Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Bado unaongea nadharia za kikristo ulizo fundishwa kanisan. Lakin hujathibitisha uwepo wa Mungu
Sio kufundishwa.. Ni kweli nimezaliwa katika ukristo tena mkatoliki ila imepita miaka ishirini na kitu nikawa sijaelewa hata ukristo wenyewe ni nini.. naenda kanisani nikaokoka bado nikawa sijaelewa ni nini.. Mpaka pale nilipopata right doctrine ndio nikaelewa ninachoamini.. UKRISTO SIO DINI.. Ukristo ni kiwa embodied na kristo.. kuna somo hapo la mwili nafasi na roho..
 
A

Akili unaweza kuipima, hata hospital unaweza kuipima akili, sababu ni kitu ambacho kipo.
Ila Mungu hayupo, sababu hajawah kuonekana, kuskika Wala kujitokeza popote.
Akili ipo wapi, nani ameiyona na kuthibitisha uwepo wake? Inakaa wapi? Inapimwa kwa vipimo gani?
 
Sio kufundishwa.. Ni kweli nimezaliwa katika ukristo tena mkatoliki ila imepita miaka ishirini na kitu nikawa sijaelewa hata ukristo wenyewe ni nini.. naenda kanisani nikaokoka bado nikawa sijaelewa ni nini.. Mpaka pale nilipopata right doctrine ndio nikaelewa ninachoamini.. UKRISTO SIO DINI.. Ukristo ni kiwa embodied na kristo.. kuna somo hapo la mwili nafasi na roho..
Sawa kaka, kama umeamua kuamini Mungu yupo, inabaki kuwa Imani, na Mimi naheshmu Hilo.
Ila watu mnaomini msilitumie jina la Mungu Bure, kama amri yake inavosema.
Wengine watasema Mungu hakupendi, kumbe yeye ndo hampendi mtu, au " Mungu amesema nikuue nichukue hii Ardhi" Kumbe ni yy ndo anaitaka iyo Ardhi.
Ko msilitumie au kutaja jina la Mungu Bure.
Mkifanya kitu fanyeni nyie kama nyie msiseme mmetumwa na Mungu wakati sio kweli.
 
Kwa asilimia mbili tu kati ya mia ndo inaweza ikawa sio accurate, napo n mara chache sana.
Lakini Kuna njia nyingine za kupima umri wa vtu kama vile RADIOMETRIC DATING METHOD.
Bado nakataa. Tena sio mimi tu hata hao wanasayansi wenyewe wanakwambia bado hakuna kipimo cha uhakika cha kupima umri chenye accuracy ya 100%.

Hata hiyo Radiometric dating method ambayo wanatumia madini ya uranium ina makosa mengi tu.

Wanachofanya wanasayansi baada ya kupima age ya kitu fulani kwa kutumia mojawapo ya hizo methods, pia wanaweka "makisio" yao wenyewe.

Ukishaanza kukisia kitu basi faiamu hapo hakuna "accuracy".
 
Sawa kaka, kama umeamua kuamini Mungu yupo, inabaki kuwa Imani, na Mimi naheshmu Hilo.
Ila watu mnaomini msilitumie jina la Mungu Bure, kama amri yake inavosema.
Wengine watasema Mungu hakupendi, kumbe yeye ndo hampendi mtu, au " Mungu amesema nikuue nichukue hii Ardhi" Kumbe ni yy ndo anaitaka iyo Ardhi.
Ko msilitumie au kutaja jina la Mungu Bure.
Mkifanya kitu fanyeni nyie kama nyie msiseme mmetumwa na Mungu wakati sio kweli.
Ukijua Mungu anakutazamaje.. ukiujua upendo wa Mungu kwetu ni vigumu kufanya ambalo sio sahihi..
 
Ifanyike ba


Tangu nianze kuona hoja zako jambo ambalo nimebaini ni tatizo kwako, ni ukomo wako wa kufikiri,

Ukomo wako wa kufikiria ndio unaokupa mateso chief
Ukomo wa kufikiriki ni nini?

Unathibitishaje ukomo wako wa kufikiriki una mwisho?
 
Bado nakataa. Tena sio mimi tu hata hao wanasayansi wenyewe wanakwambia bado hakuna kipimo cha uhakika cha kupima umri chenye accuracy ya 100%.

Hata hiyo Radiometric dating method ambayo wanatumia madini ya uranium ina makosa mengi tu.

Wanachofanya wanasayansi baada ya kupima age ya kitu fulani kwa kutumia mojawapo ya hizo methods, pia wanaweka "makisio" yao wenyewe.

Ukishaanza kukisia kitu basi faiamu hapo hakuna "accuracy".
We mbona unakisia Mungu yupo wakati hujawah kumuona Wala kumsikia, umejuaje yupo?
 
Akili inakaa wapi? Umeshawahi kuiona?
Ndo maana nimekwambia akili inapimika, ndio maana mtu anaweza pimwa kama ana akili au Hana akili.
Na Kuna watu wanasoma Ili kuwahudumia watu wenye changamoto ya akili.
 
Ndo maana nimekwambia akili inapimika, ndio maana mtu anaweza pimwa kama ana akili au Hana akili.
Na Kuna watu wanasoma Ili kuwahudumia watu wenye changamoto ya akili.
Hata Mungu pia ana ishara zake, mojawapo ni hiyo akili aliyotupa ili kuweza kuchanganua mambo na kuishi kwa utaratibu maalum wa kufikiri na kufanya maamuzi
 
Kuamini ni tofauti na kujua.

Mimi siamini bali najua Dunia ndio extraordinary power yenyewe.

Ninyi Theists hamjui hata hicho mnacho kiamini ni nini?
kwaiyo kwa mantiki hiyo Dunia ni extra ordinary power

Jupiter ni Extra ordinary power

Jua ni extraordinary power

Mwezi ni Extraordinary power etc
 
Hata Mungu pia ana ishara zake, mojawapo ni hiyo akili aliyotupa ili kuweza kuchanganua mambo na kuishi kwa utaratibu maalum wa kufikiri na kufanya maamuzi
Hakuna Mungu aliyetupa akili, kwanza mthibitishe kwamba yupo, nimuone. Ndo useme ametupa akili.
 
Hakuna Mungu aliyetupa akili, kwanza mthibitishe kwamba yupo, nimuone. Ndo useme ametupa akili.
Siwezi kukuonesha kwani hajanipa uwezo wa kutambua physical appearance yake. Na wewe nioneshe akili ipo wapi
 
Back
Top Bottom