UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

Umenichekesha sana
 
Mbona unawaita kwa Kizungu ati Singo mazas, sema tu kwa kiswahili "Malaya" au unakusudia kuwatia moyo na kuwafariji?

Kuna dem tukiwa Olevel alikua mrembo kias cha kutotaka kufuata taratibu za shule kwani aliitwa Mchina,
Mwaka juz nakutana nae kachoka, jioni napewa namba na madogo ati fulani kasema uje umtafute.
Namtafuta anaanza kuniuliza kwanini yeye kila akipata mwanaume akijua ana watoto wawili anaachwa? Nikamjibu ni kwa sababu katika umalaya wako ulifanikiwa kutunukiwa vyeti viwili na vyuo tofauti tofauti hata mimi ningekuacha.
Nilimjibu vile kuokoa muda maana niliona anataka kunibless laana tu nami nimpe cheti cha 3.
 
Dah umempa umeme faster
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…