Na Mungu yeye aliumbwa na nani?The force behind all power is energy. Kuna sababu milioni ambazo huitaji kuwa na degree kutambua kuwa kuna chanzo cha sababu ya kuwepo kwa ulimwengu huu.
Miti, mabonde na milima. Viumbe hai, wanyama na binadamu. Viumbe wa majini nk. Kuna sababu. Na hii sababu ndio tunaiita MUNGU.
Lakini. dini ndio imekuwa sababu kubwa ya kufanya watu wawe na mashaka haswa kwa aina ya mafundisho tunayopewa.
Mungu yupo. Ila dini ni mzigo.
ita gongwa lini, mbona incident zote ambazo zingeleta madhara makubwa hazijatokea, kitu gani kinacho sortLakini iyo haizuii mbeleni Dunia kugongwa na asteroids itakayohatarsha uhai wa Dunia.
Mungu yupo kwenye akili Yako tu mkuu, nje ya hapo hawez thibitishwakwani nimeongelea kitu chochote kuhusiana na Dini yoyote ?
pia mimi sijaja kuthibitisha,
nimekuja kuwaonyesha nini kipo nyuma ya akili yenu hadi mnakuja na conclusion kwamba Mungu hayupo.
Siwezi jua, ila sababu Dunia itaendelea kuwepo milele, hata kama ss binadamu tutajiangamiza wenyewe, either kwa nyuklia n.k... Ila asilimia zipo kubwa za asteroids kuigonga Dunia mbeleniita gongwa lini, mbona incident zote ambazo zingeleta madhara makubwa hazijatokea, kitu gani kinacho sort
sijaongelea imani yoyote nimeonge lea uwepo wa Mungu,Pia kwann mtu asizaliwe na ufahamu wa MUNGU tangu mwanzo na sio kuanzia kufundishwa kupitia dini na maandiko matakatifu 🤔 ndomana Kuna watu wanazaliwa India wanafundishwa kuhusu mungu Vishnu na krishna na sio Jehovah au Allah , ko hao waliozaliwa India uko na wakafata Imani Yao ya kihindu ko wanatenda dhambi ? Mana MUNGU waliofundishwa na wakubwa wao ni Vishnu na krishna kama ww ulivoshikilia Imani Yako kupitia hiyo dini Yako ya ukristo au uislam na ukafata maandiko matakatifu biblia au Quran ndomana unajiona ww uko sahihi na Kuna wengine kama wanaabudu miungu . Nakuambia hv ww ungezaliwa kule Japan ungekuwa ni muumini wa dini ya Shinto na Wala kamwe usingesikia Allah Wala Jehovah Tena ungeona kama ni vimiungu tu, ww ungekuwa unapigania Imani Yako ya Shinto mana ndo Imani kubwa japan
Hilo halithibitishi uwepo wa Mungu, zinabaki kuwa Imani tu. Lakini je kweli uyo Mungu yupo? Jibu ni hapana hayupo na hajawah kuwepo.sijaongelea imani yoyote nimeonge lea uwepo wa Mungu,
Uislam na Ukristo unaamini Yupo,
Babu zetu kabla ya hizi dini walisha kua wanaamini Yupo,
wa hindu na dini zote ulizotaja wanaamini Yupo ?
dini ni njia tu au imani ya kumfikia Mungu
njia ni nyingi zote zinalenga Kitu kimoja
umetaja dini nyingi Je, hizo na nyingine ambazo hujataja ni dini gani ambayo inaamini Mungu hayupo ?
Kama zote zinaamini Yupo, nani aliwaambia ?
hata kama ukizaliwa unafundishwa, si ndo namna ya kumjua au wewe ulitaka namna ambayo umeiwaza wewe ?
E=mc^2The force behind all power is energy. Kuna sababu milioni ambazo huitaji kuwa na degree kutambua kuwa kuna chanzo cha sababu ya kuwepo kwa ulimwengu huu.
Miti, mabonde na milima. Viumbe hai, wanyama na binadamu. Viumbe wa majini nk. Kuna sababu. Na hii sababu ndio tunaiita MUNGU.
Lakini. dini ndio imekuwa sababu kubwa ya kufanya watu wawe na mashaka haswa kwa aina ya mafundisho tunayopewa.
Mungu yupo. Ila dini ni mzigo.
Pumzi inakupa jeuri iyo mdogo angu. anyway, utaenda kumuuliza yeye mwenyewe ukikutana naye. Kwanini tulazimishane bwana ??!!!Kwa nini hufikirii aliyemuumba huyo Mungu ni nani?
Kwa nini una ishia kufikirika tu ulimwengu uliumbwaje?
Kwa nini hufikirii huyo Mungu na yeye aliumbwaje?
Atakutana nae wapi?Pumzi inakupa jeuri iyo mdogo angu. anyway, utaenda kumuuliza yeye mwenyewe ukikutana naye. Kwanini tulazimishane bwana ??!!!
Hakuna uhusiano wa pumzi na uwepo wa huyo Mungu.Pumzi inakupa jeuri iyo mdogo angu. anyway, utaenda kumuuliza yeye mwenyewe ukikutana naye. Kwanini tulazimishane bwana ??!!!
😂Wafia dini Wana vitisho vya kijinga bhn et pumzi 😂 ko waliokufa wote wadhambi ama🤔 katoto kachanga Nako kalimkufuru MUNGU ndomana kakafa 🤔. Kwan anayemtii MUNGU ndo atakuwa na pumzi milele amaHakuna uhusiano wa pumzi na uwepo wa huyo Mungu.
Mungu hayupo.
Wewe unaweza kuthibitisha kama Mungu hayupo?Hakuna uhusiano wa pumzi na uwepo wa huyo Mungu.
Mungu hayupo.
Hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa MUNGU yupo ama hayupoWewe unaweza kuthibitisha kama Mungu hayupo?
So, kwanini ulifikia conclusion kama hayupo ?? Infact, kwa kuobserve tu the most logical conclusion tunaezafikia ni kwamba yupoHakuna anayeweza kuthibitisha kuwa MUNGU yupo ama hayupo
Mungu huyo hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.Wewe unaweza kuthibitisha kama Mungu hayupo?
Aliyekwambia sayansi ina aminiwa ni nani?Mimi nina swali kwa hawa wapinga Mungu, hivi mnawezaje kuyaamini maneno ya wazungu yalioandikwa kwa kizungu na hao hao wazungu na white race zingine ila mkaja kupinga maneno mengine walioandika haohao wazungu na white race nyingine?
Yani unaiamini science ilioandikwa na wazungu ila unaikataa bible ilioandikwa na haohao unasema walitunga, kama walitunga bible wanashindwaje kutunga science ambayo wewe umemezeshwa na kuiamini
Mungu ni nini?So, kwanini ulifikia conclusion kama hayupo ?? Infact, kwa kuobserve tu the most logical conclusion tunaezafikia ni kwamba yupo