Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 4,033
- 8,805
NOT A JOKE! VERY SERIOUS.
Umri : 32
Elimu 😀igrii
KAZI:Nimejiajiri
Dini : Mkristo
Rangi: Mweusi
Urefu : wastani
Eneo : Kanda ya ziwa.
Sijawahi kuoa na sina mtoto.
NINAE MTAKA.
★Umri :18-26
★Dini :Mkristo
★Rangi : maji ya kunde/weupe wa kawaida
★Asiwe na mtoto (awe binti)
★Asiwe anajichubua.
★Elimu :kidato cha 4-digrii.
★Awe mnyenyekevu, mtiifu na mwelewa .
★Umbo sio kigezo sana japo asiwe na matiti makubwa na tumbo kubwaaaa.
★Urefu : We mrefu kiasi, asiwe mrefuu sanaa na asiwe mfupi.
★Akiwa muha itaongeza credit japo sio lazima awe Muha.
KIKUBWA AWE MWELEWA, BINTI AMBAE NAWEZA KUKAA NAE CHINI NIKAMWAMBIA HILI SIPENDI NA AKANIELEWA.
Alieko serious (usije kujaribu) aje pm. NIKIKUELEWA NAOA
Umri : 32
Elimu 😀igrii
KAZI:Nimejiajiri
Dini : Mkristo
Rangi: Mweusi
Urefu : wastani
Eneo : Kanda ya ziwa.
Sijawahi kuoa na sina mtoto.
NINAE MTAKA.
★Umri :18-26
★Dini :Mkristo
★Rangi : maji ya kunde/weupe wa kawaida
★Asiwe na mtoto (awe binti)
★Asiwe anajichubua.
★Elimu :kidato cha 4-digrii.
★Awe mnyenyekevu, mtiifu na mwelewa .
★Umbo sio kigezo sana japo asiwe na matiti makubwa na tumbo kubwaaaa.
★Urefu : We mrefu kiasi, asiwe mrefuu sanaa na asiwe mfupi.
★Akiwa muha itaongeza credit japo sio lazima awe Muha.
KIKUBWA AWE MWELEWA, BINTI AMBAE NAWEZA KUKAA NAE CHINI NIKAMWAMBIA HILI SIPENDI NA AKANIELEWA.
Alieko serious (usije kujaribu) aje pm. NIKIKUELEWA NAOA