Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ulikua mwenye bahati Sanaaa hongera Sana mkuuHuu ugonjwa Kwa Sasa mambo yamekuwa tofauti Mother angu alikufa Kwa ukimwi R.I.P mommy enzi hizo huko Dodoma kibaigwa msimu wa biashara ya mahindi
Back in my struggling nilijikuta nimezaa na mwanamke mwenywe ukimwi aiseee nilichanganyikiwa
Nioipima kama mara 10 hiv lakini hamna kitu mtoto alizawa poa Sana na mpaka Leo npo nae yupo darasa la 3
Nlisha achana na mamake na mm npo powa nimeowa na watoto wangu Kwa mwanamke mwingine
Take care yourselves and others
Vip mlienda kupima wote au ulienda peke yako? Na kama ulienda peke yako ni hatua gani ulivhukua kwa mwenzakoNilipima baada ya kumtilia shaka manzi Angu kuwa huenda anajiuza kwa watu wa mgod
For years amekuaga Aki confess na alikuaga anapenda Sana kuzichakata mbususu/papuchi tofauti tofautiWewe unamuamini mzabzab 😂 yaani awe anaumwa halafu anachekelea
Itakua IVYOAnameza kwa siri saana
Ni kweliNamaanisha watumiaji wamwisho yaani wagonjwa wanazipata bila kudaiwa fedha, la sivyo wasio na kipato wangepata shida.
Hili linafanyika duniani kote.
Wajibu mojawapo wa serikali ni kumrudishia mwananchi faida ya kodi yake.
Na kweli hisia zako zikawa sahihi, pole sana Witch hunter na hongera sana kwa ujasiri huu.Nilipima baada ya kumtilia shaka manzi Angu kuwa huenda anajiuza kwa watu wa mgod
Wazee tupo wengi humu Mimi mwenyewe Nina ""NAKIMBIZA SUNGURA""Aisee! Sasa kasema miaka 17 nyuma basi mzabzab ni mzee
Mgeni, mgeni, mgeni huyu balaaa - In Komba voiceNajijua nitaanza kulia tu, 😭😭😭 Naomba Dj anisindikize na kibao cha Captain komba Cha mgeni
Vip mlienda kupima wote au ulienda peke yako? Na kama ulienda peke yako ni hatua gani ulivhukua kwa mwenzako
Na je bado mko pamoja na mwezako?
Jilinde wewe, kama huwezi kujilinda, no one will ever protect youMpaka sasa ugonjwa wa ukimwa ndio ugonjwa hatari zaidi duniani kuliko magonjwa mengine.
Jambo la msingi kwa wenye VVU ni kuepuka ngono na kuwalinda wengine.
Wee ulidhani mie kijana...pole yakoAisee! Sasa kasema miaka 17 nyuma basi mzabzab ni mzee
Jilinde mdogo Angu, the world is no longer a better place.Na kweli hisia zako zikawa sahihi, pole sana Witch hunter na hongera sana kwa ujasiri huu.
Mara ya mwisho nimepima mwaka juzi, ngoja nikajichungulie tena. Keep up the spirit 👏
Sasa sii mtu unaikubali hali yako maisha yanasonga. Ninune nini wakati nimevuma nilichopanda. Ilishaandikwa ikatae zinaa mie sikusikia nikajidai mbususu tamu so wacha nipambane nao ila sitaacha kuusambaza kwa wengineWewe unamuamini mzabzab 😂 yaani awe anaumwa halafu anachekelea
Jitambue kwa kupima afya yakoUZI WA OVYO NA WAKUOGOFYA KUANZA KUUSOMA MAPEMA YOTE HII.
Somo kubwa na zuri ila Kila comment inaogopeshaa
Ila ahsante mkuu kwa ku Share nasi Somo hili
Mkuu una upendo sana.Hatukwenda pamoja, yule mwanamke nilimpenda sana ila yeye hakuwa na upendo wowote kwangu, alijua khali yake, ila alifanya makudi, ameambukiza wengi na isingekuwa Mimi angeambukiza wengi zaidi, ila baada ya kumgundua nikamwambia ukweli kuwa TUMEPOTEZA but we can live happily tuoane, AKAKATAA, hivyo nilitangaza sana kwa watu wa pale kambini na vijana wengi walisalimika kwa kile nilichokifanya, japo yupo mmoja ndo alikuwa form six likizo, huyu aliambukizwa waziwazi. Iliniuma sana maana alikuwa kijana mdogo, natamani kungekuwa na sheria ya kuzuia hili, maana yule mwanamke alikuwa mtu mzma, ni aibu na huzuni sana kumfanyia vile yule dogo. Anyway baada ya watu kumsakama alijitundika. Hatunaye tena.