaishia hapo.
May he rest in peaceJuzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama zilikuwa ni laki 8 hivyo tukaombwa kupelekwa hospitali ya mkoa kwasababu ya unafuu wa matibabu, tukapewa ambulance ikatupeleka hadi Hospitali Kuu ya mkoa Morogoro, pia tukawasiliana na mama wa mwenzetu nae akaanza safari ya kuja.
Baada ya kufika pale na jinsi situation ilivyokuwa ya dharura lakini tuliambiwa Daktari wa upasuaji hayupo available kwa muda huo kwasababu anahudumia wagonjwa wengine, tulisubiri pale mpaka asubuhi ilipofika na mama wa mwenzetu pia akawa ameshafika, still situation ya kumkosa Daktari ikaendelea, uzuri mama wa mtoto alikua ni Daktari pia hivyo baada ya kuangalia vipimo alivyokuja navyo mwanae kutoka hospitali ya Nanguji vilikuwa very clear kwamba hii ni emergency situation inayopaswa ishughulikiwe kwa haraka zaidi, wao wakazidi kusema Daktari wa upasuaji hayupo available.
Mama wa mwenzetu akaomba apewe room afanye upasuaji mwenyewe, niliondoka nilipoona wanampa vifaa kweli, na hiyo ilikuwa inaelekea jioni sasa, usiku nikampigia yule mama akasema hawakumruhusu na wamemwahidi kesho yake ndio atafanyiwa upasuaji.
Basi nikalala kwa amani nikijua asubuhi mwenzetu atapata huduma, lakini asubuhi nikapokea simu kwamba ndugu yetu, rafiki yetu ameaga dunia.
Kwakweli jambo hili limeniliza sana na nimeshindwa nikalia kimya.
Amefariki tarehe 4/Jul/ 2024 yaan leo.
Siku mbili zote mwenzetu anaishi kwa mateso mpaka umauti wake unamkuta, alikuwa bado wiki moja afanye final exams katika chuo cha SUA na alikuwa mwaka wake wa mwisho, kwakweli imeniuma naomba mpige sauti juu ya hili.
Inasikitisha sana.Watawala hawajali shida kama hizo wao wanachojali ni kununua mashangingi na kulipana posho nono lakini siyo kuajiri madakitari bingwa badala yake wanataka wajitolee.
Mpaka hapa sijaona uzembe uliofanyika.Juzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama zilikuwa ni laki 8 hivyo tukaombwa kupelekwa hospitali ya mkoa kwasababu ya unafuu wa matibabu, tukapewa ambulance ikatupeleka hadi Hospitali Kuu ya mkoa Morogoro, pia tukawasiliana na mama wa mwenzetu nae akaanza safari ya kuja.
Baada ya kufika pale na jinsi situation ilivyokuwa ya dharura lakini tuliambiwa Daktari wa upasuaji hayupo available kwa muda huo kwasababu anahudumia wagonjwa wengine, tulisubiri pale mpaka asubuhi ilipofika na mama wa mwenzetu pia akawa ameshafika, still situation ya kumkosa Daktari ikaendelea, uzuri mama wa mtoto alikua ni Daktari pia hivyo baada ya kuangalia vipimo alivyokuja navyo mwanae kutoka hospitali ya Nanguji vilikuwa very clear kwamba hii ni emergency situation inayopaswa ishughulikiwe kwa haraka zaidi, wao wakazidi kusema Daktari wa upasuaji hayupo available.
Mama wa mwenzetu akaomba apewe room afanye upasuaji mwenyewe, niliondoka nilipoona wanampa vifaa kweli, na hiyo ilikuwa inaelekea jioni sasa, usiku nikampigia yule mama akasema hawakumruhusu na wamemwahidi kesho yake ndio atafanyiwa upasuaji.
Basi nikalala kwa amani nikijua asubuhi mwenzetu atapata huduma, lakini asubuhi nikapokea simu kwamba ndugu yetu, rafiki yetu ameaga dunia.
Kwakweli jambo hili limeniliza sana na nimeshindwa nikalia kimya.
Amefariki tarehe 4/Jul/ 2024 yaan leo.
Siku mbili zote mwenzetu anaishi kwa mateso mpaka umauti wake unamkuta, alikuwa bado wiki moja afanye final exams katika chuo cha SUA na alikuwa mwaka wake wa mwisho, kwakweli imeniuma naomba mpige sauti juu ya hili.
Uzembe kwa hospitali au uzembe kwa serikali kwa kuajiri madaktari wachache?Inauma sana, mama mzazi kwa kushuhudia kifo cha mwanaye kutokana na uzembe wa hospitali itakabaki kuwa kumbukumbu mbaya kwake.
Tuweke Chama kipi madarakani?CCM must go