Shida inaanzia hapo! Kuna dawa nimepata leo ngoja nitumie nione.Hiyo miti inapatikana popote ikiwa imechakatwa lakini uwe unaijua vizuri au muuzaji awe mwaminifu maana anaweza kukuuzia chochote ilimradi apate hela.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
inatumikajeCactus ni kinga nzito ya masheitwani
Kuna watu wamekariri vibaya kuhusu kugegeda ngono ujinga?labda iwe ngono zembe!Ngono ni mambo ya kijinga?! Basi wewe utakuwa mjinga.
TYPHOID, UTI MAUMIVU YA TUMBO LA WANAWAKE.Kuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze
HOW TO USE ALLIGATOR PEPPER
1)If You are having Attack or bad feelings for something that is gonna happen
SOLUTION->Come outside with one piece of Alligator pepper and pray with it saying "anywhere these attack is coming from, that you are sending it back to sender" after the prayers wave it over your head 7times and throw it away
2)if You are leaving in a house where you and your husband or your wife are having problem or quarreling all the time for no reasons and you are sure it was caused by someone SOLUTION-> Just use one piece of Alligator pepper to cleanse yourselves and say whatever this problem is coming from, it should stop and go back to sender
3)If You wake up in the morning and have bad feelings SOLUTION-> just use 7pieces of Alligator pepper, put it inside your bucket of water and bath with it, as you are bathing pray that no evil shall be fall you
4)if You do have bad dreams and you don't want it to come to Reality SOLUTION-> Take 7pieces of alligator pepper, put it in your mouth and and chew it, while chewing it go outside and pray that no evil shall be fall you, as you are saying these prayers, you will be spitting it up
5)if You do experience bad market or bad businesses SOLUTION-> Take four pieces of Alligator pepper to cleanse your shop and throw it where people are passing, after that take another two pieces and cleanse yourself after that, throw it the same place, as you did the first one
6) Also if you are the type that sleeps with different girls, remember some girls have bad spirit in which they carry from another man and while sleeping with them without cleansing yourself can bring bad luck to you also that badluck brings business failures SOLUTION-> Before you sleep with any girl, use 7pieces of Alligator pepper to cleanse yourself before and after you are through with the person
That means asomewe kisomo cha ruqya kwanzaShida yule karogwa. Walikua wanagombea mwanamke na jamaa 1.
MzaituniSio mkomamanga,, nikiupata nitaupiga picha niutume uzuri naufahamu,, taasisi za dini zinauuzaga sana huu mti,
Hapana sio mzaituniMzaituni
Unatumia mara ngapi hii?Cactus na faida zake:-
°Ukikamulia kwenye ukucha ulioharibika unapona.
°Ukiupanda nyumbani kwako fahamu mchawi hawezi kupita eneo hilo
°Mti huu unatabia kiasili kuzuia radi katika eneo husika ulipopandwa.
Wala sikujibu nakutafakari tu kiinglishi ni lugha tu kama kindengeleko na hakina uhusiano na akiliKujua kingereza sio kwamba ndio unaakili
Jinsi ya kutumiaUsingekopi na kupesti ingependeza zaidi, nitazungumzia hapa mti ambao huzaa matunda yanayofanana na jamii za kunde japo yenyewe ni marefu zaidi, mbegu zake ni dawa, majani yake ni chakula na dawa nzuri sana pia, mti huu ni mlonge(mti wa maajabu).
Endapo utatumia majani yake kila siku utazisahau dawa za hosipitali, huu si utani.
Nimekuuliza mkuu hii unatumia mara ngpi?Cactus na faida zake:-
°Ukikamulia kwenye ukucha ulioharibika unapona.
°Ukiupanda nyumbani kwako fahamu mchawi hawezi kupita eneo hilo
°Mti huu unatabia kiasili kuzuia radi katika eneo husika ulipopandwa.
Naupata wapi huu?Cactus na faida zake:-
°Ukikamulia kwenye ukucha ulioharibika unapona.
°Ukiupanda nyumbani kwako fahamu mchawi hawezi kupita eneo hilo
°Mti huu unatabia kiasili kuzuia radi katika eneo husika ulipopandwa.
Ahsante sanaCactus na faida zake:-
°Ukikamulia kwenye ukucha ulioharibika unapona.
°Ukiupanda nyumbani kwako fahamu mchawi hawezi kupita eneo hilo
°Mti huu unatabia kiasili kuzuia radi katika eneo husika ulipopandwa.
Mkuu, Mtahadharishe ina kiwango kikubwa cha SUMUMimea mingi ni dawa, pia mimea mingi hutumika katika mambo ya kiimani na kuondoa mikosi au shida flani....
Red jatropha ukiikausha kwenye jua hasa la kuanzia saa 4 mpaka saa 8 .. Kisha majani yake unayaponda kwenye kinu.. Baada ya hapo unachanganya na maji ya uvuguvugu...
Unakunywa glass moja Mara mbili (asubuhi na Jioni) kwa siku 60 inaondoa kansa ya level yoyote..
Bado utafiti unafanyika kwa HIV... Ila imeonyesha kuna watu wamepona kwa kuitumia kwa zaidi ya siku 90
Majani hupikwa kama mboga za majani na kuliwa na ugali au wali.Jinsi ya kutumia