amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimecheka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimecheka sana
Ha haa haaaa! Kizuri kula na mwenzio! Nakumiss[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimecheka sana
Mnapatikana wapi~ Connection ya soko LA maziwa...wapi au nani anawezasaidia kupata soko LA maziwa...kwa mahitaji makubwa na ya kati...mahotelini,migahawani,maofisini,kwenye sherehe n.k,tunasambaza kuanzia Lita 10-100,200,nakuendelea
Bei zetu ni,
Maziwa fresh: Lita 1 sh 1800/=
Maziwa mtindi :Lita 1 sh 2000/=
Tupo dar es salaam.
Ahsante.
Contant zako??Nahitaji pilipili Manga, mwenye uwezo wa kupata kiasi chochote mpaka Tani 25 ani PM
Saloon ipo maeneo gani?Location Dar.
Ni memba wa hizo product?
Ni memba wa hizo product?
Kila siku ila jpili wachache ndio wanafunguawakuu je ilala boma wanafungua belo za nguo kila siku au wanasiku maalum?
Magauni ya watoto wa umri gn, unauzaje jumla?Nina-import viatu vya kike, nguo za watoto, mikoba na perfumes kutoka UTURUKI.
1. Viatu vya kumwaga (vya kupiga debe).
2. Viatu vya dukani.
3. Magauni ya watoto.
4. Mikoba na Mabegi
5. Chupi, Chupi na Brah na Night dress.
6. Perfume na Perfume Oils
Ninapatikana Tandika, Mtaa Chihota.
Nauza kwa jumla na rejareja.
Karibuni wakuu wana JF tufanye biashara
Shukran mkuuKila siku ila jpili wachache ndio wanafungua
Ulipaata msaada wa kuhusu mabalo na wengine pia wenye shida hizo wanaweza niuliza ni vizuri ukunifata Dm nikipata nafasi nitakusaidiaShukran mkuu
Umeshafanikiwaa??Habari
Mimi nahitaji mtu ambae ana uzoefu/uwezo mkubwa kwenye computer softwares na hardware kiasi chake sababu nimefungua ofisi na inahitaji mtu wa kuisimamia na kupiga kazi.
Ofisi ni mpya kabisa na ipo mazingira mazuri ya kibiashara.
Ofisi inahsuka na kutatua changamoto za wateja zinahusu computer zao au mahitaji mengine ynayoweza tatuliwa na mtu wa IT
Awe anajua sana softwares na hardware za computer, graphics designs, web designs etc
Mshahara tutajadiliana.
Awe tayari kufanya kazi mkoa wa Tabora
Accomodation na chakula vyote kwangu kwa kuanzia mpk utakapoona inafaa kuhamia kwako.
Ni-PM kama unaweza au unanfahamu mtu mwenye sifa hizo.
NB: Vyeti sio issue kabisa, tunachotaka ni uwezo wa mtu. Be ready for a stressed interview, mtu ambae sio hapo hawezi katiza.
Asante
Nahitaji wadau wa kununua Ufuta wangu, upo kama tani 5. Mwenye connection anicheki inbox
Hahhaa acha kumshawishi mwenzio[emoji2]
Nimekuinobox no ya mtu yupo Tabora atakusaidianaombeni connection ya mtu anayeuza asali ambaye yupo tabora au mkoa wowote unaozalisha asali nahitaji asali ya jumla
0624 030723
Hahhaa acha kumshawishi mwenzio[emoji2]
Mkuu shukrani nilipata ila sitasita kukutafuta nikihitaji tenaUlipaata msaada wa kuhusu mabalo na wengine pia wenye shida hizo wanaweza niuliza ni vizuri ukunifata Dm nikipata nafasi nitakusaidia