Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Ilikuwa mwaka 2001 nilikuwa na mchumba wangu akawa anahitaji kunivalisha Pete mwenyewe alikuwa hajatulia na Mimi nilikuwa na kamsimamo Fulani hivyo akaona asinisumbue aendelee kula nje

Sasa bwana mazingira ya kazi yakanifanya nikajikuta nimeliwa na kijana mmoja wa hapo kazini ambaye muda mwingi tulikuwa tuko wote ofisini ndio alienitoa bikira. Huwa sipendi kabisa ule Uzi wa kula tunda kimasihara nililiwa kizembe sana.

Mchumba akataka tuweke mipango tuvalishane Pete nikasema iliyopo nikapime kwanza nikijikuta salama basi nimlazimishe naye akapime acha 😭😭😭kwanza. Nilienda kupima nikaambiwa niende baada ya wiki kipindi hicho nafikiri hata angaza ilikuwa haipo.

Baada ya wiki nikaenda 😭😭😭😭 yule mama sijui yupo baada ya yale maswali Yao akaniambia umeadhirika yasikia yasikufike nililia sana nikiangalia Sina CV ya wanaume kichwani nikaanza kuomba sala za mwisho mwisho😂😂😂

Yule mama akañiambia kama una Imani unaweza kupona Kuna watu nimewapima nikakuta wagonjwa ila baada ya kuombewa walipona.

Akaniagizia Kwa mchungaji mmoja yule mchungaji alinisaidia sana japo hata Leo nikimwona siwezi mkumbuka.

Mchungaji alianza kuniambia Jinsi yeye alivyokuwa ameadhirika mwili umeishia alikonda Kila akienda kupima anakuta Bado anao wakati mwingine analazwa hivyo akawa ni mtu wa maombi sana muda mwingi hata ibada ikishatoka yeye anabaki pale madhabahuni akimlilia Mungu. Siku moja akaenda akapima akakuta mzima kabisa akapima baada ya miezi mitatu tena akakuta mzima.

Basi akaniambia usimwambie mtu watu watakutia hofu, omba tu Mungu peke yako. Nilikuwa naomba nyie nilikuwa nalia na Mungu nikakataga mawasiliano na Mchumba nikawa Mimi na Mungu tu nikapima mara ya kwanza nikapata negative nikapimaga tena niko negative.

Ila jamani asikuambie mtu dalili zote unaziona kisa tu umeujua ukweli baada ya vipimo kuonekana Sina nikawa sawa kabisa.

Nikajaga kuolewa na mtu mwingine kabisa japo Mchumba hakuamini na aliyenikula sijuagi yuko wapi niko na familia yangu. Kupona kupo ila ujitoe hasa hasa
Wewe hukuwa nao ni vipimo tu vilikosea kusoma.
 
Ilikuwa mwaka 2001 nilikuwa na mchumba wangu akawa anahitaji kunivalisha Pete mwenyewe alikuwa hajatulia na Mimi nilikuwa na kamsimamo Fulani hivyo akaona asinisumbue aendelee kula nje

Sasa bwana mazingira ya kazi yakanifanya nikajikuta nimeliwa na kijana mmoja wa hapo kazini ambaye muda mwingi tulikuwa tuko wote ofisini ndio alienitoa bikira. Huwa sipendi kabisa ule Uzi wa kula tunda kimasihara nililiwa kizembe sana.

Mchumba akataka tuweke mipango tuvalishane Pete nikasema iliyopo nikapime kwanza nikijikuta salama basi nimlazimishe naye akapime acha 😭😭😭kwanza. Nilienda kupima nikaambiwa niende baada ya wiki kipindi hicho nafikiri hata angaza ilikuwa haipo.

Baada ya wiki nikaenda 😭😭😭😭 yule mama sijui yupo baada ya yale maswali Yao akaniambia umeadhirika yasikia yasikufike nililia sana nikiangalia Sina CV ya wanaume kichwani nikaanza kuomba sala za mwisho mwisho😂😂😂

Yule mama akañiambia kama una Imani unaweza kupona Kuna watu nimewapima nikakuta wagonjwa ila baada ya kuombewa walipona.

Akaniagizia Kwa mchungaji mmoja yule mchungaji alinisaidia sana japo hata Leo nikimwona siwezi mkumbuka.

Mchungaji alianza kuniambia Jinsi yeye alivyokuwa ameadhirika mwili umeishia alikonda Kila akienda kupima anakuta Bado anao wakati mwingine analazwa hivyo akawa ni mtu wa maombi sana muda mwingi hata ibada ikishatoka yeye anabaki pale madhabahuni akimlilia Mungu. Siku moja akaenda akapima akakuta mzima kabisa akapima baada ya miezi mitatu tena akakuta mzima.

Basi akaniambia usimwambie mtu watu watakutia hofu, omba tu Mungu peke yako. Nilikuwa naomba nyie nilikuwa nalia na Mungu nikakataga mawasiliano na Mchumba nikawa Mimi na Mungu tu nikapima mara ya kwanza nikapata negative nikapimaga tena niko negative.

Ila jamani asikuambie mtu dalili zote unaziona kisa tu umeujua ukweli baada ya vipimo kuonekana Sina nikawa sawa kabisa.

Nikajaga kuolewa na mtu mwingine kabisa japo Mchumba hakuamini na aliyenikula sijuagi yuko wapi niko na familia yangu. Kupona kupo ila ujitoe hasa hasa
Huyo hakuwa anajua kukisoma kipimo au kilikuwa kibovu😁 yani banyamulenge wawe washavamia body af usome -ve?
 
Kiukwel sitaman kupima ila najiona sipo salama coz ninedate na manzi ambae inasemekan ni muasilika kibaya zaid cjatumia condon pia niliingia chumvin zaid nilipokua nanyandua nae mechi ilivunjika round ya pili kwn mchezji mwengan alitoja dam nilipohoji alinijib jana alitoj kumalizia period nilipokiangalia kibamia kimetapakaa damu kiukwl sipo saw na sitamn kupima ata kidgo
Fanaleki another man down, kapime uanze dawa kaka
 
Mimi ukimwi ni nimepima sina ila sitosahau
Jinsi nilivyoshudia ukimwi ukitekeleza mauji ya mtu nilimpenda sana MAMA ANGU MZAZI TENA DAKTARI ALIKUWA

Mama angu alikuwa yupo hapo wilaya inaitwa mafinga huwa kuna ukimwi sana tulihamia mwaka 1996 kutoka dar es salaam kwa miaka mingi nilishuhudia vifo vya majirani walivyokuwa na ukimwi sababu mama alikuwa daktar wengi walikuwa wakija nyumbani kutibiwa na kupewa ushauri miaka ile ya 90s hadi 2000s mwanzoni

2010 na kumi nikahama jumla mafinga na kuja dar kutafuta maisha baada ya kumaliz masomo yangu ya degree .....2013 tukamzika babangu mzazi ambae alichana na mama mama angu mwaka 96 sasa baada kutoka msibani nikamuuliza mama huyu baba kafa kwa HIV vipi ww utakuwa mzima akanijibu mimi ni mzima mwanangu

2016 nilikuwa na safari kwenda china kwa ajlii ya business zangu nikarudi mafinga kwenda kumuaga sasa alinituma kitu nikachukue chumbani kwake naingia nakuta ARV kitandani moyo wangu ulisononeka sana nakumbuka nililia sana ila mama angu akasema usilie ni jambo la kawaida nakumbuka akiniangalia kwa macho ya aibu huku pia akijikaza sababu alinipenda sana koz mimi wa mwisho kwetu

2020 kipindi ch korona mama angu mzazi anapapalaizi baada ya kupigwa stroke for two years anakuwa kitandani

2022 mama angu anaingia deadliest stage ya Ukimwi AIDS..Hapa sasa ndo nilijua ukimwi mbaya alitokwa na vidonda mgongo mzima sababu alikuwa kapalalaize hivyo bed sores zilimuandama sana.....wewe anakonda ....mno kumbuka mimi hapo miaka hiiyo mitatu natumia hela zngu binafsi nilitumia zaidi millioni 30 hadi niliyumba kidogo kiuchumi sababu ya kuuguza mgonjwa safari za magari dawa kwenda rufaa mara week nyumbani mwezi hospital ...mara hali hadi mipira mara awe kichaa mara awe mzima nyie ukimwi balaa stage ya mwisho ile

2022 machi hali inakuwa mbaya mgonjwa ni amepalalaize mwili umebaki kichwa tu....vidonda kila kona ndugu zake wananyanyapa yaani ilibidi nimkodi nesi wa kike anisaidie kazi kusafisha vidonda kila siku 20000tsh....... then mach 2022 mama akafariki .....taarifa ya kufAriki kwakwe ilinikutia bar nikiwa na marafika zangu nilikaa kimya

Nilirudi nyumbani nikasema pole na mama angu nilikupenda sana bora umekufa kuliko ulivyokuwa unateseka maana mgongo ulikuwa kama nyama buchani hakuna ngozi......

Nikasema nitakukumbuka daima na kukupenda daima then nikalala zangu nikatafuta dereva wa kuniendesha hadi mafinga iringa nikampa laki mbili nikajaza mafuta tukaondoka .....njiani nae dereva nusu aniue pale kitonga anasisinzia nikamwambia unajua mimi naenda msibani afu unaleta usengeee ...nikachukua chuma mwenyewe nikaendesha hadi mafinga

2022 machi 25 tukamzika mama angu mzazi msibani nilikuwa nauchungu kuwa sito muona tena ila kifo sometimes ni muhimu kwa mateso aliyoyapata kifo ilikuwa bora kuliko kuishi .....maana miguu mgongo ilikuwa ni nyama za buchani tu

Hadi leo hii hakuna siku inapita simkumbi mama angu mzazi

So wagonjwa wa ukimwi mezeni dawa pia hakikisheni vizuri

Pia serikali iweke sheria kwa hospital au madaktar kuwaua kwa maksudi kwa agizo la mgonjwa mwenyewe endapo stage aliye fikia hawezi pona maana inakuwa ni mateso sio kuumwa ....hasa kwa wagonjwa wa kansa mara nyingi madaktar hujua kuwa flan haponi wanabaki wanazuga tu na mgonjwa anateseka bure na maumivu makali yasio na mwisho.....
Pole sana alikuwa anaitwa dr nani namlimzika MET au mlimsafirisha
 
Sikupatii picha hiyo furaha uliyo lipuka nayo
Wakati nipo songea 2008 kuna binti nilimpata tukawa wapenzi alikuwa na miaka 16 na nilikuwa na nia nimuoe kwasababu mtoto alikuwa mzuri na muelewa mno,,,basi ikawa tunasex sana tena bila kondom kwasababu niliwaza mtoto kama yule sio wakumtilia shaka,,,na ikapita miaka miwili tupo kwenye mahusiano ila kila mmoja anaishi kwake na yeye alikuwa anaishi na shangazi yake,,sasa kuna siku nilienda mtaani kwao kuna kitu nilimpelekea sasa tukawa tumesimama jirani na shule fulani hivi tunapiga story,,,kumbe kuna mtu mmoja akatuona pale na siku ya pili akanijia dukani akaniambia ndugu yangu yule binti unajuana nae kiundani? Nikamjibu hapana nipo kwenye mchakato wa kumtongoza jamaa akaniambia yule binti ana ukimwi kazaliwa nao, aisee nilivurugwa mno na nililia sana nikanyanyua simu nikampigia yule binti nikamuuliza kumbe wewe una ukimwi? Aisee dogo akaniambia tu ukweli huku analia kuwa ni kweli ni muathirika ila alikuwa anaogopa kuniambia nisije kumuacha na wakati mimi ndie nilikuwa namuhudumia kila kitu na binti maisha yao yalikuwa magumu mno,,,Sasa washkaji wakaniona kabisa nimevurugwa akili nipo kama mwehu kwasababu nilimpigia mama yangu simu nikamwambia mimi mwanao nina ukimwi kwahiyo sipo mbali nitakufa.ila baada ya miezi miwili nikaenda kupima nikakutwa nipo fresh aisee nilifurahi mno kama chizi na nikampigia yule binti simu nikamwambia nipo fresh binti alifurahi mno,, kwakufupisha story ni kwamba yule binti kafariki 2015 kwa ajali ya gari
 
Hii ishu ya ukimwi isikie tu kwa mwenzio, wakati fulani nilikuwa mkoani kikazi nikaanzisha uhusiano na bint mmoja ambaye alikuwa mwenyeji katika mkoa huo, nilidumu nae kwa takribani miaka miwili nikaja kutonywa na mama mmoja mama ntilie kwamba huyo demu ameathirika, alinistua moyo kiukweli nikasema ngoja nitafute ukweli,, kwa bahati yule mwanamke alikuwa hajisikii vizuri kwa wakati huo na akahisi labda alikuwa na malaria nikaona nitumie chansi hiyo, nilichofanya ni kumpeleka hospital ambayo kulikuwa na dokta ambayo nafahamiana nae nikampanga kila kitu yule dokta, alichofanya ni kuchukua damu ya yule mwanamke kwa ajili ya kupima malaria na HIV bila ya yeye mwenyew kujua aisee Majibu yalipotoka alikuwa hiv positive, ila yeye alipata Majibu ya malaria tu. Nilirudi kesho yake kwa ajili ya kupima nikajikuta nipo negative,, nimeendelea kuwa negative hata sasa nimeachana na huyo mwanamke maisha yanaendelea. Ukimwi upo tuchukue tahadhari na kwa waathirika tumeze dawa.
hivi ni kweli upo bado mbona kama umesahaulika
 
Imebidi niende kum Google huyo demu.
Tangu nimeanza kwichi kwichi,sijawahi kufanya bila Mpira,.naogopa Mimba kuliko hiyo Ngoma,

Kuna Mrembo nimekutana nae Zanzibar Mwezi Jana,Kaniambia Ana Maambukizi,kumgusa naogopa,,Kumuacha naona nitadhulumu nafsi,Mtoto yupo kama Amandla Stenberg
 
Wakati nipo songea 2008 kuna binti nilimpata tukawa wapenzi alikuwa na miaka 16 na nilikuwa na nia nimuoe kwasababu mtoto alikuwa mzuri na muelewa mno,,,basi ikawa tunasex sana tena bila kondom kwasababu niliwaza mtoto kama yule sio wakumtilia shaka,,,na ikapita miaka miwili tupo kwenye mahusiano ila kila mmoja anaishi kwake na yeye alikuwa anaishi na shangazi yake,,sasa kuna siku nilienda mtaani kwao kuna kitu nilimpelekea sasa tukawa tumesimama jirani na shule fulani hivi tunapiga story,,,kumbe kuna mtu mmoja akatuona pale na siku ya pili akanijia dukani akaniambia ndugu yangu yule binti unajuana nae kiundani? Nikamjibu hapana nipo kwenye mchakato wa kumtongoza jamaa akaniambia yule binti ana ukimwi kazaliwa nao, aisee nilivurugwa mno na nililia sana nikanyanyua simu nikampigia yule binti nikamuuliza kumbe wewe una ukimwi? Aisee dogo akaniambia tu ukweli huku analia kuwa ni kweli ni muathirika ila alikuwa anaogopa kuniambia nisije kumuacha na wakati mimi ndie nilikuwa namuhudumia kila kitu na binti maisha yao yalikuwa magumu mno,,,Sasa washkaji wakaniona kabisa nimevurugwa akili nipo kama mwehu kwasababu nilimpigia mama yangu simu nikamwambia mimi mwanao nina ukimwi kwahiyo sipo mbali nitakufa.ila baada ya miezi miwili nikaenda kupima nikakutwa nipo fresh aisee nilifurahi mno kama chizi na nikampigia yule binti simu nikamwambia nipo fresh binti alifurahi mno,, kwakufupisha story ni kwamba yule binti kafariki 2015 kwa ajali ya gari
Da aisee dada alikua anataka akupatie na wewe muende sawa
 
Mkuu Mungu akubariki Sana kaka,kupima na kujijua afya yako ni jambo jema Sana
Nashukuru Sana nimebadili tabia sifanyi ngono zembe kupimana kabla ya kunjunjana hataki aende.
Nb siku niliyojingundua Sina ukimwi sikukubali nikakaa miezi mi 3 majibu yakatoka Sina Tena nikapima Tena na Tena majibu nipo negative nilibadili kila kitu kwenye maisha yangu
Wakuu tusiamini kwa macho ukimwi upo na unauwa
Ila hapo hakikisha hujaoa au kuolewa vinginevyo mwenzio Naye awe kama wewe
 
KITAALAMU UKIMWI KUUPATA NI KAZI KUBWA SANA. YANI SEX YA KIBAO KIMOJA AU VIWILI VYA FASTA HUWEZI PATA UKIMWI.
KINACHOFANYA MTU APATE UKIMWI NI KUJIFANYA SHABABI KUSIMAMIA KUCHA DEM ANAKWAMBIA KASHAKAUA WEWE UNATAKA AKUONE MWAMBA UNAPAMPU TU MPKA MWISHO WA SIKU KICHUBUKO NA DAMILU JUU HAPO NDO UTAJUA HUJUI.

MIMI NAAMINI NIMEPITA NA MADEMU WENGI TU WENYE UKIMWI NA NILIWAPIGA PEKU KABISA.

WANASEMA PROBABILITY YA KUPATA UKIMWI NI 1/1000.

WADAU TUSIKAMIE SANA GAME KAMA DEMU HUJAMPIMA NA HUMUAMINI WEWE USIKAMIE PIGA ZAKO FAIR GAME TEMBEA.
Unanisema live mkuu
 
Ilikuwa mwaka 2001 nilikuwa na mchumba wangu akawa anahitaji kunivalisha Pete mwenyewe alikuwa hajatulia na Mimi nilikuwa na kamsimamo Fulani hivyo akaona asinisumbue aendelee kula nje

Sasa bwana mazingira ya kazi yakanifanya nikajikuta nimeliwa na kijana mmoja wa hapo kazini ambaye muda mwingi tulikuwa tuko wote ofisini ndio alienitoa bikira. Huwa sipendi kabisa ule Uzi wa kula tunda kimasihara nililiwa kizembe sana.

Mchumba akataka tuweke mipango tuvalishane Pete nikasema iliyopo nikapime kwanza nikijikuta salama basi nimlazimishe naye akapime acha 😭😭😭kwanza. Nilienda kupima nikaambiwa niende baada ya wiki kipindi hicho nafikiri hata angaza ilikuwa haipo.

Baada ya wiki nikaenda 😭😭😭😭 yule mama sijui yupo baada ya yale maswali Yao akaniambia umeadhirika yasikia yasikufike nililia sana nikiangalia Sina CV ya wanaume kichwani nikaanza kuomba sala za mwisho mwisho😂😂😂

Yule mama akañiambia kama una Imani unaweza kupona Kuna watu nimewapima nikakuta wagonjwa ila baada ya kuombewa walipona.

Akaniagizia Kwa mchungaji mmoja yule mchungaji alinisaidia sana japo hata Leo nikimwona siwezi mkumbuka.

Mchungaji alianza kuniambia Jinsi yeye alivyokuwa ameadhirika mwili umeishia alikonda Kila akienda kupima anakuta Bado anao wakati mwingine analazwa hivyo akawa ni mtu wa maombi sana muda mwingi hata ibada ikishatoka yeye anabaki pale madhabahuni akimlilia Mungu. Siku moja akaenda akapima akakuta mzima kabisa akapima baada ya miezi mitatu tena akakuta mzima.

Basi akaniambia usimwambie mtu watu watakutia hofu, omba tu Mungu peke yako. Nilikuwa naomba nyie nilikuwa nalia na Mungu nikakataga mawasiliano na Mchumba nikawa Mimi na Mungu tu nikapima mara ya kwanza nikapata negative nikapimaga tena niko negative.

Ila jamani asikuambie mtu dalili zote unaziona kisa tu umeujua ukweli baada ya vipimo kuonekana Sina nikawa sawa kabisa.

Nikajaga kuolewa na mtu mwingine kabisa japo Mchumba hakuamini na aliyenikula sijuagi yuko wapi niko na familia yangu. Kupona kupo ila ujitoe hasa hasa
Asante kwa kutupanga
 
Wakati nipo songea 2008 kuna binti nilimpata tukawa wapenzi alikuwa na miaka 16 na nilikuwa na nia nimuoe kwasababu mtoto alikuwa mzuri na muelewa mno,,,basi ikawa tunasex sana tena bila kondom kwasababu niliwaza mtoto kama yule sio wakumtilia shaka,,,na ikapita miaka miwili tupo kwenye mahusiano ila kila mmoja anaishi kwake na yeye alikuwa anaishi na shangazi yake,,sasa kuna siku nilienda mtaani kwao kuna kitu nilimpelekea sasa tukawa tumesimama jirani na shule fulani hivi tunapiga story,,,kumbe kuna mtu mmoja akatuona pale na siku ya pili akanijia dukani akaniambia ndugu yangu yule binti unajuana nae kiundani? Nikamjibu hapana nipo kwenye mchakato wa kumtongoza jamaa akaniambia yule binti ana ukimwi kazaliwa nao, aisee nilivurugwa mno na nililia sana nikanyanyua simu nikampigia yule binti nikamuuliza kumbe wewe una ukimwi? Aisee dogo akaniambia tu ukweli huku analia kuwa ni kweli ni muathirika ila alikuwa anaogopa kuniambia nisije kumuacha na wakati mimi ndie nilikuwa namuhudumia kila kitu na binti maisha yao yalikuwa magumu mno,,,Sasa washkaji wakaniona kabisa nimevurugwa akili nipo kama mwehu kwasababu nilimpigia mama yangu simu nikamwambia mimi mwanao nina ukimwi kwahiyo sipo mbali nitakufa.ila baada ya miezi miwili nikaenda kupima nikakutwa nipo fresh aisee nilifurahi mno kama chizi na nikampigia yule binti simu nikamwambia nipo fresh binti alifurahi mno,, kwakufupisha story ni kwamba yule binti kafariki 2015 kwa ajali ya gari
Kifo ni fumbo kubwa unaweza ukawa na ukimwi au kansa au gonjwa lingine lolote ukajua ndilo litatoa uhai wako ajabu unakuja kufa kwa ajali
 
Back
Top Bottom