Dahhh..yaani kuna mdogo wangu kamaliza toka 2015 pale mlimani na GPA yake ya 4.2..wamekula tena kichwa..ameniambia nimuangalizie hadi nikawa natetemeka jinsi ya kumrudia na kumpa habari zisizo nzuri.
Hakuna mwenye uwezo wa kumsaidia huyu dogo (ashakuwa na familia tayari)? Dahh..nimesikitika sana.
Yaani..hali ni ngumu..na zijazo watasem kuanzia 2016 automatic dogo atakua nje ya reli
🤣🤣🤣🤣🤣🤣I cant believe my eyes,,, nimetemwaaaaa🙃🙃😀😀😀
Mbona walitangaza watachukua kuanzia 2015 Ila had wa 2009 wamechukuliwa so kila mtu na bahat yake n kuendelea kuomba Mungu tuna zijazo watasem kuanzia 2016 automatic dogo atakua nje ya reli
Nursing level ipi nikupe connectionKweli inavunja moyo. Nimetemwa. Najiona kabisa nikiweka vyeti vya nursing kabatini na kuangalia upepo mwingine.
Wazir kajibu zingine zipo kweny process hasa watu wa nursingKhee ase majina ya afya ndio watu 5319 si walisema 8000 zinatoka daah
Kuna 2100 zinakuja hivyo... Usijali utapata mkuu [emoji120]Khee ase majina ya afya ndio watu 5319 si walisema 8000 zinatoka daah
Daah wacha tuone 2017 mimiKuna 2100 zinakuja hivyo... Usijali utapata mkuu [emoji120]
Kikubwa mtegemea Mungu, kila kitu kitatimia
ucwaze sbr wakat wako.Aiwezekani CB awawez kuwa wengi kama arts.Inauma kinouma Biology chemistry zimekuwa kama history soko gumu. Nimekata tamaa ase.
Aliweka jam kubwa ya ajira..Watoto wa siku hizi wanampenda sana Magufuli wakati yeye ndo chanzo cha yote haya.
Nipe na mm bas ya Ustaw wa jamii boss wanguNursing level ipi nikupe connection
Maisha ni safari ....mtu hajifunzi maisha vyuoni...bali huku mitaani.....binafsi nimeshasahau kwamba nina masters....ninafanya shughuli zote...iwe udalali wa vyumba na majumba ,kuokota vyuma chakavu ,kuvua ,kubeba mizigo ya kuhamisha watu katika majumba yao na nyingine nyingi za nguvu.....ili nipate ugali wa wanangu....afrika omba uwe na nguvu za kiwiliwili na akili.....ukikosa cha kutumia akili(elimu) basi nguvu za kiwiliwili(blue collar jobs) zinakutoa.....Dahhh..yaani kuna mdogo wangu kamaliza toka 2015 pale mlimani na GPA yake ya 4.2..wamekula tena kichwa..ameniambia nimuangalizie hadi nikawa natetemeka jinsi ya kumrudia na kumpa habari zisizo nzuri.
Hakuna mwenye uwezo wa kumsaidia huyu dogo (ashakuwa na familia tayari)? Dahh..nimesikitika sana.
Maisha ni rafiki pale "ukibutua tu"....Maisha yana ukatili mkubwa saana
Zinakuja lini mkuu? Kwamba zitatangazwa kabla ya mwezi wa 7 ?Kuna 2100 zinakuja hivyo... Usijali utapata mkuu [emoji120]
Kikubwa mtegemea Mungu, kila kitu kitatimia
Kudos!!Maisha ni safari ....mtu hajifunzi maisha vyuoni...bali huku mitaani.....binafsi nimeshasahau kwamba nina masters....ninafanya shughuli zote...iwe udalali wa vyumba na majumba ,kuokota vyuma chakavu ,kuvua ,kubeba mizigo ya kuhamisha watu katika majumba yao na nyingine nyingi za nguvu.....ili nipate ugali wa wanangu....afrika omba uwe na nguvu za kiwiliwili na akili.....ukikosa cha kutumia akili(elimu) basi nguvu za kiwiliwili(blue collar jobs) zinakutoa.....
Msikate tamaa wana....mwakani hwenda mtapata aaaamin[emoji120]