Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ukiusoma hadi unabubujikwa machozi ya furaha Lucas πππUzi wa ephen akiwa jeshini ndio uzi wangu bora wa muda wote.
Nakupenda sana ephen wangu sijuwi upo wapi kwa sasa.
ephen njoo huku
Nikiusoma uzi ule najikuta natokwa na machozi utafikiri ephen kanishika usoni akiwa na pilipili mikononi mwake.Ukiusoma hadi unabubujikwa machozi ya furaha Lucas πππ
My best creation ever. Kabla sijaanza kuvuta bangi, akili niliyotumia kuandika huu uzi sijui niliitoa wapiπ
Likes Received 490.
Mkuu huu uzi wako ulifungua ubongo wangu sana. Upewe maua yako mengi hakika akili yako hapa ilituliaMy best creation ever. Kabla sijaanza kuvuta bangi, akili niliyotumia kuandika huu uzi sijui niliitoa wapiπ
Likes Received 490.
Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?
SALUTE Maisha ni safari ndefu yenye mabonde na mashimo tu Yenye matumaini tu huku raha zikiwa chache mateso na taabu yamejaa! Kuna mambo yanaweza au yanatokea kwenye maisha yako hadi ukabaki unashanga. Yaani jambo fulani baya au zuri linakufata wewe tu kila siku hadi unajiuliza Why me? Mfano...www.jamiiforums.com
Kwa gia hizi mtoto ephen hachomoi kamweNikiusoma uzi ule najikuta natokwa na machozi utafikiri ephen kanishika usoni akiwa na pilipili mikononi mwake.
ephen popote ulipo nakupenda sana wewe binti. Unanipa raha sana.
ephen ephen upo wapi?
Tuwekee links za hizo nyuzi mkuuHonestly huku ndio tumefika sa hivi,mtoa mada katoa wazo zuri sana la ku-summurize nyuzi bora za wakati wote zilizowahi kuletwa humu,lakini naona watu wanaleta nyuzi za masikhara. Binafsi kuna nyuzi za simulizi nazipenda sana,Kuna ile ya Khumbu,Simulizi za The bold karibu zote,Nyuzi ya mshana na mambo aliyoshuhudia wakati ameenda chuo cha Ma-monk,kuna nyuzi humu kuhusu UTT ilinishawishi nikaanza kusevu hela mpaka kwa mara ya kwanza nikafikisha 20 mil,Kuna nyuzi za Lala 1 story za weekend,sijui kapotelea wapi huyu mtu. Zipo nyingi kiukweli.
Weka link mkuu tuupite huo uziUzi wa Siku ya kwanza kupanda Ndege ilikuaje. Ule uzi kama mtu hajasoma auatafute πππππ
Nikifaanikiwa kuupata nitakutag mkuuWeka link mkuu tuupite huo uzi
Ukitaka kucheka mpaka uzirai tafuta ule wa vioja siku ya kwanza kupanda ndege usipotokwa na machozi nakupeleka MateruniTagg basi tukachekepo
Ule uzi ni uzi wa maisha. Japo weng wanajifanya hawaujui ila wameusoma sanaππUle ni maishaa yoteee...π€£π€£π€£π€£ Labda Jf ife
Ni hakika mkuu, hahahaaaa....Ule ni maishaa yoteee...π€£π€£π€£π€£ Labda Jf ife