DOKEZO Uzembe wa Hospitali Kuu ya Mkoa Morogoro umesababisha kifo cha Mwanafunzi wa SUA

DOKEZO Uzembe wa Hospitali Kuu ya Mkoa Morogoro umesababisha kifo cha Mwanafunzi wa SUA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hivi ni kweli kwamba mlikosa laki nane wanachuo wote kuchangishana tu mlishindwa jamani
Za nini? Hio hospitali si ni ya Umma? kwa nini haki za msingi za mtu mnataka zipatikake kwa kupiga magoti? Nchi ina wajinga sana hii,
 
madaktari na aliyekuwepo alikuwa anawafanyia upasuaji mama wajawazito,dont be judgemental kazini,mjamzito ni first priority
Kidding? Two days mama waja wazito wanafanyiwa upasuaji?
 
Haijalishi, kwani hio hospitali ni ya Private? si inaendeshwa kwa kodi za raia? Wewe naye ni mpumbavu sana, hio ni haki ya msingi, Hispitali inaendeshwa kwa kodi zetu.Matibabu ni haki ya msingi, walipaswa jutibu mgonjwa wakati anapata nafuu waulize gharama.

Mawazo kama yako watawala wakiyasoma wanafurahi sana kuona ni kiwango gani wanaongoza Mapimbi
Kwan hapo uliambiwa shida ni malipo au upatikanaji wa mhudum soma kwa makini acha kutumia mihemko mkuu
Nb kabla hujakoment angalia chet chako cha form four
 
Mama yake hawezi kuumia maana inaonekana kuna shortage ya madaktari na aliyekuwepo alikuwa anawafanyia upasuaji mama wajawazito,dont be judgemental kazini,mjamzito ni first priority
Mama yake atakuwa na shida ya kutojari kwanini hakumkimbiza hoospital za private.
 
Za nini? Hio hospitali si ni ya Umma? kwa nini haki za msingi za mtu mnataka zipatikake kwa kupiga magoti? Nchi ina wajinga sana hii,
Acha kubwabwaja umesema mlikuwa hosp x ambako gharama zilikuwa juu yaani laki 8 Kwa kuwa hamkuweza kuzimudu mkapewa ambulance ili mumpeleke hosp ya mkoa
Ndiyo nikakuuliza mlishindwa kuchanga? Akafanyiwa hapo?

Hata kama ni hosp ya serikali lazima mchangie kama Hana Bima

Tatizo watanzania tunapenda dezo sana

Na hii itaendelea kusababisha matatizo daili
 
Kwanza pole kwa familia. Kuna watu hawataona uhusiano wa CCM na serikali yake na hili tukio lakini ukweli ni kuwa vina uhusiano. Tunarudi pale pale, utasema mimi sihusiki na siasa lakini madhara ya uongozi mbovu yanatupata wote.
Unaiondowaje ccm na kifo hiki? Hii si ndio furaha ya maccm?

Maccm yanatamani wote tufe wabaki wenyewe watafune nchi bila kelele.
 
Mama yake hawezi kuumia maana inaonekana kuna shortage ya madaktari na aliyekuwepo alikuwa anawafanyia upasuaji mama wajawazito,dont be judgemental kazini,mjamzito ni first priority
Nimeogopa kupigwa ban
 
Acha kubwabwaja umesema mlikuwa hosp x ambako gharama zilikuwa juu yaani laki 8 Kwa kuwa hamkuweza kuzimudu mkapewa ambulance ili mumpeleke hosp ya mkoa
Ndiyo nikakuuliza mlishindwa kuchanga? Akafanyiwa hapo?

Hata kama ni hosp ya serikali lazima mchangie kama Hana Bima

Tatizo watanzania tunapenda dezo sana

Na hii itaendelea kusababisha matatizo daili
Kuna mwanafunzi wa University hana NHIF? Au umeamuwa kujamba tu na kutowa uharo wako?
 
Ngoja wachunguze unaweza kusikia madaktari wengine wapo likizo ....Hii ndio bongo na daktari anataka muda wa kupumzika
Ni binadamu pia lazima apumzike ili aweze kutoa huduma kwa ufanisi cha muhimu ni serikali kuajiri madaktari wakutosha ili zamu zikae vizuri.
 
Huko vijijini angeenda dispensary akaambiwa ana vidonda vya tumbo, atapewa dawa ambazo sitambar unafuu Ila baada ya siku tatu mbili , ataangukia mitishamba na story inaishia hapo.
Sema Bongo swala la afya tunalichulia poa sana aise.Jamaa alikuwa anamaliza Chuo na hii imeenda ukishambiwa ni "yalikuwa mapenzi ya Mungu" hakuna mtu atataka kutafutwe solution ya kudumu tena. Nilionaga pia case ya vifo vya watoto pia, inasikitisha sana.
 

Attachments

  • 20240705_202749.jpg
    20240705_202749.jpg
    124.9 KB · Views: 1
Juzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama zilikuwa ni laki 8 hivyo tukaombwa kupelekwa hospitali ya mkoa kwasababu ya unafuu wa matibabu, tukapewa ambulance ikatupeleka hadi Hospitali Kuu ya mkoa Morogoro, pia tukawasiliana na mama wa mwenzetu nae akaanza safari ya kuja.

Baada ya kufika pale na jinsi situation ilivyokuwa ya dharura lakini tuliambiwa Daktari wa upasuaji hayupo available kwa muda huo kwasababu anahudumia wagonjwa wengine, tulisubiri pale mpaka asubuhi ilipofika na mama wa mwenzetu pia akawa ameshafika, still situation ya kumkosa Daktari ikaendelea, uzuri mama wa mtoto alikua ni Daktari pia hivyo baada ya kuangalia vipimo alivyokuja navyo mwanae kutoka hospitali ya Nanguji vilikuwa very clear kwamba hii ni emergency situation inayopaswa ishughulikiwe kwa haraka zaidi, wao wakazidi kusema Daktari wa upasuaji hayupo available.

Mama wa mwenzetu akaomba apewe room afanye upasuaji mwenyewe, niliondoka nilipoona wanampa vifaa kweli, na hiyo ilikuwa inaelekea jioni sasa, usiku nikampigia yule mama akasema hawakumruhusu na wamemwahidi kesho yake ndio atafanyiwa upasuaji.

Basi nikalala kwa amani nikijua asubuhi mwenzetu atapata huduma, lakini asubuhi nikapokea simu kwamba ndugu yetu, rafiki yetu ameaga dunia.

Kwakweli jambo hili limeniliza sana na nimeshindwa nikalia kimya.

Amefariki tarehe 4/Jul/ 2024 yaan leo.

Siku mbili zote mwenzetu anaishi kwa mateso mpaka umauti wake unamkuta, alikuwa bado wiki moja afanye final exams katika chuo cha SUA na alikuwa mwaka wake wa mwisho, kwakweli imeniuma naomba mpige sauti juu ya hili.

May he rest in peace
 
Juzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama zilikuwa ni laki 8 hivyo tukaombwa kupelekwa hospitali ya mkoa kwasababu ya unafuu wa matibabu, tukapewa ambulance ikatupeleka hadi Hospitali Kuu ya mkoa Morogoro, pia tukawasiliana na mama wa mwenzetu nae akaanza safari ya kuja.

Baada ya kufika pale na jinsi situation ilivyokuwa ya dharura lakini tuliambiwa Daktari wa upasuaji hayupo available kwa muda huo kwasababu anahudumia wagonjwa wengine, tulisubiri pale mpaka asubuhi ilipofika na mama wa mwenzetu pia akawa ameshafika, still situation ya kumkosa Daktari ikaendelea, uzuri mama wa mtoto alikua ni Daktari pia hivyo baada ya kuangalia vipimo alivyokuja navyo mwanae kutoka hospitali ya Nanguji vilikuwa very clear kwamba hii ni emergency situation inayopaswa ishughulikiwe kwa haraka zaidi, wao wakazidi kusema Daktari wa upasuaji hayupo available.

Mama wa mwenzetu akaomba apewe room afanye upasuaji mwenyewe, niliondoka nilipoona wanampa vifaa kweli, na hiyo ilikuwa inaelekea jioni sasa, usiku nikampigia yule mama akasema hawakumruhusu na wamemwahidi kesho yake ndio atafanyiwa upasuaji.

Basi nikalala kwa amani nikijua asubuhi mwenzetu atapata huduma, lakini asubuhi nikapokea simu kwamba ndugu yetu, rafiki yetu ameaga dunia.

Kwakweli jambo hili limeniliza sana na nimeshindwa nikalia kimya.

Amefariki tarehe 4/Jul/ 2024 yaan leo.

Siku mbili zote mwenzetu anaishi kwa mateso mpaka umauti wake unamkuta, alikuwa bado wiki moja afanye final exams katika chuo cha SUA na alikuwa mwaka wake wa mwisho, kwakweli imeniuma naomba mpige sauti juu ya hili.

Mpaka hapa sijaona uzembe uliofanyika.
 
Back
Top Bottom