Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Wakuu naomba kufahamu dawa za mimea yetu ya asili zinayotibu MIGUU NA MIKONO KUWAKA MOTO na MIGUU NA MIKONO KUFA GANZI(PERIPHERAL NEUROPATHY na LEG NUMBNESS)
Natanguliza shukran
 
Majani ya matunda na maganda ya matunda tuyatumiayo mara nyingi nayo huwa na viini dawa muhimu kwa miili yetu:-
Hutumika kama chai bila kuwekwa sukari,
°MAJANI YA MWEMBE:-
Chai yake hausaidia sana katika kurekebisha mfumo wa fahamu.
°MAJANI YA MPERA:-
Husaidia kupambana na kansa, kisukari, cholesral, inaondoa chunks na kutengeneza ngozi.
°MAJANI YA PARACHICHI:-
Husaidia uti wa mgongo kurekebisha utendaji kazi
°MAJANI YA MORINGA:-
Haya hutibu zaidi ya magonjwa 300 ya mwili wa binadamu.
°MAJANI YA MNANASI:-
Yanasaidia kutibu vidonda vya tumbo, kuondoa sumu mwilini, na maumivu ya mwili.
 
Weka kipande cha amdalasini mfukoni katika waleti yake, kila asubuhi utamkage "YA HAKUL" MARA MIA MOJA, nenda kwenye mishe zako, Nimekupa huduma ya kwanza ndg.baada ya siku 40 utafurahi sana.
Asante sana mkuu. Nina nahitaji ufafanuzi katika vipengele hivi Ili nielewe vizuri

i)Je, ni kipande kimoja (gome) au Hata hii ya unga unga inatosha?


ii) Je, nitamke kwa sauti au Hata kimya kimya inafaa?

iii) Je, hicho kipande cha mdalasini nitemebee nacho?
 
Tumia vipande viwili vya mdlasini weka kwenye wallet vikae humo, asubuhi tamka hayo maneno kimya kimya ukiweza na jioni kwa ufanisi zaidi.
*ngazi ya kwanza hii.
 
Tumia vipande viwili vya mdlasini weka kwenye wallet vikae humo, asubuhi tamka hayo maneno kimya kimya ukiweza na jioni kwa ufanisi zaidi.
Nashukuru sana mkuu.
Hata nisipotembea nayo wallet yenyewe ikawa ya ndani tu ni Sawa?? Au yatakiwa niwe natembea nayo? Maana mimi na wallet ni kama serikali ya Tz na bhange
 

Sorry, ni kabila gani tuweze kiufuatilia hukooo jikoni, kikubwa umetupatia jina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…