UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

Najua wengi wenu mlikuwa mna ndoto za kuolewa na wanaume wenye mali, matajiri na handsome men.

Lakini sasa huenda mmeishia kuwa single maza na umri umesonga mmekuwa wasimbe (27+) au mishangazi

Kumekuwa na ongezeko la single maza wenye 30+ humu jf wanaotafuta waume kwenye love connect huu ni ushahidi tosha.

Mnatamani sana ndoa na mwanamume yeyote ili mradi awasitiri. Bahati mbaya ambayo wengi mnakutana nayo mnaahidiwa ndoa mnaishiwa kupigwa mashine hamuolewi, poleni najua jinsi inawaumuza hiyo hali.

Soko lenu la kuolewa limekuwa gumu sana. Kwanza niwape pole, nimeamua kuandaa huu uzi ili mkutane na kufarijiana na kupeana mbinu za kuolewa au jinsi ya kuishi bila ndoa.

Na sisi wanaume tutakuwa bega kwa bega nanyi kuona tunawasaidiaje.

Mwaka huu tumewaongeza wanawake waliozaliwa 1997 kwenye kundi la wasimbe.

Kwa wale ambao ndoa imeshindikana au itashindikana kabisa nitawaletea uzi wenu maalumu utakaokuwa na heading single women association leo tuanze na walio frustrated kwa kutoolewa kwanza.

Asanteni sana, nawasilisha.
usiwaumize hao dada zetu, unawatonesha kidonda. kiukweli, hakuna mwanamke hata kama angekuwa amekuwa mtembezi kwa wanaume wengi, asiyependa kuolewa. wachache sana hawataki kuolewa na hao wana mapepo. wazazi pia tunapenda mabinti zetu waolewe, tunapenda dada zetu waolewe, ili wapate ndoa, ni heshima, kuchelewa kuolewa ni ajali tu kazini inayoweza kumpata mtu yeyote, ni kama ajali ya ugonjwa tu au ajali barabarani, hakuna anayependa ila inatokea inamkuta mtu, wanahitaji faraja, wanahitaji kutiwa moyo na kupewa matumaini, sio kuvunjwa moyo au kuwasema. kama una mabinti tema mate chini, waombee hao dada zetu kuliko kuwasimanga. tena most of them wamepoteza muda kwenye masomo wakitafuta pa kujishikiza.
 
usiwaumize hao dada zetu, unawatonesha kidonda. kiukweli, hakuna mwanamke hata kama angekuwa amekuwa mtembezi kwa wanaume wengi, asiyependa kuolewa. wachache sana hawataki kuolewa na hao wana mapepo. wazazi pia tunapenda mabinti zetu waolewe, tunapenda dada zetu waolewe, ili wapate ndoa, ni heshima, kuchelewa kuolewa ni ajali tu kazini inayoweza kumpata mtu yeyote, ni kama ajali ya ugonjwa tu au ajali barabarani, hakuna anayependa ila inatokea inamkuta mtu, wanahitaji faraja, wanahitaji kutiwa moyo na kupewa matumaini, sio kuvunjwa moyo au kuwasema. kama una mabinti tema mate chini, waombee hao dada zetu kuliko kuwasimanga. tena most of them wamepoteza muda kwenye masomo wakitafuta pa kujishikiza.
Kasome vizuri uzi lengo la thread hakuna anayesimangwa
 
Back
Top Bottom