Kuwa mpole na msitaarabu na ukubali makosa. Si kila mtu anaweza kuingia akilini mwako akaelewa ulitaka kumaanisha kitu gani. By the way unapokosilewa unatakiwa kuacknowledge na kuadmit makosa.Mkuu embu elewa taratibu za uandishi wa namba ina maana mimi nije huku kuomba mkopo wa 750 ..
Sawa nimekuelewa, sasa unaweza kunikopesha nakuachia na hiyo collateral endapo ntashindwa kulipa... ila hakuna huo uwezekano wa kushindwa kulipa..Sidhani kama kuna mtu atakubali kwa riba hiyo yaani miezi 4 urudishe 825,000 maana yake faida ni kama 75,000 tu ina maana kwa kila mwezi ni 18,750 kwa siku ni 625 tu
Unaweza kuwa na shida lkn unamvunja moyo hata mkopeshaji bora tu ungeomba usaidiwe sio kwa kukopeshwa ila ungemhakikishia mtoaji kuwa utairudisha kwa kumpa hiyo collateral
Hata huo sio mbaya naweza pata wapi ndg Msaada?Mmmh! Ngoja waje,mi nazijua sehemu zinazoanzia 22%
Nenda saccos , ila kama unataka kwa haraka watu binafsi wanakopesha ila riba ni 20% kwa mweziHabari?
Natafuta Mkopo wa Tsh Milioni 3 riba isizidi asilimia 20% kwa mwaka.
Msaada tafadhali.
Asante.
Sawa kiongozi ntafatilia hukoNMB,ABC
Hiyo kwa mwezi ndo sitakuwa na uwezo nayo nilihitaji kwa mwaka ndo 20% Labda hiyo Saccoss samahani naweza pata wapi kama unazifahamu?Nenda saccos , ila kama unataka kwa haraka watu binafsi wanakopesha ila riba ni 20% kwa mwezi
Sawa kiongozi naomba details zake ambazo unazifahamu nijaribu kufatiliamicro-finance entities zipo nyingi siku hizi ili mradi uwe na dhamana kama hati ya nyumba au kadi ya gari