Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Shalom shalom wapendwa
Bwana Yesu asifiwe
Ni siku nyingine tena namshukuru Mungu amenipa afya njema na kibali Nimeamka saa kumi na nusu kwa ajili kumtafuta BWANA nimefanya maombi ya kuombea watu wote,amani ya taifa letu,mamlaka zote, na pia nimefanya maombi kwa ajili ya mahitaji yangu nimebarikiwa sana
Kwa wale watu ambao wakilala usiku wanaota ndoto hizi risasi,mabomu au kula chakula hii ni ishara ya kuwa kuna adui ameona baraka zako zinakaribia hivyo anakuwa anajaribu kukuzuia kwa kutaka kukupa magonjwa au angamizo lolote ili mtu asifikie baraka isaya 29:8 isaya 54:17
Kuondokana na ndoto hizi ukimaliza kufanya maombi fungua biblia soma neno kutoka kitabu cha zaburi 91:1-6 soma neno lote ulishike lisitoke kinywani mwako ukifanya maombi ukatembea na neno ndivyo Mungu atakavyokupa majibu kwa haraka
Zaburi 91:1-6
Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.
2 Nitasema, Bwana ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.
3 Maana Yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji, Na katika tauni iharibuyo.
4 Kwa manyoya yake atakufunika, Chini ya mbawa zake utapata kimbilio; Uaminifu wake ni ngao na kigao.
5 Hutaogopa hofu ya usiku, Wala mshale urukao mchana,
6 Wala tauni ipitayo gizani, Wala uele uharibuo adhuhuri,
Bwana Yesu asifiwe
Ni siku nyingine tena namshukuru Mungu amenipa afya njema na kibali Nimeamka saa kumi na nusu kwa ajili kumtafuta BWANA nimefanya maombi ya kuombea watu wote,amani ya taifa letu,mamlaka zote, na pia nimefanya maombi kwa ajili ya mahitaji yangu nimebarikiwa sana
Kwa wale watu ambao wakilala usiku wanaota ndoto hizi risasi,mabomu au kula chakula hii ni ishara ya kuwa kuna adui ameona baraka zako zinakaribia hivyo anakuwa anajaribu kukuzuia kwa kutaka kukupa magonjwa au angamizo lolote ili mtu asifikie baraka isaya 29:8 isaya 54:17
Kuondokana na ndoto hizi ukimaliza kufanya maombi fungua biblia soma neno kutoka kitabu cha zaburi 91:1-6 soma neno lote ulishike lisitoke kinywani mwako ukifanya maombi ukatembea na neno ndivyo Mungu atakavyokupa majibu kwa haraka
Zaburi 91:1-6
Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.
2 Nitasema, Bwana ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.
3 Maana Yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji, Na katika tauni iharibuyo.
4 Kwa manyoya yake atakufunika, Chini ya mbawa zake utapata kimbilio; Uaminifu wake ni ngao na kigao.
5 Hutaogopa hofu ya usiku, Wala mshale urukao mchana,
6 Wala tauni ipitayo gizani, Wala uele uharibuo adhuhuri,