mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
- Thread starter
-
- #121
Nitafanyia kazi mkuuAdmin ungeweka time table itakayokuwa inatuongoza katika kujifunza neno na maombi ambayo tunayotakiwa tunayafanye kuanzia jumatatu mpaka jumapili itasaidia sana kwa sisi wote kila leo tunapokutana hapa tujue tunaombea mambo gani kwa pamoja Roho Mtakatifu ananisemesha kuwa watu wengi watakombolewa kupitia jukwaa hili
AmenNashukuru Mungu kumekucha tena ni siku nyingine mpya, ikawe siku ya baraka kwa kila mmoja wetu, milango ya mafanikio ifunguke tupate riziki kulingana na juhudi kwenye kazi zetu.
Kwa uwezo wa Mungu atuepushe na mikosi, balaa, laana na kila aina ya uovu uliopangwa juu yetu.
Utujalie afya njema, amani, furaha na moyo wa upendo kwa wengine, kwa namna ya pekee tuguswe kuyagusa maisha ya wengine hasa kujitoa sadaka kwa wahitaji. 🙏
Kila anaeamini na aseme AMEN, na ikawe siku njema.
AminaBaba tunakushukuru kwa siku ya Leo
Tupo eneo hili kuiomba nguvu yako ikatawale katika maisha yetu
Nguvu yako ikawainue vitandani wagonjwa waliolazwa majumbani na hosptalini.
Nguvu yako ikawape tumaini jipya wafungwa waliopo vizuini na magerezani.
Nguvu yako ikawafanye viongozi wa nchi wakatuongoze kwa HEKIMA.
Na mwisho nguvu yako ikapate kuzibariki Kazi zetu za mikono .
Namshukuru alieanzisha Uzi huu kwani umefanyika Sana baraka na Mungu akakuinue tena na tena.🙏🏽
View attachment 3127243
Mpendwa hii picha nitaitumia katika maombi ya keshoSiku ya leo ikawe baraka kwako na kwa familia yako.
Haijalishi unapitia nini au upo hatua gani ya maisha Ila endelea kumshukuru MUNGU kwa kuamini kuwa mafanikio yako bado yanaishi.
Na ikiwa bwana atakupa kuendana basi akakupe kuendana kiroho na sio katika mwili utamanishao.
Barikiwa na hili ni ombi langu kwako
#NIFUNDISHE.
View attachment 3127234
Sana lo kuna yale maombi ya usiku wa manane kunakua na utulivu sana unasali huku unafeel uwepo wa Mungu kabisa
Sawa mkuuMpendwa hii picha nitaitumia katika maombi ya kesho
AmenAmkeni katika maombi. LEO, kuombea yaliyo magumu kwetu; Yeremia 32:27
Tazama mimi ni Bwana. Mungu wa wote wenye mwili. Je Kuna Neno gumu lolote nisilo liweza?
Karibu tumwendee Mungu Asubuhi ya Leo tukiamini kuwa katika yote tutakayo mpelekea anaweza na atatenda. Karibu Kwa maombi ubarikiwe mtumishi wa Bwana.
View attachment 3127230