KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Ambaye ametoa mimba zisizozidi ngapi?! Na hicho kigezo kimeaanza kusajiliwa.Asiye na mtoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambaye ametoa mimba zisizozidi ngapi?! Na hicho kigezo kimeaanza kusajiliwa.Asiye na mtoto.
Yaani miaka 27 ni msimbe?😂😂😂Mtaa unasema wanawake wenye umri mkubwa ambao hawajaolewa hasa kuanzia umri wa miaka 27
Siutanioa wewe??etiWatakuja au anza na da maua
Wewe ni msichana ajuza??? Humu mmezeeka watu hadi maombi yamepindaKuna huyu bibi kizee anaitwa Unique Flower ana stress za mabwana alotembea nao wakamuacha
Hatua ulipfikia unatafute mwanaume yoyote tu bora anapumuaWewe ni msichana ajuza??? Humu mmezeeka watu hadi maombi yamepinda
Aloyekudanganya nani jidanganye tu wewe umeishiwa pozi upo upo unashangaaHatua ulipfikia unatafute mwanaume yoyote tu bora anapumua
Unakichaa sana nikiamua kuolewa leo naolewa shida yenu humu mnahandana eti da maua asichukue danga au mpenzi wangu basi mnabadilisha id mnaanza matusi yenu aisee mmechoka na mmezeeka sanaHatua ulipfikia unatafute mwanaume yoyote tu bora anapumua
Utazeeka wewe ambae huuziki hata kwa mkopoUnakichaa sana nikiamua kuolewa leo naolewa shida yenu humu mnahandana eti da maua asichukue danga au mpenzi wangu basi mnabadilisha id mnaanza matusi yenu aisee mmechoka na mmezeeka sana
Cc Leejay49 Lamomy Tayana-wog Unique Flower kachokozwa hukuKuna huyu bibi kizee anaitwa Unique Flower ana stress za mabwana alotembea nao wakamuacha
@Unique Flower Amenipiga Za Mbavu Japo Mtoto Namuelewa Sana.Huu uzi utamuondolea Unique Flower stress maana wanaume walio serious na ndoa kama wote wanaranda randa humu
Kazi kwako Kichwa Kichafu
Sawa mkuu tuko hapa kuwapigania wamama na wabibi wenye 30+ siku moja waje wajionee raha ya ndoa wanayofaidi wenzao
Mungu ni mwema
Niko church pls usinizidishie dhambi za kuungama 😂😂😂
Baby umeolewa!😊Duniaa🤣🤣🤣🤣🤣
Samahani shem🙏Niko church pls usinizidishie dhambi za kuungama 😂😂😂
Mi Amour💋Yaani miaka 27 ni msimbe?😂😂😂
Haya wasimbe mje huku mna uzi wenu huku.
Tuma CV acha woga.Kuwa specific watu tutume cv 39 nayo ni 30+ ati
Na wewe ni msimbe?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]*****