Nachukua fursa hii kumshukuru ndg
Poor Brain na
dronedrake niwajuze kuwa UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini ambapo kila mtu aliyezaliwa kwenye tumbo la mama anao. Yaani mtu yeyeto awaye kuugua hata mafua, malaria ni Upungufu wa Kinga Mwilini hivyo kila mtu ana UKIMWI
lakini kuna Virusi visababishavyo upungufu wa kinga mwilini. Hivi ni
hatari yaani vikikushika kinga inaisha kabisa yaani ukishikwa mafua huponi kirahisi kwa maana ya kwamba kinga yako haiwezi kuongezeka bila ku-boost kwa
ARV huwezi kupona mafua. Yaani utaharisha lakini kuboost kwa ARV huponi. Hivyo ndivyo virusi sasa.
narudi kwenye suala kupima duu kwa kweli unaweza ukigonga kavu halafu mapicha picha ya kaswende na uboo kutoboka kidonda mahali ni stress zinazoweza kukundesha.
ukipima wakati wa kupokea una-feel tense up ( msisimko na jasho pia vitu kukuchoma choma mwilini). Hivyo ndugu nikupe pole ukizingatia masharti na kupunguza stress wala hakuna atakayejua just chill out. Na epuka usimwambukize mwenzako kwa makusudi najua hamu ya kumbatano itakushika tu nyege shikamoooo.
kumbuka: Virusi vya ukimwi unaweza kuzaliwa navyo ama kwa njia ya vitu vyenye ncha kali ma kusex tu weka akilini kijana