Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

NOT A JOKE! VERY SERIOUS.

Umri : 32
Elimu 😀igrii
KAZI:Nimejiajiri
Dini : Mkristo
Rangi: Mweusi
Urefu : wastani
Eneo : Kanda ya ziwa.
Sijawahi kuoa na sina mtoto.


NINAE MTAKA.

★Umri :18-26
★Dini :Mkristo
★Rangi : maji ya kunde/weupe wa kawaida
★Asiwe na mtoto (awe binti)
★Asiwe anajichubua.
★Elimu :kidato cha 4-digrii.
★Awe mnyenyekevu, mtiifu na mwelewa .
★Umbo sio kigezo sana japo asiwe na matiti makubwa na tumbo kubwaaaa.
★Urefu : We mrefu kiasi, asiwe mrefuu sanaa na asiwe mfupi.
★Akiwa muha itaongeza credit japo sio lazima awe Muha.

KIKUBWA AWE MWELEWA, BINTI AMBAE NAWEZA KUKAA NAE CHINI NIKAMWAMBIA HILI SIPENDI NA AKANIELEWA.


Alieko serious (usije kujaribu) aje pm. NIKIKUELEWA NAOA
 
Umri - 28
Elimu-STD 7
Makazi -Dar
Kazi - Truck driver
ili pia litapita salama.
 
Sifa zangu
Dini -mkristo
Elimu- Degree
Kazi- muajiriwa serikalini
Sifa za mwanaume nimtakaye
Umri 35-45
Asiwe na mke
Mkristo
Anayejishughulisha
Wewe una miaka mingapi?
 
dini imeninyima mumeeeeeeeeee
 
Vigezo navyozingatia kwa atakae kuolewa
Mwanamke Muslim
Familia yake iwe ya kisalafi naye awe ktk manhaj hiyo awe amesoma dini na pia amesoma school education
Awe na check number (asiwe askari)
Miaka 21-30
Asiwe bonge
Urefu wa wastani
Maji ya kunde
Mzigua au
Msambaa au
Mbondei au
Myao
Ufafanuzi zaidi PM
 
Ndoa lini mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…