UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

Najua wengi wenu mlikuwa mna ndoto za kuolewa na wanaume wenye mali, matajiri na handsome men.

Lakini sasa huenda mmeishia kuwa single maza na umri umesonga mmekuwa wasimbe (27+) au mishangazi

Kumekuwa na ongezeko la single maza wenye 30+ humu jf wanaotafuta waume kwenye love connect huu ni ushahidi tosha.

Mnatamani sana ndoa na mwanamume yeyote ili mradi awasitiri. Bahati mbaya ambayo wengi mnakutana nayo mnaahidiwa ndoa mnaishiwa kupigwa mashine hamuolewi, poleni najua jinsi inawaumuza hiyo hali.

Soko lenu la kuolewa limekuwa gumu sana. Kwanza niwape pole, nimeamua kuandaa huu uzi ili mkutane na kufarijiana na kupeana mbinu za kuolewa au jinsi ya kuishi bila ndoa.

Na sisi wanaume tutakuwa bega kwa bega nanyi kuona tunawasaidiaje.

Mwaka huu tumewaongeza wanawake waliozaliwa 1997 kwenye kundi la wasimbe.

Kwa wale ambao ndoa imeshindikana au itashindikana kabisa nitawaletea uzi wenu maalumu utakaokuwa na heading single women association leo tuanze na walio frustrated kwa kutoolewa kwanza.

Asanteni sana, nawasilisha.
Umenichekesha sana
 
Mbona unawaita kwa Kizungu ati Singo mazas, sema tu kwa kiswahili "Malaya" au unakusudia kuwatia moyo na kuwafariji?

Kuna dem tukiwa Olevel alikua mrembo kias cha kutotaka kufuata taratibu za shule kwani aliitwa Mchina,
Mwaka juz nakutana nae kachoka, jioni napewa namba na madogo ati fulani kasema uje umtafute.
Namtafuta anaanza kuniuliza kwanini yeye kila akipata mwanaume akijua ana watoto wawili anaachwa? Nikamjibu ni kwa sababu katika umalaya wako ulifanikiwa kutunukiwa vyeti viwili na vyuo tofauti tofauti hata mimi ningekuacha.
Nilimjibu vile kuokoa muda maana niliona anataka kunibless laana tu nami nimpe cheti cha 3.
 
Mbona unawaita kwa Kizungu ati Singo mazas, sema tu kwa kiswahili "Malaya" au unakusudia kuwatia moyo na kuwafariji?

Kuna dem tukiwa Olevel alikua mrembo kias cha kutotaka kufuata taratibu za shule kwani aliitwa Mchina,
Mwaka juz nakutana nae kachoka, jioni napewa namba na madogo ati fulani kasema uje umtafute.
Namtafuta anaanza kuniuliza kwanini yeye kila akipata mwanaume akijua ana watoto wawili anaachwa? Nikamjibu ni kwa sababu katika umalaya wako ulifanikiwa kutunukiwa vyeti viwili na vyuo tofauti tofauti hata mimi ningekuacha.
Nilimjibu vile kuokoa muda maana niliona anataka kunibless laana tu nami nimpe cheti cha 3.
Dah umempa umeme faster
 
Back
Top Bottom